Mataifa ambayo ni vigumu kuyavamia kijeshi duniani

Mataifa ambayo ni vigumu kuyavamia kijeshi duniani

Kumbe unaelewa vyema mkuu.
images


China anaogopa kuwekewa vikwazo.
Wakimtwanga vikwazo alivyopigwa Russia au Iran huwezi kumuona hapo alipo.

Ndio maana lazima ajikombe kwa West.
Huo ndio ukweli full stop.
Bila shaka hata Putin mwenyewe kwa sasa anajutia haya maamuzi ya vita, China ameonesha unafki mkubwa, ameshindwa hata na Iran na N.Korea.


Wakati vita vinaanza China alitoa mchango wa fedha kwa ajili ya kuwasaidia Ukraine, toka hapo nikajisemea kazi imeisha.
 
Bila shaka hata Putin mwenyewe kwa sasa anajutia haya maamuzi ya vita, China ameonesha unafki mkubwa, ameshindwa hata na Iran na N.Korea.


Wakati vita vinaanza China alitoa mchango wa fedha kwa ajili ya kuwasaidia Ukraine, toka hapo nikajisemea kazi imeisha.
Anajikomba na kulinda sana huo uchumi alipofikia yupo radhi afanye kitu kuwafurahisha wazungu lakini awaponze wenzake.

China ni kama mwanamke aliyehongwa gari na jamaa yake halafu kadi ya gari anabaki nayo jamaa, hivyo ili kusudi abaki na gari hata akimkuta jamaa na mchepuko ataongea hapo hasira zikiisha anaendelea kuwa kwenye mahusiano, akiogopa wakiachana status ya kumiliki gari wenzake watamcheka.

Anaogopa ku support Russia wazi wazi akiogopa west, humu watu watapindisha maneno na story nyingi lakini huo ndio ukweli.

Na West wameshamjua jamaa ni mtumwa kwenye pesa. Hivyo wanam control wanavyotaka wao.
 
Iran yupo top 10?!

Yule asiyeweza hata kujilinda anachezewa kila siku na Israel kama mtoto mdogo?!

Toa Iran kwenye hiyo top 10.
 
Tatizo wengi wamelishwa propaganda na media za Magharibi. Yuko hapa kuisifia Marekani taifa ambalo deni lake ni kubwa kuliko uchumi
Hakuna propaganda bali ukweli mtupu.

China anapelekeshwa na west kwa sababu ana shida. Full stop.

Na hio population aliyonayo akipigwa sanctions mtawahurumia.
 
Hakuna propaganda bali ukweli mtupu.

China anapelekeshwa na west kwa sababu ana shida. Full stop.

Na hio population aliyonayo akipigwa sanctions mtawahurumia.
Wenzeio wamekuja na fact wewe unaleta taarabu hapo kazi ipo kwa kweli
 
Ndio huyu and 100 others atueleze kubanwa kende kwa China ni kupi kama hao westerners ndio wanapanga safu za kwenda kumtembelea China!??
Hivi unafikiri Trump alipokwenda kuonana na Kim wa NK ilimaanisha uhasama wao umekwisha?

Kiongozi umenifurahisha sana, lengo la hizo ziara unaelewa ni nini?
 
Wenzeio wamekuja na fact wewe unaleta taarabu hapo kazi ipo kwa kweli
Sijaona facts hapo, hizo ni opinions zao binafsi.

Kama mnataka facts naweza weka facts, lakini ukweli ni kwamba China uchumi wake umeshikiliwa kwa sehemu kubwa na nchi za magharibi.

Wana uwezo kumshusha au kumpandisha, au kumbakiza alipo, full stop, haihitaji porojo nyingi.
 
China ndo alikuwa friend namba 1 wa Russia, leo hii Russia amepewa mfupa autafune (Ukraine) tunamuona rafiki yake China yupo mbali kabisa, hata kumsaidia risasi ameshindwa, China ameufyata kabisa.

Kukua kwa uchumi wa China kumesababishwa na uwekezaji wa Ulaya hapo China na Soko la China kwa nchi za Ulaya, hawa wakiamua China atetereke na ile population yake basi anatetereka vizuri.
Kukua kwa uchumi China chanzo sio kuwekeza kwa Ulaya China msitake kutudanganya.
China kufikia 1992 ilifanya massive industrialization kwa kuanzisha viwanda vikubwa,vya kati na vidogo kwa ujumla elfu 45.
Hivyo viwanda vingine vikimilikiwa na serikali na vingine vikiwa ni government subsidies.
Hakuna hata kiwanda kimoja ambacho kilikua cha mgeni.
Fuatilia viwanda vingine vikubwa vya teknolojia vya simu,magari,nguo n.k n.k vingi ni vya wazawa vikiwa na government subsidies.
Kama ingekua hivyo 2018 Trump alipomdindia Jinping basi angetoa viwanda vyake pale China.
Mbona hakuvitoa!??

