Mataifa ambayo ni vigumu kuyavamia kijeshi duniani

Mataifa ambayo ni vigumu kuyavamia kijeshi duniani

But at what cost?

Wamelazimika ili kuiridhisha Marekani tu na bado huduma zinasuasua, leo hii ukienda UK internet huduma sio nzuri tangu waachane na Huawei

Hata Marekani mwenyewe bado anatumia Huawei 5G devices kwenye mataifa mengine ambayo ana kambi za kijeshi. Na wameona mi vigumu sana kuachana na huduma ya Huawei

Mchina hauwezi kumkimbia dunia ya sasa
Qualcomm tayari wana 5G, huawei ilianza kabla ya Qualcomm lakini wakazuiliwa.
Kutumia kambini jeshini kuna mchango na faida ndogo kwa China ambae alitegemea mataifa ya Ulaya karibu yote kutumia tech yake ya 5G.
Huko kutumika kwenye military impact yake ni ndogo.

China iacheni iendelee kujikomba na kujipendekeza kwa US.
 
But at what cost?

Wamelazimika ili kuiridhisha Marekani tu na bado huduma zinasuasua, leo hii ukienda UK internet huduma sio nzuri tangu waachane na Huawei

Hata Marekani mwenyewe bado anatumia Huawei 5G devices kwenye mataifa mengine ambayo ana kambi za kijeshi. Na wameona mi vigumu sana kuachana na huduma ya Huawei

Mchina hauwezi kumkimbia dunia ya sasa
Mimi mwenyewe namshangaa jamaa anaongea nini huyu!??
Anakwambia China hana ubavu kwa USA na Ulaya,wakati huo huo zikitokea vita za kiuchumi China anashinda.
Aya tumuulize HUO UBAVU WA CHINA KUSHINDA TRADE WAR AMEUTOLEWA WAPI KAMA HAWAWEZI USA NA EU!??
 
Qualcomm tayari wana 5G, huawei ilianza kabla ya Qualcomm lakini wakazuiliwa.
Kutumia kambini jeshini kuna mchango na faida ndogo kwa China ambae alitegemea mataifa ya Ulaya karibu yote kutumia tech yake ya 5G.
Huko kutumika kwenye military impact yake ni ndogo.

China iacheni iendelee kujikomba na kujipendekeza kwa US.
Tutajie wapi China kajikomba na kuwekeza kwa USA???
Sekta gani China kajipendekeza na kujikomba kwa USA??
Lete hapa hizo sekta.
 
Qualcomm tayari wana 5G, huawei ilianza kabla ya Qualcomm lakini wakazuiliwa.
Kutumia kambini jeshini kuna mchango na faida ndogo kwa China ambae alitegemea mataifa ya Ulaya karibu yote kutumia tech yake ya 5G.
Huko kutumika kwenye military impact yake ni ndogo.

China iacheni iendelee kujikomba na kujipendekeza kwa US.
Mkuu kwanza hao Qualcomm kwenye global share ya huduma na devices za 5G hawajaifikia Huawei

Huawei na ZTE zinashare karibu 40% ya global market

Unafikiri ni mataifa yote ya Ulaya wamekubaliana na Marekani? Bado yapo yanayotumia huduma ya 5G kutoka kwa China-based companies

Bado kuna mataifa mengi tu wantumia huduma za Huawei duniani

Marekani walitamani sana wasitumie devices na huduma za Huawei huko kwenye kambi lakini mwisho wa siku Pentagon ilikiri Mchina hauwezi kumkimbia that was my point
 
Mkuu mbishi ni wewe sio mimi.
Hao USA na EU inajulikana wanafanya juu chini kumzuia China asiwapiku kiuchumi ndio maana kila leo wanaunda vikwazo.
Hiyo athari ya kuzuia 5G ya China unajua China ali respond vipi!?
Ndio maana nikakusisitiza nenda ukatizame kwanini kila TRADE WAR CHINA ANASHINDA DHIDI YA USA NA EU!??
Usiongee kama umelewa hansons choice bro.
Kama ubavu hana kwanini anaweza kushinda mbele yao!??

