Mataifa 20 sasa yatia saini kuilinda bahari Nyekundu dhidi ya magaidi, Iran inazidi kutengwa

Mataifa 20 sasa yatia saini kuilinda bahari Nyekundu dhidi ya magaidi, Iran inazidi kutengwa



Magaidi 20,000 wameuawa Gaza, hii imesemwa na waziri wa afya huko Palestina.

 
Sababu ya Kwanza ni Dini ya Kiislam, baada ya mtume kufariki walishindwa kukubaliana nani awe mrithi wa mtume, kati ya baba mkwe na mkwe wa mtu, hiyo tofauti imeendelea hadi Leo.

Sababu ya Pili ni mfumo wa utawala wa Ottoman na Mipaka iliyowekwa na Uingereza na Ufaransa baada ya vita ya Kwanza kuisha.

Waingereza walikosea wakaweka Watu ambao ni Ethno-religious tofauti kwenye nchi Moja, so kila wakati jamii Moja ndogo au kubwa huingia madarakani na kuikandamiza nyingine.

Nikupe mifano
1. Iraq-Iran

Mpaka wa Iran na Iraq una jamii kubwa sana ya Washia ambao wako pande zote za hizi nchi, na kawaida ya Washia na Wasunni hawaivi kabisa so siku zote nchi Moja kati ya hizi hutaka kuwa kiranja wa Washia au Wasunni au kuumaliza Watu inaohisi ni tishio

2. Iraq na Kuwait

Wakati wa Ottoman Kuwait ilikuwa sehemu ya Jimbo la Basra-Iraq lakini Waingereza wakaipa Kuwait nchi na kuindolea Bahari Iraq.

3. Bahrain - Saudia - Iran
Hadi Miaka ya 1800 Bahrain ilikuwa inatawaliwa na watawala wa Persia kwa hiyo Bahrain ikawa na Washia wengi na Watawala wa Iran wote huiona Bahrain kama sehemu ya Iran iliyojitenga na ipo siku wataichukua, Bahrain inapakana na Jimbo/Eneo la Saudia ambao Lina idadi ya Washia na Ndio kuna visima muhimu na Makao makuu Aramco yako kwa hiyo Saudia inaona kitisho cha Usalama wake (Nikipata muda siku nitaandika why Falme zote za Mashariki ya kati zina ugomgvi na Iran).

3. Palestinians - Syria - Lebanon - Jordan na Egypt
Baada ya Waarabu wa Wapalestina kukosa nchi na kukimbilia haya Mataifa jirani, wakasababisha na kushiriki migogoro ya ndani.

Lebanon ilikuwa ni Ufaransa ya Mashariki ya kati na ilikuwa na wakristo wengi sana, na ikawa na inawaunga mkono Israel nje na ndani ya nchi, Wapalestina wengi waliokimbilia huko walisababisha change ya demographic kati ya wakristo na Waislam na kupelekea vita ya wenyewe kwa wenyewe iliyodumu Miaka 15

Same issue ilitokea Jordan wakamuua Mfalme, Syria walitaka kumpindua Assad, akawaua hadi kwenye kambi za wakimbizi

Egypt Muslim brotherhood ambao ndio baba wa Hamas walitaka kuharibu Usalama wa Misri

4. Yemen - Saudia

Yemen ni Moja ya nchi Complex lakini kwa sababu ni maskini Hakuna anayeipa umuhimu, Yemen ilikuwa North na South na muungano wake ni wa Juzi tu Miaka ya 1990, Kati ya Watu 35 40 ni Washia na Saudia na Wayemen wote wana migogoro ya Mipaka na wanaamini kila nchi ni zawadi ya Uingereza
Utakapokua na muda ukaandika huo uzi usisahau kunitag
Ingawaje jf yasasa imekua ya hovyo sanaaa 😟😟😟
 
Ongezea nyama MKUU
Jana kuna dogo kauwa wanafunzi wa chuo kikuu huko Czech na majeruhi
Ila walianza kushuumu waislam na kuandika kwa kukurupuka
Imebainika ni dogo wa huko huko na alimuuwa baba yake kwanza kijijii ndio akaenda na kuwauwa wanafunzi wenzie na yeye kujiua
Ila walikurupuka kama kawaida yao
 
Tumeshindwa msahau Assad aliezuia Bomba lisipitishwe toka Qatar kwenda huko west, Sembuse Iran?. Mimi nilitegemea muungano ungeundwa ili kuikomesha RUSSIA inayomuonea UKREIN, Sasa muungano mkubwa wakupambana eti na HOUTHI sivituko hivyo?.

Bado najiuliza Kwa Nini USA kashindwa kulinda hio RED SEA pekee yake?.
ujinga ndo adui wa mwafrika

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
 
Utu tu taifa 20 tutaaibika tu.Urusi kapigana na tutaifa zaidi ya 32,na wote wamepigika.

Usije niuliza Yemen ana Nini Cha maana,jiulize pia Hamas Wana Nini mwezi wa pili huu taifa lenye vikorokoro vyote vya kupigania wanapigika.
mnapenda jifurahisha , lin uliona kwenye vita unapewa taarifa ? kuwa pisha hapo nalipua , hiyo sio vita ni operation

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
 
Kumbuka mrusi hajapigana na mataifa hayo uso kwa uso, sema wanampatia Ukraine silaha kama rafiki tu maana hakujiunga na umoja wao wa NATO hapo awali so, hawana sababu yeyote ya kumsaidia zaidi ya urafiki na ujirani.

Kama ukweli mrusi anajiona jeuri aachane na kupepesa avamie moja ya mwanachama wa NATO ndipo nitaona kweli jeuri...
anasahau jins Urusi alivyojitetea siku ile bomu limetua bahati mbaya ndani ya Poland

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
 
Utu tu taifa 20 tutaaibika tu.Urusi kapigana na tutaifa zaidi ya 32,na wote wamepigika.

Usije niuliza Yemen ana Nini Cha maana,jiulize pia Hamas Wana Nini mwezi wa pili huu taifa lenye vikorokoro vyote vya kupigania wanapigika.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 MOSSAD, shirika la kijasusi namba moja duniani. Mateka wamepotea,handaki zikajazwa maji ya chumvi,HAMAS wakakiona cha moto,wanajeshi wa Israel wanachanja mbuga Gaza, teh teh teh teh.

Watu waache wenye mambo yao wajifanyie kwa uhuru wanajuana wenyewe.
 
anasahau jins Urusi alivyojitetea siku ile bomu limetua bahati mbaya ndani ya Poland

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
Anajitoa ufahamu 😄😄....tena bomu lenyewe lilikuwa linatoka Ukraine.

Au kama vipi Mrusi aende U.S.A kudai jimbo alilouza la Alaska si nalo lilikuwa lake...
 
Kwani iyo ni bahari ya Yemen? Au n international
 
Anajitoa ufahamu [emoji1][emoji1]....tena bomu lenyewe lilikuwa linatoka Ukraine.

Au kama vipi Mrusi aende U.S.A kudai jimbo alilouza la Alaska si nalo lilikuwa lake...
Russia kidume,, amuogepe kibonde alie kimbizwa na wataliban na wasomali alivyo muoga amna shuhuli ana enda peke ake lazima aombe msaada
 
Super power anategemea watu wamsaidie [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mataifa zaidi ya 20 na baba yao NATO walikimbizwa Afghanistan kama mbuzi. Usicheze na watu wanaopigania haki yao kwa moyo mmoja, hapo dhalimu ni lazima atafute upenyo achomokee mbali.
 
Back
Top Bottom