Mataifa kadhaa ya kiafrika yakabiliwa na upungufu wa dola ya Marekani

Mataifa kadhaa ya kiafrika yakabiliwa na upungufu wa dola ya Marekani

Wao wamesema wanabadili $ kwa yuan na jamaa anawachora tu
Kwa mataifa ya ki Africa bora wangekaa kimya tu waachie kwanza hao mahasimu wapambane
Ukiherehere wa Ruto na kuropoka sasa hata mishahara kashindwa kulipa

Kinachofuata ni hao hao wazungu kupiga kampeni za chini chini ili ajiuzuru na mataifa mengine tutegemee vurugu

Vurugu huwa zinaanzia Tumboni
 
Achana na hizo siasa feki, kwa hiyo madeni mtalipaje na mikopo mtapewaje...!!
Na securities kama treasury bonds za Marekani walizonunua pia. Kiranja wao China wanaomtegemea anazo securities za Marekani za USD Trillion 1! Dolla ikianguka na yeye anakwenda na maji, hawezi kuwa mjinga kiasi hicho[emoji1787]
 
Hizo ni porojo tu, hapo BRICS mtu mwenye uchumi mkubwa ni China, wateja wa wakubwa wa bidhaa za China ni West na wananunua kwa dollars, South Africa wananua bidhaa kwa dollars China, India na China haziivi, kwa sasa kutumia Yuan ni sawa na ndoto za mchana.
Ficha ujinga kijana acha kukariri madesa ya darasani China ni swala LA muda tu fedha yao kuanza kuwa popular kwenye manunuzi duniani tatizo hamuamini kuwa dollars inapungua ushawishi wake kwenye manunuzi juzi France kanunua gesi iliyochakatwa kwa yuan ya China usiisi kama ni swala LA bahati mbaya ila ni mipango ya polepole ya China kwenye kuiandaa pesa yake kufanya manunuzi kwenye bidhaa zinazotoka nchini make

Kitendo cha kuzipatanisha nchi maadui kama Irani na Saudia tna kwa kumaliza mgogoro mzito pale Yemen itampa hecko sana China polepole anachukua ushawishi wa bwana mkubwa tena kwenye Yale maeneo nyeti sana.

Tukumbuke China ndyo mnunuzi mkubwa wa nishati duniani pamoja na mali asili nyingine na ndyo muuzaji mkubwa wa bidhaa nyingi duniani kama pesa yake ikianzaa kutumika kwenye manunuzi mbalimbali jua tu kuna balaa linakuja kuipata dola Sikh si nyingi. Yote west ndyo waliyatengeneza waliingia mtegoni kwa Russia kununua gesi na mafuta kwa pesa ya Russia sasa ule mtego umefyetuka kwa wengine, majibu yatapatikana 2025
 
Watafute Yuan au Ruble wakatimilize mahitaji yao.

Hata hapa Tz dollar haipo

Sijaelewa sababu ya dollar kupungua kiasi hiki, je ni Marekani kafanya makusudi?
Umejuaje dollar haipo,kabla Magufuri hajaipa majukumu banks kukusanya Forex ndo Forex zilikuwa zinafichwa but the guy was genius now Forex zipo za kutosha na destination ni BOT banks are doing marvelous things
 
Na securities kama treasury bonds za Marekani walizonunua pia. Kiranja wao China wanaomtegemea anazo securities za Marekani za USD Trillion 1! Dolla ikianguka na yeye anakwenda na maji, hawezi kuwa mjinga kiasi hicho[emoji1787]
Aluyekwambia ivyoo nani ivi darasani mnaenda kusoma nini hasara atakayopata marekani uchumi wake ukianguka ni kubwa kuliko ile ambayo China ataipata kushikilia bond za mwenzako haimaanishi wote mtatetereka pamoja, kile anachokifanya Leo China kuanza kupunguza utegemezi wa dolla ndyo anguko ambalo litaipata marekani wao wenywe China siyo wajinga kama wengi wanavyoisi na ubaya China anacheza karata zake kwa umakini sana toka Yale aliyoyapata Russia kwenye kubanwa kwa pesa zake njee China amejifunza iloo.

