Ongezea nyama MKUUNilikuwa nasubiri habari ya Prague ila kimya
Utakapokua na muda ukaandika huo uzi usisahau kunitagSababu ya Kwanza ni Dini ya Kiislam, baada ya mtume kufariki walishindwa kukubaliana nani awe mrithi wa mtume, kati ya baba mkwe na mkwe wa mtu, hiyo tofauti imeendelea hadi Leo.
Sababu ya Pili ni mfumo wa utawala wa Ottoman na Mipaka iliyowekwa na Uingereza na Ufaransa baada ya vita ya Kwanza kuisha.
Waingereza walikosea wakaweka Watu ambao ni Ethno-religious tofauti kwenye nchi Moja, so kila wakati jamii Moja ndogo au kubwa huingia madarakani na kuikandamiza nyingine.
Nikupe mifano
1. Iraq-Iran
Mpaka wa Iran na Iraq una jamii kubwa sana ya Washia ambao wako pande zote za hizi nchi, na kawaida ya Washia na Wasunni hawaivi kabisa so siku zote nchi Moja kati ya hizi hutaka kuwa kiranja wa Washia au Wasunni au kuumaliza Watu inaohisi ni tishio
2. Iraq na Kuwait
Wakati wa Ottoman Kuwait ilikuwa sehemu ya Jimbo la Basra-Iraq lakini Waingereza wakaipa Kuwait nchi na kuindolea Bahari Iraq.
3. Bahrain - Saudia - Iran
Hadi Miaka ya 1800 Bahrain ilikuwa inatawaliwa na watawala wa Persia kwa hiyo Bahrain ikawa na Washia wengi na Watawala wa Iran wote huiona Bahrain kama sehemu ya Iran iliyojitenga na ipo siku wataichukua, Bahrain inapakana na Jimbo/Eneo la Saudia ambao Lina idadi ya Washia na Ndio kuna visima muhimu na Makao makuu Aramco yako kwa hiyo Saudia inaona kitisho cha Usalama wake (Nikipata muda siku nitaandika why Falme zote za Mashariki ya kati zina ugomgvi na Iran).
3. Palestinians - Syria - Lebanon - Jordan na Egypt
Baada ya Waarabu wa Wapalestina kukosa nchi na kukimbilia haya Mataifa jirani, wakasababisha na kushiriki migogoro ya ndani.
Lebanon ilikuwa ni Ufaransa ya Mashariki ya kati na ilikuwa na wakristo wengi sana, na ikawa na inawaunga mkono Israel nje na ndani ya nchi, Wapalestina wengi waliokimbilia huko walisababisha change ya demographic kati ya wakristo na Waislam na kupelekea vita ya wenyewe kwa wenyewe iliyodumu Miaka 15
Same issue ilitokea Jordan wakamuua Mfalme, Syria walitaka kumpindua Assad, akawaua hadi kwenye kambi za wakimbizi
Egypt Muslim brotherhood ambao ndio baba wa Hamas walitaka kuharibu Usalama wa Misri
4. Yemen - Saudia
Yemen ni Moja ya nchi Complex lakini kwa sababu ni maskini Hakuna anayeipa umuhimu, Yemen ilikuwa North na South na muungano wake ni wa Juzi tu Miaka ya 1990, Kati ya Watu 35 40 ni Washia na Saudia na Wayemen wote wana migogoro ya Mipaka na wanaamini kila nchi ni zawadi ya Uingereza
Jana kuna dogo kauwa wanafunzi wa chuo kikuu huko Czech na majeruhiOngezea nyama MKUU
ujinga ndo adui wa mwafrikaTumeshindwa msahau Assad aliezuia Bomba lisipitishwe toka Qatar kwenda huko west, Sembuse Iran?. Mimi nilitegemea muungano ungeundwa ili kuikomesha RUSSIA inayomuonea UKREIN, Sasa muungano mkubwa wakupambana eti na HOUTHI sivituko hivyo?.
Bado najiuliza Kwa Nini USA kashindwa kulinda hio RED SEA pekee yake?.
mnapenda jifurahisha , lin uliona kwenye vita unapewa taarifa ? kuwa pisha hapo nalipua , hiyo sio vita ni operationUtu tu taifa 20 tutaaibika tu.Urusi kapigana na tutaifa zaidi ya 32,na wote wamepigika.
Usije niuliza Yemen ana Nini Cha maana,jiulize pia Hamas Wana Nini mwezi wa pili huu taifa lenye vikorokoro vyote vya kupigania wanapigika.
anasahau jins Urusi alivyojitetea siku ile bomu limetua bahati mbaya ndani ya PolandKumbuka mrusi hajapigana na mataifa hayo uso kwa uso, sema wanampatia Ukraine silaha kama rafiki tu maana hakujiunga na umoja wao wa NATO hapo awali so, hawana sababu yeyote ya kumsaidia zaidi ya urafiki na ujirani.
Kama ukweli mrusi anajiona jeuri aachane na kupepesa avamie moja ya mwanachama wa NATO ndipo nitaona kweli jeuri...
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 MOSSAD, shirika la kijasusi namba moja duniani. Mateka wamepotea,handaki zikajazwa maji ya chumvi,HAMAS wakakiona cha moto,wanajeshi wa Israel wanachanja mbuga Gaza, teh teh teh teh.Utu tu taifa 20 tutaaibika tu.Urusi kapigana na tutaifa zaidi ya 32,na wote wamepigika.
Usije niuliza Yemen ana Nini Cha maana,jiulize pia Hamas Wana Nini mwezi wa pili huu taifa lenye vikorokoro vyote vya kupigania wanapigika.
ipo siku utaelewaKwani kuwait ilikua mwanachama wa NATO kijana[emoji3][emoji1787][emoji3]
Mbona wakat anapelekewa moto na Iraq kina us na shost zake walipelekana kumsaidia
Huna hoja hapo
Anajitoa ufahamu 😄😄....tena bomu lenyewe lilikuwa linatoka Ukraine.anasahau jins Urusi alivyojitetea siku ile bomu limetua bahati mbaya ndani ya Poland
Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
from Hamas vs US+western mpaka Houthi vs 20 countries,na bado utaskia mambo magumu pale RED SEA...ma super power wetu hawaishiwi na vitukoHouthi dawa Yao imeshaipuliwa imewekwa kwenye vikombe kipindi kifupi tu atapewa kunywa.
Russia kidume,, amuogepe kibonde alie kimbizwa na wataliban na wasomali alivyo muoga amna shuhuli ana enda peke ake lazima aombe msaadaAnajitoa ufahamu [emoji1][emoji1]....tena bomu lenyewe lilikuwa linatoka Ukraine.
Au kama vipi Mrusi aende U.S.A kudai jimbo alilouza la Alaska si nalo lilikuwa lake...
Spain pia ..nashindwa kujua hizo nchi 20 ni zipo ikiwa saudia hayupo piaUfaransa kajitoa kwenye huo muungano[emoji23][emoji23][emoji1544][emoji1544]
Super power anategemea watu wamsaidie [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Spain pia ..nashindwa kujua hizo nchi 20 ni zipo ikiwa saudia hayupo pia