Taja hivyo viwanda vikubwa unavyosemea wewe.Nikukumbushe tuu viwanda vikubwa china hutumia technology ya mjapan yaan kuufanyia mtambo service hadi mjapan aje. Hapo utamshindana vipi na mjapan.....
Nimemaanisha mitambo mikubwa viwandani. Kiwanda kinaweza kuwa cha mchina au shirika la china ila mitambo inayofanya operations ndani ya kiwanda namaanisha.Taja hivyo viwanda vikubwa unavyosemea wewe.
Huongei na mtoto hapa ukamlisha kimba kwa kijiko.
Viwanda vya magari?
Viwanda vya simu?
Nuclear plant?
Viwanda vya uundaji reli na engine zake!??
Viwanda vipi!!??
Andika hapo chini WITH VIVID EVIDENCE.
Ndio taja hiyo mitambo mikubwa ya kiwanda gani?Nimemaanisha mitambo mikubwa viwandani. Kiwanda kinaweza kuwa cha mchina au shirika la china ila mitambo inayofanya operations ndani ya kiwanda namaanisha.
Wewe ni industrialist emu tuanzie hapo kwanza?????Ndio taja hiyo mitambo mikubwa ya kiwanda gani?
Mimi ni physician,ila haimaanishi ukinambia masuala ya industrial issues nitashindwa kuelewa.Wewe ni industrialist emu tuanzie hapo kwanza?????
Nimetoa mfano wa choo ili ujue wanatumia tech na kunufaika nayo katika maisha ya kila siku, kupika,matibabu , usafiri n.k imekuwa kwao ni maisha ya kila siku ya kawaida, wamehama totally wao ni kutumia tech tu.Halafu mkuu bana unaleta vichekesho😂😂😂😂😂.
Unazungumzia masuala ya vyoo tena hapa!?
Mimi nazungumzia critical infrastructures kama paved roads,cable stayed bridges,railway system,skyscrapers vyote hivyo Japan hampati China.
Katika hizo sekta China kampita mbali sana Japan.
Ukibisha tulinganishe kimoja baada ya kingine.
Unahama nje ya mada.Nimetoa mfano wa choo ili ujue wanatumia tech na kunufaika nayo katika maisha ya kila siku, kupika,matibabu , usafiri n.k imekuwa kwao ni maisha ya kila siku ya kawaida, wamehama totally wao ni kutumia tech tu.
Kwa dunia Japan ndio technologically advanced country duniani.
Elewa maana ya technologically advanced, tafuta google mzee uje unipe majibu.
Japan tech ni kama utamaduni kwao, mbali na China bado na wao wana catch up hasa maeneo ya mijini.
Ukienda Japan ukakuta ile migahawa yao unahudumiwa na miroboti ndipo utashangaa, kwao hayo zilipendwa.
Tech imekuwa kwenye maisha yao kila siku, huku China baadhi ya vijiji wakipika kwa kuni.
Jeshi la JK hiloHapana shaka hii ni CONGO DR
Ukimuona mtu yeyote amesimama sana na China dhidi ya US, ujue ana chuki zake binafsi na US. Ni ukweli usiopingika bila US na Ulaya China isingefika hapo kimaendeleo.Fuatilia vizuri history ya Japanese.
Hao viumbe ilikuwa species nyingine.
China hio iliyosema ina attack ndege ya Pelosi baadae kumbe ni mkwara, enzi za Japan hio ndege ingepigwa.
Shambulizi la Pearl Harbor walichokifanya ilikuwa kama movie hata US alishindwa kuelewa hao viumbe wanajiamini kitu kipi.
Hao jamaa waache waachane na vita. Walikuwa si watu walikuwa shetani.
Kwenye technology Japan itakuwa inaizidi China hasa electronics, nakubali China kuna vitu inaizidi Japankwenye tech hasa telecommunications, energy n.k, ika robotics n.k China haina nafasi kwa Japan.
Mwambie anuse pale Taiwan kama mwenzie alivyonusa Ukraine. Achana na tawimu za vita pekee pasipo uzoefu wa mapambano, China mweupe tu kama alivyo Russia.Mkuu unaleta leta stori za nilipendwa,sawa tunajua Japan ilikua na jeshi imara kabla ya WW 2.