Wengi wanamuona China kama kubwa jinga ila nawakumbusha tu siku China akiwekewaa vikwazo kama alivyowekewa Russia jua kabisaa maandamano ya kuzing'oa serikali kwenye mataifa yataanzia marekani hadi sisi wenyewe na inflation itakayotokea itakuwa haijawai kutokea duniani jitaidini msome nguvu ya China duniani bila China inflation ambayo Russia angeipata naisi maandamano yangemtoa Putin kabla ata operation yake haijafika mwaka
 
Acha siasa we mkurya na usomi wako wa uchumi bado huelewi kitu.

Sasa kama zimeongeza hifadhi zingine kwanini walilie kupungua kwa USD?
Twende taratibu wewe umeuliza sababu huna jibu,basi kama unabishana na jibu langu nipe la kwako.
Kwa nini Tanzania Tina shortage of USD kama hiyo article inavyosema ili hali kwa sasa kinachotupatianUSD kwa wingi kama tourism sector inafanya vizuri na chakula tuna export.
 
80% ya biashara ya kimataifa inafanyika kwa USD , 3% tu ya biashara ya dunia ndio inafanyika kwa Yuan, achana na ndoto za mende kuangusha kabati, haya mambo mengine anti-west mnayoyaota na kupigia hesabu ni kama kuwa mateja wa unga.
Ficha ujinga kijana acha kukariri madesa ya darasani China ni swala LA muda tu fedha yao kuanza kuwa popular kwenye manunuzi duniani tatizo hamuamini kuwa dollars inapungua ushawishi wake kwenye manunuzi juzi France kanunua gesi iliyochakatwa kwa yuan ya China usiisi kama ni swala LA bahati mbaya ila ni mipango ya polepole ya China kwenye kuiandaa pesa yake kufanya manunuzi kwenye bidhaa zinazotoka nchini make

Kitendo cha kuzipatanisha nchi maadui kama Irani na Saudia tna kwa kumaliza mgogoro mzito pale Yemen itampa hecko sana China polepole anachukua ushawishi wa bwana mkubwa tena kwenye Yale maeneo nyeti sana.

Tukumbuke China ndyo mnunuzi mkubwa wa nishati duniani pamoja na mali asili nyingine na ndyo muuzaji mkubwa wa bidhaa nyingi duniani kama pesa yake ikianzaa kutumika kwenye manunuzi mbalimbali jua tu kuna balaa linakuja kuipata dola Sikh si nyingi. Yote west ndyo waliyatengeneza waliingia mtegoni kwa Russia kununua gesi na mafuta kwa pesa ya Russia sasa ule mtego umefyetuka kwa wengine, majibu yatapatikana 2025
 
Hizo ni porojo tu, hapo BRICS mtu mwenye uchumi mkubwa ni China, wateja wa wakubwa wa bidhaa za China ni West na wananunua kwa dollars, South Africa wananua bidhaa kwa dollars China, India na China haziivi, kwa sasa kutumia Yuan ni sawa na ndoto za mchana.
Unajua takwimu sasa zinaonyesha BRICS imeipita G7 countries kwenye GDP nenda kwenye makala ya biashara ya kimataifa kasome utaelewa hata wao wanamesha liona hilo in ten years from now kama hawato find away wanakwenda kuanguka vibaya hasa.

USA ndio mwenye shida kubwa sababu ana previllage ya USA DOLLAR kama International currency kwahiyo kama Fed wanauwezi wa kuprint US dollar kwa wengi na kuback up matumizi yao na kusiwe na shida yoyote sasa mambo yanavyo kwenda ni tofauti na kwa speed ya 5G kwani kabla ya VITA UKRAINE biashara zote zilikuwa zikifanywa under USA dollar lkn sasa over 20% za biashara za kimataifa zinafanywa under different currency na hazina uhusiano wowote na WORLD BANK or IMF .

MFANO Mdogo tu Tanzania na India wamekubaliana kufanya biashara na malipo yawe kwa RUPUEE ya India kwahiyo uhitaji dollar tena kati ya India na TANZANIA.

