Kwani wewe upo Dunia ya ngapi,Russia ndio nchi pekee duniani inayoongoza kwa rasilimali nyingi,mtu mwwnye rasilimali hizo zote unaweza semaje eti hana cha kufanya bila China.Ni sawa na Bakhresa sasa hivi ailishe Tanzania nzima kwa ngano halafu useme tukiacha kununua Bakhresa hata survive sasa unajiuliza wewe usiponunua hiyo products utaishije?? so kwa vyovyote vile ni lazima utanunua.
Hoja ni kuwa Ulaya hana malighafi so pamoja na kuban imports za Russia bado wananunua kwa back door hivyo hivyo kwa China na India wanaihitaji Russia kuliko Russia anavyozihitaji.Its all about economics.
Mkuu nimependa ulivyo eleza, kuna kampuni ya Russia inaitwa Rosatom ambapo Putin ndiye founder.
Rosatom walishawauzia US uranium na waka enrich hio Uranium hapo Russia.
Ukweli ni kwamba hio China sio mwamba inampa msaada Russia bali na wao wanafaidika tena pakubwa.
Russia imebarikiwa sana mali asili, aio gas wala mafuta, madini n.k
Ndio maana hadi leo India anaendelea kushirikiana na Russia hasa kwenye biashara za mafuta, nuclear na masuala mengine ya tech.
Kwa maana hao Rosatom duniani kwenye tech za nuclear hakuna shirika linawafikia.
Nuclear medicine, ct scan, pet scan.
Wana deal na nuclear kuanzia kutumia kama energy, silaha hadi kutumika kama matibabu.
Sasa kama wanafanya biashara hadi na US ambae ni adui yao, hawa wengine ni kina nani wasiifanye nao kazi.
Russia ni kama maji, usipo oga utakunywa.