Mataifa ambayo ni vigumu kuyavamia kijeshi duniani

Mataifa ambayo ni vigumu kuyavamia kijeshi duniani

Yani wametoa sababu nyepesi sana aisee.
Mbaka nawashangaa.
Watu humu wanachukulia ubishani wa humu na uelewa wetu finyu kuwa hivyo ndivyo nchi zinapaswa kuongozwa hili ni tatizo.

Tanzania tuna mgogoro na Malawi ila hatupo tayari kuivamia Malawi si kwamba huo uwezo hatuna hapana tunao ila zile tu athari za kagera war sidhani kama kuna kiongozi atakuwa na ubavu wa kuipeleka nchi vitani kipuuzi.

Nchi zinaongozwa na washauri na wataalam wa masuala kadhaa hivyo hupima faida na hasara za maamuzi yao tena haya mataifa makubwa ambayo yapo katika vita za kushushana huwezi ipeleka nchi vitani kwa sababu za kipuuzi.

China wana mpango wa mwaka 2049 sio wa leo huu mpango, sasa fikiri taifa linawaza 2049 lifanikishe nini ndio uliingize vitani kwa sababu ya hisia na mihemko yako.

Xi yupo kwenye nafasi mbali mbali za uongozi wa China kwa zaidi ya miaka 40 sasa maana yake anaifahamu China, Taiwan na marekani kuliko sisi humu tunaotumia hisia zetu kutoa maamuzi
 
Hujaolewa maana ya 90%
Hiyo 90% haijafika.
Oktoba 7 2023 Hamas walirusha light rockets kusini mwa Israel takriban 5000,maroketi 2300 yalipenya na kuleta madhara,yaliyobaki ndio yalidunguliwa na iron dome.
Fanya hisabati 5000-2300 unapata ngapi.
Halafu tafuta percentage hapo je asilimia 90 imefikiwa!??
Turudi mfano wa Galilaya,mpaka kufikia mwezi June Hizbollah walifanya operation 689 za guided missiles kuelekea Kaskazini mwa Israel.
Katika mashambulizi yote hayo hakuna hata moja lililoweza kuzuiliwa.
Aya huo ufanisi uko wapi kaka!??
 
Hakuna mahali nimesema China anatumia sababu ya kulinda uchumi wake nisome vyema kila nacho andika.

Epusha hisia katika kuongoza si ajabu wewe ungekuwa kiongozi wa China, China isingekuwa hapo ilipo kwa kuendekeza fikra hizi pia nina hakika usingekuwa kiongozi wa China kwa fikra hizi.

Unasema China anapenda pesa tambua kuwa pesa ndio inayo ongoza dunia, nguvu ya marekani haipo kijeshi ipo kiuchumi huko ndipo kashikilia mifumo mingi ya kidunia unatazama namna dollars inavyo ipeleka dunia kwa maslahi ya marekani.

Huwezi muangusha adui yako kwa kuwaza kijeshi jeshi tu huku ukiwa dhoofu kihali kiuchumi.
Hiyo Iran,Korea kaskazini alizozitolea mfano zote ziko hali ngumu kiuchumi.
Mwisho mwezi wa 8 Iran walitaka kulipiza kisasi kwa Israel kwa kumuua mgeni ndani ya nchi yao,rais wa Iran alikataa huo ulipizaji kisasi na akasema wazi IRAN UCHUMI WAKE HAUKO KATIKA AFYA YA KIVITA.
Leo hii mtu anaendekeza hisia.

Na hata ukitizama sababu za Russia kupigana na Ukraine huwezi ukafananisha sababu walizozitoa wao za China amlipue Nancy Pelosi.
Yani ni sababu mbili tofauti.
Ugomvi wa Ukraine na Russia ni wa toka kuporwa Crimea bado haujaisha,huwezi ukaifananisha na sababu yao ya kumtaka China amlipua Pelosi kisa kaenda Taiwan.
Ukizingatia Taiwan haijawa ndani ya China kama Hong Kong ilivyo ndani ya sovereign ya China.
 
Hapo Kursk hata Hitler na Mwenzie Napoleon walikomea hapo hivyo elewa hao walioingia Russia wataishia hapo woote na Sasa wamezungukwa kwa Nyuma yaani nawahurumia sana kwanza kichapo wanachopokea sio cha kawaida.
Mkuu kuna special thread na live hapa JF ya kinachoendelea huko Urusi na Ukraine, usitupange 😃
 
Hiyo Iran,Korea kaskazini alizozitolea mfano zote ziko hali ngumu kiuchumi.
Mwisho mwezi wa 8 Iran walitaka kulipiza kisasi kwa Israel kwa kumuua mgeni ndani ya nchi yao,rais wa Iran alikataa huo ulipizaji kisasi na akasema wazi IRAN UCHUMI WAKE HAUKO KATIKA AFYA YA KIVITA.
Leo hii mtu anaendekeza hisia.