Suala la Russia China alishaweka wazi hatoingilia vita ya Ukraine ila atakuwa msaidizi wa Russia kiuchumi.
Hiyo Russia mpaka unaiona imeshinda vikwazo vya USA ni kwa msaada wa kifedha wa China.
Tokea 2022 China amemwaga fedha nyingi sana pale Moscow ili uchumi usimame.
Muwe munafuatilia sio kuongea tu.
 
Anapelekeshwaje

Sijaona facts hapo, hizo ni opinions zao binafsi.

Kama mnataka facts naweza weka facts, lakini ukweli ni kwamba China uchumi wake umeshikiliwa kwa sehemu kubwa na nchi za magharibi.

Wana uwezo kumshusha au kumpandisha, au kumbakiza alipo, full stop, haihitaji porojo nyingi.
Hujioni kua wewe ndio unaleta upinion na wenzio wanaleta fact
 
Sijaona facts hapo, hizo ni opinions zao binafsi.

Kama mnataka facts naweza weka facts, lakini ukweli ni kwamba China uchumi wake umeshikiliwa kwa sehemu kubwa na nchi za magharibi.

Wana uwezo kumshusha au kumpandisha, au kumbakiza alipo, full stop, haihitaji porojo nyingi.
Kaka porojo unaleta wewe.
Kama Ulaya na USA ndio wameshikilia uchumi wa China kwanini huwa wanashindwa kwenye vita za kiuchumi!??
Hili mbona haulielezi!?
 
Hakuna propaganda bali ukweli mtupu.

China anapelekeshwa na west kwa sababu ana shida. Full stop.

Na hio population aliyonayo akipigwa sanctions mtawahurumia.
Una uhakika China hajawahi kupigwa sanctions na USA!??
😂😂😂😂Yani hata hujui kama China aliwahi kupigwa sanctions na USA aiseee!!

Kama China anapelekeshwa na West kwanini West ndio wanaenda kumuomba majadiliano!??
Kiongozi wa Italy alienda kumuomba Jinping arudi kwenye BRI initiative,viongozi wa France na Germany walienda kuzungumza naye masuala ya kibiashara Jinping.
Yani wewe uwe boss wangu unanimudu nikudindie halafu uje kuniomba yaishe na tuweke mambo sawa!??

Achana na yote,suala la kiongozi wa Italy kwenda China kuomba arudishwe kwenye Belt and Road Initiative baada ya kiongozi alopita kujitoa hilo unalionaje!??
 
Iran yupo top 10?!

Yule asiyeweza hata kujilinda anachezewa kila siku na Israel kama mtoto mdogo?!

Toa Iran kwenye hiyo top 10.
Israel amewahi kuivamia Iran kijeshi!??
Kama unazungumzia matukio ya kuvizia basi Israel inaongoza kwa kupigwa matukio ya kuviziwa na Hamas na Hizbollah.
Tena Israel haistahili kuwepo hapo kabbissa.
Wenzako wanazungumzia kuvamiwa kijeshi in full out war sio matukio ya assassination attempt ambayo hata USA yanatokeaga.
 
Kumbe unaelewa vyema mkuu.
images


China anaogopa kuwekewa vikwazo.
Wakimtwanga vikwazo alivyopigwa Russia au Iran huwezi kumuona hapo alipo.

Ndio maana lazima ajikombe kwa West.
Huo ndio ukweli full stop.
China aliwahi kuwekewa vikwazo na USA na vikwazo vikagoma.
Kama unabisha tunakuletea ushahidi hapa.

Ila hiyo Russia unayoisifia imeishinda vikwazo vya kiuchumi kutoka EU kwa msaada WA PESA ZA MCHINA.
China tokea 2022 kamwaga pesa sana kwa Putin kumsaidia kudhibiti uchumi wake usianguke.
Pia alikua akinunua kwa wingi bidhaa ambazo Westerners walizigomea kununua.
Kama China angechagua kumsaidia kijeshi Putin athari ya uchumi na vikwazo nani angemuokoa Putin!??
Iran au North Korea!??
 
Kama ni hivyo kati ya ukuaji wa uchumi wa China ukilinganisha na wa US+EU upi unafanya vizuri?
Uchumi wa China mnaelezewa unakuwa kwa kasi lakini haupo stable, ni kama gari inayopita bumpy road.

Huwezi linganisha na US.

Hata Japan ilitabiriwa itaizidi US.
Advantage ya China ilikuwa population kubwa na cheap labor, hivi sasa China malipo ya labor ni 300% kuliko Mexico, tupo hapa mtashuhudia kila siku kuambiana China inampita US.

Hio population yenyewe ya China waliokuwa wachapa kazi na cheap, wamepunguwa hivi sasa, vijana sasa wanataka malipo mazuri na maisha ya west zaidi.

Usisahau pia China kwa kutegenea foreign investments na hali ilivyo na US kwenye geopolitics inawafanya uchumi wao usiwe stable sana.
 
Back
Top Bottom