Mwaka huu China imetolewa ripoti anaongoza kwa uuzaji wa EV cars kushinda hata Tesla.
Na Ulaya takataka za China hususan BYD zimejaa kuliko za wazungu.
Walipiga kelele juu ya hili USA wakatoa wito waongeze higher tarrifs juu ya gari za umeme za China ziingiapo Ulaya.
URSULA VON DER LEYEN rais wa EU alitamka wazi kuwa hatuwezi kuwa tunakinzana na China kila muda,kuna kipindi viongozi wakae chini wafanye win to win situation negotiations juu ya masuala ya kibiashara.
Ndio uliona alianza Emmanuel Macron katembelea China,akafuatia kiongozi wa Italy,akafuatia chancellor wa Germany.
Jiulize hao viongozi wakubwa walifuata nini China??

Bro usiongee kama umelewa bana zungumza facts.
Jamaa anaichukulia poa sana China, BYD to the world

BYD wamezindua kiwanda Thailand kimeanza production

Imagine sasa hivi karibuni BYD wataanza uzalishaji Turkey, Brazil, Hungary, Mexico na Pakistan
 
German anaogopwa hadi leo na jeshi lake sio la kubeza. China anajeshi la hatari wanajeshi wake wanakula hadi vipepeo.
 
Jamaa anaichukulia poa sana China, BYD to the world

BYD wamezindua kiwanda Thailand kimeanza production

Imagine sasa hivi karibuni BYD wataanza uzalishaji Turkey, Brazil, Hungary na Pakistan
Kwa maendeleo ya sasa duniani China haepukiki. Ni vita vya kibiashara inayofanya dunia iendelee kusonga mbele, na vita hivi daima hupiganwa na mataifa makubwa tu sisi wengine tutabaki kuwa wachangiaji wa rasilimali katika mbio hizo za kimaendeleo duniani bila kutambulika kifaida.
 
URSULA VON DER LEYEN rais wa EU alitamka wazi kuwa hatuwezi kuwa tunakinzana na China kila muda,kuna kipindi viongozi wakae chini wafanye win to win situation negotiations juu ya masuala ya kibiashara.
Ndio uliona alianza Emmanuel Macron katembelea China,akafuatia kiongozi wa Italy,akafuatia chancellor wa Germany.
Jiulize hao viongozi wakubwa walifuata nini China??

Bro usiongee kama umelewa bana zungumza facts.
Jack Sullivan mshauri wa raisi Biden tarehe 27-29 August alikuwa China

Prime Minister wa Spain next week atakuwa na ziara China

Yaani China kama maji huwezi kuyakimbia
 
Mkuu mbishi ni wewe sio mimi.
Hao USA na EU inajulikana wanafanya juu chini kumzuia China asiwapiku kiuchumi ndio maana kila leo wanaunda vikwazo.
Hiyo athari ya kuzuia 5G ya China unajua China ali respond vipi!?
Ndio maana nikakusisitiza nenda ukatizame kwanini kila TRADE WAR CHINA ANASHINDA DHIDI YA USA NA EU!??
Usiongee kama umelewa hansons choice bro.
Kama ubavu hana kwanini anaweza kushinda mbele yao!??

Mwaka huu China imetolewa ripoti anaongoza kwa uuzaji wa EV cars kushinda hata Tesla.
Na Ulaya takataka za China hususan BYD zimejaa kuliko za wazungu.
Walipiga kelele juu ya hili USA wakatoa wito waongeze higher tarrifs juu ya gari za umeme za China ziingiapo Ulaya.
URSULA VON DER LEYEN rais wa EU alitamka wazi kuwa hatuwezi kuwa tunakinzana na China kila muda,kuna kipindi viongozi wakae chini wafanye win to win situation negotiations juu ya masuala ya kibiashara.
Ndio uliona alianza Emmanuel Macron katembelea China,akafuatia kiongozi wa Italy,akafuatia chancellor wa Germany.
Jiulize hao viongozi wakubwa walifuata nini China??

Bro usiongee kama umelewa bana zungumza facts.
Ndipo uache mahaba, nataka nijue China ilifanya nini baada ya kuzuiliwa installation za 5G tech.

Hao EU usifikiri ni wajinga , kuna bidhaa wata support kuna bidhaa watakataa, uchumi wa China hautegemei EVs, China kwa sehemu kubwa ameminywa kende yupo anajitutumua tu.

Hao EU ndio hao hao US , masuala ya kiuchumi ni complex, mtaendelea kila siku kusema uchumi wa China unapanda kasi mwakani anamzidi US.

Hivi unafikiri hao EU kuna nchi inataka ione China anakua kiuchumi kuliko US?