Na hata ukitizama sababu za Russia kupigana na Ukraine huwezi ukafananisha sababu walizozitoa wao za China amlipue Nancy Pelosi.
Yani ni sababu mbili tofauti.
Ugomvi wa Ukraine na Russia ni wa toka kuporwa Crimea bado haujaisha,huwezi ukaifananisha na sababu yao ya kumtaka China amlipua Pelosi kisa kaenda Taiwan.
Ukizingatia Taiwan haijawa ndani ya China kama Hong Kong ilivyo ndani ya sovereign ya China.
Watu humu wanaandika matamanio zaidi.

Naamini ziara ya shoigu Iran haikuwa ya hivi hivi bila sababu za msingi hasa kipindi kile tension zilikuwa zime raise high kati ya Israel na Iran kuna kitu shoigu alishauri pia.

Yaani Russia yupo vitani huku anakuja Pelosi haya unataka kuingiza China vitani na huku Israel ana mchokoza Iran unataka Iran iingie vitani sasa hapa nani atamsupport mwenzake ? Vitu vingine tutumie akili tu ya kawaida
 
Nimetoa mfano wa choo ili ujue wanatumia tech na kunufaika nayo katika maisha ya kila siku, kupika,matibabu , usafiri n.k imekuwa kwao ni maisha ya kila siku ya kawaida, wamehama totally wao ni kutumia tech tu.

Kwa dunia Japan ndio technologically advanced country duniani.

Elewa maana ya technologically advanced, tafuta google mzee uje unipe majibu.

Japan tech ni kama utamaduni kwao, mbali na China bado na wao wana catch up hasa maeneo ya mijini.

Ukienda Japan ukakuta ile migahawa yao unahudumiwa na miroboti ndipo utashangaa, kwao hayo zilipendwa.

Tech imekuwa kwenye maisha yao kila siku, huku China baadhi ya vijiji wakipika kwa kuni.
Upo sahihi
 
Kama wewe ni mtu unayefuatilia diplomasia kwa wingi huwezi ukatilia shaka uwezo wa China eti kisa katoa mikwara kwa USA na hajaitimiza.
Mataifa makubwa sio MBUMBUMBU kama wewe kijana mdogo.
Huwa wanapima athari ya wanachotaka kufanya.
China hajaifanyia annexation Taiwan,ana authority gani ya kuiamulia Taiwan!??
Embu tizama Hong Kong mbona USA hadi leo hii anashindwa kuingilia anachofanya China Hong Kong!?
Tizama South China sea ambako Phillipines aliibiwa visiwa na China,mbona USA alitishiwa na Dongfeng ballistic missiles na akaondoa Aircraft carriers zake??
Subiri China awe ana total sovereignty juu ya Taiwan halafu uone nini na kipi anaweza kufanya.
Unachosema kipo sahihi na wala sikupingi hata kidogo. Cha kwanza kinachoangaliwa ni athari za hatua unazotaka kuchukua kwqhiyo sikatai kwanini China alishindwa kuitungua ndege iliyombeba Pelosi (Civilian aircraft) that could be a triggering point. Ila kuhusu China kuwa na total sovereignty over Taiwan hilo sahau mkuu.
 
Kama China anatetereshwa nakuomba utuambie mkuu ama utufafanulie vitu vitatu ama vinne vifuatavyo;
1)Kwanini USA hadi sasa kakimbia South China sea na kashindwa kukomboa visiwa vilivyonyakuliwa na China tangia 2018??
2)Kwanini trade war baina ya China na USA China ameshinda??
3)Kwanini USA ameshindwa kumuwekea vikwazo China kwa kufanya biashara na mataifa aliyoyawekea vikwazo vya kiuchumi?
4)Kwanini USA na UK wameshindwa kuamua lolote juu ya Hong Kong ambayo inaletewa ubabe kila leo na China??

Unaweza ukatufafanulia hapo kwanini!??
Mkuu hayo maswali hayana hata haja nikujibu.
Hata nikijibu paragraph itakuwa ndefu mno kwa usomaji, na nikutoe shaka hayo maswali yako hayahalalishi kwamba China anajikomba kwa west aendelee kutengeneza uchumi.

US anamchukulua China ni threat, hata hii vita ya Russia na Ukraine, China kashindwa kuwa na kauli thabiti yupo upande upi, hana maamuzi.

Hapo umeelewa, China wanakuwa treated vibaya na US na west lakini wamo tu, wana force mahusiano.

Lakini namshukuru kwa hilo.
 
Mkuu hayo maswali hayana hata haja nikujibu.
Hata nikijibu paragraph itakuwa ndefu mno kwa usomaji, na nikutoe shaka hayo maswali yako hayahalalishi kwamba China anajikomba kwa west aendelee kutengeneza uchumi.

