Taja hivyo viwanda vikubwa unavyosemea wewe.Nikukumbushe tuu viwanda vikubwa china hutumia technology ya mjapan yaan kuufanyia mtambo service hadi mjapan aje. Hapo utamshindana vipi na mjapan.....
Huongei na mtoto hapa ukamlisha kimba kwa kijiko.
Viwanda vya magari?
Viwanda vya simu?
Nuclear plant?
Viwanda vya uundaji reli na engine zake!??
Viwanda vipi!!??
Andika hapo chini WITH VIVID EVIDENCE.