Huyu ni mtoa uharo kwa hali ilivyo ulaya amna nchi inataka kutapanya hela za walipa kodi wake kwa ajili ya kuilinda israelUnaweza kututajia hayo mataifa 20 yaliyoungana na Marekani
Tuone ukweli wa uzi wako au kama unatupiga kamba?
Jamaa habari zake zote fakeHuyu ni mtoa uharo kwa hali ilivyo ulaya amna nchi inataka kutapanya hela za walipa kodi wake kwa ajili ya kuilinda israel
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Wamvamie kwa sababu gani, kumbuka hajagusa maslahi yao, ila anajaribu karudisha kanchi kaliko jitenga na pande zote yaani NATO na huyo mrusi......na kumbuka Ukraine ilikuwa Russia enzi za U.S.S.R.....Kwanini wao wasimvamie ili kukomesha jeuri ya Urusi, kama walivyofanya Libya na Iraq? Kumbuka alichokifanya Urusi kuivamia Ukraine kinafanana na Kile Alichokifanya Saddam kuivamia Kuwait nwaka 1990.
Tambua tu kuwa Urusi na Marekani Ni mataifa makubwa na yenye nguvu kubwa za kijeshi duniani, hivyo yanaogopana na ndiyo maana hayataki kuji-involve in direct war, zaidi watabaki kupigana indirectly kupitia proxy wars.
Je wewe unalijua ? ....tupatie taarifa msemaji wa Syria kutoka namtumbo huko ndani ndani...
Toka lini Iran akaogopa kutengwa? Iran anajiweza wewe yule
Kumbe huu uzi unazungumzia sababu za U.S.A kuivamia Syria..?..... "mental disorder is real".....Kama hujui sababu ya US kuvamia Syria na vibaraka wake kaa pembeni nenda kajifunze geopolitics then rudi hapa.
Kidume kakukalia kooni miaka 20 kuhakikisha kabisa hakuna hata sisimizi anayehema ardhini pako kilipoona maslahi hayalipi kikasepa afu wewe Mmang'ati uliyekaa hapo vijiweni Vingunguti Dar useme "USA aliishindwa Afghanistan" kumbe ni kweli kabisa akili ni nywele?Wamemshindwa Taleban watamuweza Houthi?
Hujiulizi bajeti za majeshi ya ulinzi wa USA kwanini ziwe kubwa sana kuliko nchi zote duniani?hawezi hana ubavu miaka yote anategemea muungano kama yeye kidume aende mwenyewe apeleke pmb eti pentagon anahaha hajui afanye nini akijichanganya tu akiingilia imekula kwao amekuwa mbayuwayu hatulii mavi debe
Yeye si hataki?Hapo HOUTHI anadeal na BAB EL MANDEB tu, nasio RED SEA yote. Sasa wao wapitishe waone, mbona walimzuia RUSIA kupitisha meli zake Kwa baadhi ya maeneo akatii, hicho nikikwazo ambacho YEMEN kawawekea Israel Kwa sharti kwamba Israel aruhusu misaada ya kibinadamu iingie Gaza, vinginevyo nae hakuna meli itakayoelekea Israeli itakayopita hapo. CHINA&RUSSIA mbona meli zao zimepita juzi na Jana. Israel aruhusu misaada yakibinadamu Gaza nae aruhusiwe meli zake zipite hapo, mbona MALYESIA kazuia meli zinazoelekea Israel kupita katika maji yake mbona hatusikii makelele?.
Gaidi mkuu niyule aliagiza Damu ya Lisu, Azory na Ben n wale waliokua wanaokotwa kwenye viroba wauliwe.Yeye si hataki?
Zitapita kwa lazima sasa
Toka mwaka 1979 mnaimba hizi ngonjera tushazichokaDawa ya Iran inachemka, akijichanganya tu ataingia ndani ya 18 za wenyewe - tutamsahau kama vile kina Sadam na Gadafi.
Sasa mbona hawajaenda kule black sea kuilinda ili ukraine asafirishe ngano zake kwenda njeSiyo kwamba anashindwa kuilinda sema bahari ni mali ya binadamu yeyote na haimilikiwi na mtu taifa au kikundi cha watu, ndiyo maana anahitaji ushawishi..
Kwani kuwait ilikua mwanachama wa NATO kijana[emoji3][emoji1787][emoji3]Kumbuka mrusi hajapigana na mataifa hayo uso kwa uso, sema wanampatia Ukraine silaha kama rafiki tu maana hakujiunga na umoja wao wa NATO hapo awali so, hawana sababu yeyote ya kumsaidia zaidi ya urafiki na ujirani.
Kama ukweli mrusi anajiona jeuri aachane na kupepesa avamie moja ya mwanachama wa NATO ndipo nitaona kweli jeuri...
Huna hojaSheria za kimataifa kuhusu ulinzi (self defense) ni kali sana, na ndiyo maana mataifa yanashindwa kuingia vita moja kwa moja. Jiulize kwa nini mataifa ya kiislam hadi sasa yanasita kuingia vitani kuishambulia Israel moja kwa moja - kwa nini Iran yupo kimya badala yake anatumia hao magaidi kufanya proxy war na si kwenda live.
Kwa mfano Ukraine ana haki na kulipigania taifa lake, unachoweza kufanya ni kumsaidia tu na si kuingia live vitani - utakwisha - Kama Marekani ataingia live basi Korea na Uchina nao wanaweza kufanya hivyo hence vita kuu ya 3 ya Dunia.
Mfano mwingine kwa nini IRAN asiingie live kusaidia HAMAS kuishambulia Israel? hawezi kabisa maana akifanya hivyo basi itakuwa balaa kwa ulimwengu wetu. Vivyo hivyo US hawezi kwenda peke yake kulinda Red Sea ingawa anaweza sababu ya hizo hizo sheria, sasa badala yake ana mobilize mataifa mengine ili wafanye ulinzi kwa pamoja.
Hawa magaidi wa kidini pamoja na mfadhili wao Iran wanazidi kuwekwa kwenye msalaba, mataifa 20 yote kulinda hilo bahari.
===================
More than 20 countries have joined the US-led coalition to protect Red Sea shipping from attacks by Yemen’s Houthi rebels, the Pentagon says.
The Iran-backed Houthis have repeatedly targeted vessels in the vital shipping lane with strikes they say are in support of Palestinians in Gaza, where Israel is battling terror group Hamas following its unprecedented attack on Israel on October 7.
“We’ve had over 20 nations now sign on to participate” in the coalition, Pentagon spokesman Major General Pat Ryder tells journalists.
Je wewe unalijua ? ....tupatie taarifa msemaji wa Syria kutoka namtumbo huko ndani ndani...
Hiyo ndio papa anaitaka ifunge ndoa kanisaniAngalia huyu punguani daah yani hata Mungu kwake hana thamani wajinga kama hawa wapo wengi sana Tanzania.
Migala ni mipumbavu iliyochangamkaYesu kwako si mungu si alitundikwa msalabani umeishawahi kujiuliza mungu gani anapigwa na kuteswa?
Sababu ya Kwanza ni Dini ya Kiislam, baada ya mtume kufariki walishindwa kukubaliana nani awe mrithi wa mtume, kati ya baba mkwe na mkwe wa mtu, hiyo tofauti imeendelea hadi Leo.Hivi waarabu wanawashwaga na nini, kwanini hawapendi amani?