US anamchukulua China ni threat, hata hii vita ya Russia na Ukraine, China kashindwa kuwa na kauli thabiti yupo upande upi, hana maamuzi.

Hapo umeelewa, China wanakuwa treated vibaya na US na west lakini wamo tu, wana force mahusiano.

Lakini namshukuru kwa hilo.
😂😂😂😂😂😂Mkuu unaruka ruka kama bisi tu.
Kama ingekua China yuko ill treated na Westerners na USA halafu anakaa kimya basi kila trade war angekua anafeli,angewekewa vikwazo kwa kushirikiana na mataifa yaliyowekewa vikwazo pia angeshaamuliwa juu ya Hong Kong na South China.
China kuhusu Russia alisema hatoingilia vita kati ya Ukraine na Russia ila ataendelea kuwa mshirikia na msaidizi wa Russia kiuchumi.
Ndio maana unaona licha ya NATO na EU kumpa package ya vikwazo Russia vya kiuchumi usaidizi wa China ndio umeifanya Russia isimame kiuchumi pale ilipo.Kama isingekua China Russia ingekua inapata anguko la uchumi ikiwa vitani.

Kaisome China vizuri mkuu kesha ndio urejee,hiyo China ilipozuiliwa kutumia google nayo ikapiga ban madini ya kimkakati ya utengenezaji simu na kusababisha iphone kushuka uzalishaji wake.
Kama ingekua China wanajikomba wasingekua wanarudisha mashambulizi katika trade war.
 
Unachosema kipo sahihi na wala sikupingi hata kidogo. Cha kwanza kinachoangaliwa ni athari za hatua unazotaka kuchukua kwqhiyo sikatai kwanini China alishindwa kuitungua ndege iliyombeba Pelosi (Civilian aircraft) that could be a triggering point. Ila kuhusu China kuwa na total sovereignty over Taiwan hilo sahau mkuu.
Sisi binadamu hatujui ya kesho yetu kaka.
Hata pale South China kila mtu alisema aaah kwasababu USA chini ya uongozi wa Trump umepeleka aircraft carriers na battleships,basi China ata surrender na atarudisha visiwa Phillipines na kuiachia njia ya South China sea.😂😂😂
Mwishowe kajenga kisiwa bandia cha kijeshi na ku deploy silaha nzito zilizomfanya hata USA mwenyewe arudi alipotoka.
China ni mtu ambaye anakubana kiuchumi kwanza kabla ya kukuvamia,Taiwan ilishaanza kuhujumiwa kiuchumi,hatujui ya mbeleni tusimalize maneno.
 
😂😂😂😂😂😂Mkuu unaruka ruka kama bisi tu.
Kama ingekua China yuko ill treated na Westerners na USA halafu anakaa kimya basi kila trade war angekua anafeli,angewekewa vikwazo kwa kushirikiana na mataifa yaliyowekewa vikwazo pia angeshaamuliwa juu ya Hong Kong na South China.
China kuhusu Russia alisema hatoingilia vita kati ya Ukraine na Russia ila ataendelea kuwa mshirikia na msaidizi wa Russia kiuchumi.
Ndio maana unaona licha ya NATO na EU kumpa package ya vikwazo Russia vya kiuchumi usaidizi wa China ndio umeifanya Russia isimame kiuchumi pale ilipo.Kama isingekua China Russia ingekua inapata anguko la uchumi ikiwa vitani.

Kaisome China vizuri mkuu kesha ndio urejee,hiyo China ilipozuiliwa kutumia google nayo ikapiga ban madini ya kimkakati ya utengenezaji simu na kusababisha iphone kushuka uzalishaji wake.
Kama ingekua China wanajikomba wasingekua wanarudisha mashambulizi katika trade war.
Acha ubishi, China inajikakamua mno na wao wajikute wanapambana na US lakini nchi nyingi za EU wanamsikiliza US.

Tech ya 5G angalia ilivyopigwa figisu, China walishatest transmitter zao Australia, Japan, UK n.k US ikaweka majungu, 5G ya China ikadoda, nadhani Russia ndiye alikubali kutumia.

Qualcomm kuja kuachia 5G nchi zote hizo zikatumia.

Binafsi kwa maoni yangu, China inajipendekeza kiaina kwa west.

Bado haijawa na uwezo totally kuingia vita ya kiuchumi na US.
 