China ina safari ndefu, production kubwa ya EVs sio kukamata uchumi wa dunia.
 
Ndipo uache mahaba, nataka nijue China ilifanya nini baada ya kuzuiliwa installation za 5G tech.

Hao EU usifikiri ni wajinga , kuna bidhaa wata support kuna bidhaa watakataa, uchumi wa China hautegemei EVs, China kwa sehemu kubwa ameminywa kende yupo anajitutumua tu.

Hao EU ndio hao hao US , masuala ya kiuchumi ni complex, mtaendelea kila siku kusema uchumi wa China unapanda kasi mwakani anamzidi US.

Hivi unafikiri hao EU kuna nchi inataka ione China anakua kiuchumi kuliko US?

China ina safari ndefu, production kubwa ya EVs sio kukamata uchumi wa dunia.
Utaendelea kuruka ruka kama maharage ya Mbeya bro.
Hizo EV nimekutolea mfano kama wewe ulivyotolea mfano wa Huawei 5G,kwani China anategema uchumi wake kwenye 5G!!??
Suala la kuzuia 5g lilikuja sawa na suala la kui ban Huawei kutumia google pamoja na suala la USA kuongeza ushuru kwenye bidhaa za China.
Mwishowe China alizuia madini mkakati ya kuundia simu kwa USA hususan Iphone,akaongeza ushuru mkubwa na kodi kubwa katika uzalishaji wa hizo simu ndani ya China,aliongeza ushuru mara tatu ya alivyoongezewa yeye katika bidhaa za USA,alizuia vipuli vya utengenezaji boti kuelekea USA,alizuia malighafi chuma kuelekea USA.
Na katika miaka USA wali slow down kukua kiuchumi basi ni kipindi hiko.
Hadi wanauchumi wa USA walimsisitiza Trump amalize trade war na China.

Hao Ulaya kama wao unadhani wamembana kende China wasingekua wanapishana kwenda Beijing kuzungumza na Jinping.
Tulitarajia China ndio awe anazunguka mataifa ya Ulaya kuomba unafuu,badala yake mataifa ya Ulaya ndio yanaenda China kufanya nae negotiations.
Na wakati huo huo suala la BRI kuna mataifa ya Ulaya yalijitoa ikiwemo Italy,mwaka huu kiongozi wa Italy ameenda China kuomba kurudi kwenye BRI initiative.

China kwa uchumi tayari kiuhalisia amesham overtake USA kilichobaki kwa USA ni siasa tu ama propaganda za kumuonesha bado yupo juu.
*China inaongoza kwa contribution ya manufactured goods duniani zaidi ya 45% asilimia zilizobakia wanagawana mataifa mengine.
*China is the most industrialized nation.
*China ndio taifa ambalo benki kuu yake imekopesha usawia wa WB na IMF.Kitu ambacho akijaribu kufanya USA kwa benki yake anafirisika.
Ila benki kuu ya China ilitolewa ripoti kuwa imekopesha mataifa 138 na mataifa 38 yamesamehewa madeni.

Huko unakosema China amebanwa kende kabanwa kende wapi!??
Basi kama hao watu wa Ulaya na USA wamembana China kende tusiwaone wakipanga ziara za kwenda Beijing wakae watulie kwao.
 
Jack Sullivan mshauri wa raisi Biden tarehe 27-29 August alikuwa China

Prime Minister wa Spain next week atakuwa na ziara China

Yaani China kama maji huwezi kuyakimbia
Ndio huyu and 100 others atueleze kubanwa kende kwa China ni kupi kama hao westerners ndio wanapanga safu za kwenda kumtembelea China!??
 
China ndo alikuwa friend namba 1 wa Russia, leo hii Russia amepewa mfupa autafune (Ukraine) tunamuona rafiki yake China yupo mbali kabisa, hata kumsaidia risasi ameshindwa, China ameufyata kabisa.

Kukua kwa uchumi wa China kumesababishwa na uwekezaji wa Ulaya hapo China na Soko la China kwa nchi za Ulaya, hawa wakiamua China atetereke na ile population yake basi anatetereka vizuri.
Kumbe unaelewa vyema mkuu.
images


China anaogopa kuwekewa vikwazo.
Wakimtwanga vikwazo alivyopigwa Russia au Iran huwezi kumuona hapo alipo.

Ndio maana lazima ajikombe kwa West.
Huo ndio ukweli full stop.
 
Back
Top Bottom