Sent from my SM-S901B using JamiiForums mobile app
 
Yuan inakuja kwa kasi katika global foreign currency reserves ila bado ina safari ndefu kuifikia US$

US$ katika global foreign currency reserves imeshuka kwa 10 kutoka 71% mwaka 2000 mpaka 61% mwaka 2022 ikiendelea kushuka hivi inaipa nafasi Yuan
 
Global foreign currency reserves, fourth quarter of 2022.

US Dollar: $6.4 trillion
Euro: $2.2 trillion
Japanese yen: $0.6 trillion
UK pound: $0.5 trillion
Chinese renminbi: $0.3 trillion

(IMF)
 
Imenibidi nisome hiyo article kwa makini sana kwa kile kinachosema kuwa Tanzania ina USD shortage ilihali sector ya utalii inauotuletea USD nyingi inafanya vizuri.

Imenibidi nipitie taarifa za B.O.T kuangalia kulikoni,ukiangalia data za mwezi 3 mwaka 2022, na mwezi 3 mwaka 2023 kuna nakisi kubwa inaongezeka kati ya export na import (B.O.P) katika kipindi cha huu mwaka 1.

Vilevile,madeni yameongezeka kwa kiasi kikubwa,ambapo Katibu kila mwezi kinatengwa 1/2 ya kiasi cha makusanyo kinatengwa katika Ku service mkopo ambayo inalipwa kwa USD.

Hayo yote ndio yamepelekea hizo Nchi kuanza makubaliano na Nchi washirika kulipana na Ku trade kwa currency zao ili kukwepa gharama za kubadilishana kwa USD
 
Hata ukikopa kwa Yuan au Rubu itakubidi kulipa tu.
Imenibidi nisome hiyo article kwa makini sana kwa kile kinachosema kuwa Tanzania ina USD shortage ilihali sector ya utalii inauotuletea USD nyingi inafanya vizuri.

Imenibidi nipitie taarifa za B.O.T kuangalia kulikoni,ukiangalia data za mwezi 3 mwaka 2022, na mwezi 3 mwaka 2023 kuna nakisi kubwa inaongezeka kati ya export na import (B.O.P) katika kipindi cha huu mwaka 1.

Vilevile,madeni yameongezeka kwa kiasi kikubwa,ambapo Katibu kila mwezi kinatengwa 1/2 ya kiasi cha makusanyo kinatengwa katika Ku service mkopo ambayo inalipwa kwa USD.

Hayo yote ndio yamepelekea hizo Nchi kuanza makubaliano na Nchi washirika kulipana na Ku trade kwa currency zao ili kukwepa gharama za kubadilishana kwa USD
 
Wewe unafahamu unachoongea lkn. Angalia exchange rate dollar dhidi ya madafu kisha utupe jibu. Pili, sasa hivi jaribu kuagiza bidhaa yoyote China au India uone Proforma Invoice wataandika sarafu gani.
Achana na huyo mkurya kihiyo
 
Wao wamesema wanabadili $ kwa yuan na jamaa anawachora tu
Kwa mataifa ya ki Africa bora wangekaa kimya tu waachie kwanza hao mahasimu wapambane
Ukiherehere wa Ruto na kuropoka sasa hata mishahara kashindwa kulipa

Kinachofuata ni hao hao wazungu kupiga kampeni za chini chini ili ajiuzuru na mataifa mengine tutegemee vurugu

Vurugu huwa zinaanzia Tumboni
Mfano Kenya ana mikopo mingi ambayo imekopeshwa kwa USD.

Hata Samia juzi alipoenda China alipewa mkopo kwa USD
 
Na securities kama treasury bonds za Marekani walizonunua pia. Kiranja wao China wanaomtegemea anazo securities za Marekani za USD Trillion 1! Dolla ikianguka na yeye anakwenda na maji, hawezi kuwa mjinga kiasi hicho[emoji1787]
Ukiacha hilo China ana zaidi ya Nusu ya Dollar zote zilizo katika Mzunguko.
Marekani akitaka amuumize anamuumiza muda wowote
 
Back
Top Bottom