Sisi binadamu hatujui ya kesho yetu kaka.
Hata pale South China kila mtu alisema aaah kwasababu USA chini ya uongozi wa Trump umepeleka aircraft carriers na battleships,basi China ata surrender na atarudisha visiwa Phillipines na kuiachia njia ya South China sea.😂😂😂
Mwishowe kajenga kisiwa bandia cha kijeshi na ku deploy silaha nzito zilizomfanya hata USA mwenyewe arudi alipotoka.
China ni mtu ambaye anakubana kiuchumi kwanza kabla ya kukuvamia,Taiwan ilishaanza kuhujumiwa kiuchumi,hatujui ya mbeleni tusimalize maneno.
Diplomasia ni pana sana, yanayokubaliwa leo asubuhi jioni yanaweza yakavunjwa na wahusika kutangaziana ubaya kama vile asubuhi hawakukaa meza moja. Ila jua kuwa yanayowekwa wazi kwa jamii ya kimataifa si yale wanayokubaliana katika vikao vya siri kaka. It needs a very comprehensive knowledge to understand this mkuu
 
Mkuu unaleta leta stori za zilipendwa,sawa tunajua Japan ilikua na jeshi imara kabla ya WW 2.
Ila kwasasa China ina jeshi imara kuliko Japan mkuu.
Sio infantry,sio kimakombora ,sio kwa fighter jets wala sio kwa submarines.
Sababu inayomfanya China atoe mikwara mingi ni uchumi tu.
Na ukitizama China haikuwa na sababu haswa ya kumlipua Nancy Pelosi alipotembelea Taiwan,taifa lenyewe China bado hawajalichukua bado.
Embu rejelea Korea war 1959 unadhani nani alimpa nguvu North Korea akaishinda South korea ambayo ilikua na msaada wa kijeshi wa USA kama sio China!?
Rejelea pale South China sea,US alipeleka meli vita na aircraft carrier akimuahidi Phillipines atamkombolea visiwa vyake,China alipo deploy dongfeng ballistic missiles 2018 hakuna meli vita ya USA ilikatiza na kupita South China sea.

Tunakubali Japan alikua ni taifa lenye nguvu hapo kabla.
Ila China ni nightmare mkuu.
China iachwe kama ilivyo.
Wewe una ushabik maandazi tu, North Korea haikushinda vile vita na laiti kama wangeshinda basi wangekuwa na eneo kubwa la ardhi kijiografia kuliko Korea Kusini na haiko hivyo.

 
Tech ya 5G angalia ilivyopigwa figisu, China walishatest transmitter zao Australia, Japan, UK n.k US ikaweka majungu, 5G ya China ikadoda, nadhani Russia ndiye alikubali kutumia
But at what cost?

Wamelazimika ili kuiridhisha Marekani tu na bado huduma zinasuasua, leo hii ukienda UK internet huduma sio nzuri tangu waachane na Huawei

Hata Marekani mwenyewe bado anatumia Huawei 5G devices kwenye mataifa mengine ambayo ana kambi za kijeshi. Na wameona mi vigumu sana kuachana na huduma ya Huawei

Mchina hauwezi kumkimbia dunia ya sasa
 
Acha ubishi, China inajikakamua mno na wao wajikute wanapambana na US lakini nchi nyingi za EU wanamsikiliza US.

Tech ya 5G angalia ilivyopigwa figisu, China walishatest transmitter zao Australia, Japan, UK n.k US ikaweka majungu, 5G ya China ikadoda, nadhani Russia ndiye alikubali kutumia.

Qualcomm kuja kuachia 5G nchi zote hizo zikatumia.

Binafsi kwa maoni yangu, China inajipendekeza kiaina kwa west.

Bado haijawa na uwezo totally kuingia vita ya kiuchumi na US.
Mkuu mbishi ni wewe sio mimi.
Hao USA na EU inajulikana wanafanya juu chini kumzuia China asiwapiku kiuchumi ndio maana kila leo wanaunda vikwazo.
Hiyo athari ya kuzuia 5G ya China unajua China ali respond vipi!?
Ndio maana nikakusisitiza nenda ukatizame kwanini kila TRADE WAR CHINA ANASHINDA DHIDI YA USA NA EU!??
Usiongee kama umelewa hansons choice bro.
Kama ubavu hana kwanini anaweza kushinda mbele yao!??

Mwaka huu China imetolewa ripoti anaongoza kwa uuzaji wa EV cars kushinda hata Tesla.
Na Ulaya takataka za China hususan BYD zimejaa kuliko za wazungu.
Walipiga kelele juu ya hili USA wakatoa wito waongeze higher tarrifs juu ya gari za umeme za China ziingiapo Ulaya.
URSULA VON DER LEYEN rais wa EU alitamka wazi kuwa hatuwezi kuwa tunakinzana na China kila muda,kuna kipindi viongozi wakae chini wafanye win to win situation negotiations juu ya masuala ya kibiashara.
Ndio uliona alianza Emmanuel Macron katembelea China,akafuatia kiongozi wa Italy,akafuatia chancellor wa Germany.
Jiulize hao viongozi wakubwa walifuata nini China??

Bro usiongee kama umelewa bana zungumza facts.
 
Back
Top Bottom