Ila kwasasa China ina jeshi imara kuliko Japan mkuu.
Sio infantry,sio kimakombora ,sio kwa fighter jets wala sio kwa submarines.
Sababu inayomfanya China atoe mikwara mingi ni uchumi tu.
Na ukitizama China haikuwa na sababu haswa ya kumlipua Nancy Pelosi alipotembelea Taiwan,taifa lenyewe China bado hawajalichukua bado.
Embu rejelea Korea war 1959 unadhani nani alimpa nguvu North Korea akaishinda South korea ambayo ilikua na msaada wa kijeshi wa USA kama sio China!?
Rejelea pale South China sea,US alipeleka meli vita na aircraft carrier akimuahidi Phillipines atamkombolea visiwa vyake,China alipo deploy dongfeng ballistic missiles 2018 hakuna meli vita ya USA ilikatiza na kupita South China sea.
Tunakubali Japan alikua ni taifa lenye nguvu hapo kabla.
Ila China ni nightmare mkuu.
China iachwe kama ilivyo.
Ile WW 2 ilibadili upepo wa mataifa makubwa mawili ambayo wangekuwa wamejikita ktk zana za kijeshi mpaka sasa basi ingekuwa ni changamoto.Hukupaswa kusema Japan isingemfikia China kijeshi.
Japan iliachana na masuala ya vita, ikawekeza kwenye tech, elimu, uchumi n.k wangewekeza kwenye vita pale Asia kungekuwa hakukaliki.
Haijalishi China ingekuwa na ndege zipi za kivita au makombora lakini Japanese walikuwa wana roho za ajabu, kujitoa mhanga na kukata mtu mapanga au kuchinja kwao ilikuwa ni kama jambo la kawaida.
Morali yao kivita hata US wenyewe waliogopa, unachokiona Gaza Israel akiabika na Hamas utagundua vita ni kitu cha ajabu.
Sasa Japan wangeendelea na ule uelekeo, ni watu walikuwa na roho za ujasiri, halafu wangekuwa na tech kubwa kivita.
China ingekuwa challenged tena si kidogo.
Wanachuana? Hivi unaweza thubutu kumringanisha US na China upande wa Tech? Tukisema hapa tuweke Tech ambazo US kaanzisha na China kaanzisha utaona kuna mringano? Hizi Tech ambazo China anaendeleza ndo mnamringanisha na US?Kwenye teknolojia China na marekani ndio wanao chuana.
Naomba nikukumbushe kitu mkuu. Miaka ya nyuma US alipambanishwa na Japan kitech kama hivi leo inavyopambanishwa na US na China, Japan ilikuwa hatari ktk Tech mpaka ikahisiwa kuchukua dola endapo US ikianguka.Miji ya Japan kwa tech China inajitahidi ku catch up, China kwenye miji mikubwa ana infrastructures nzuri sikatai, Japan hadi vijijini wameendelea hilo halina ubishi.
Japan vyoo tu vyenyewe vya public ukiwa unapita unaona ni transparent,ukiingia ndani kinajibadili na kujiweka rangi mtu nje hakuoni.
Kuna namna flani Japan kwenye tech katika maisha ya kila siku wapo mbali, usiwachukulie poa asee.
Suala la airlines Japan ilitengeneza comercial airline miaka ya 1940's, hata hiko kiwanda cha subaru kilikua ni kiwanda cha kutengeneza ndege cha Japan, kikiitwa Nakajima.
Japan kutotengeneza airline sio ipo nyuma kwenye tech ni vipaumbele nyuma walitengeneza airlines wakaacha.
Unapoteza muda wako kuwajibu hao, China ilikuwa ikifanya mazoezi majini, baadae wakatoa vitisho vizito endapo Peros angekanyaga ardhi ya Taiwan.China ilitoa vitisho, siku hio ilikua dunia nzima wakitizama ndege ya Pelosi kwenye flightradar inavyokwenda, kitu kilichopelekea hadi hio App ya flightradar ika crash.
China walisema watachukua hatua na walitoa onyo, kwa mujibu wa flightradar walisema ndio ndege ambayo ilikuwa tracked na watu wengi duniani katika muda wote.
Sasa kama China haikutoa vitisho kwanini ni ndege ambayo ilikuwa tracked zaidi?