Mataifa kadhaa ya kiafrika yakabiliwa na upungufu wa dola ya Marekani

Mataifa kadhaa ya kiafrika yakabiliwa na upungufu wa dola ya Marekani

Umejuaje dollar haipo,kabla Magufuri hajaipa majukumu banks kukusanya Forex ndo Forex zilikuwa zinafichwa but the guy was genius now Forex zipo za kutosha na destination ni BOT banks are doing marvelous things
Tatizo umekaza fuvu, nenda kanunue dollar 10,000 kama utapata
 
Ficha ujinga kijana acha kukariri madesa ya darasani China ni swala LA muda tu fedha yao kuanza kuwa popular kwenye manunuzi duniani tatizo hamuamini kuwa dollars inapungua ushawishi wake kwenye manunuzi juzi France kanunua gesi iliyochakatwa kwa yuan ya China usiisi kama ni swala LA bahati mbaya ila ni mipango ya polepole ya China kwenye kuiandaa pesa yake kufanya manunuzi kwenye bidhaa zinazotoka nchini make

Kitendo cha kuzipatanisha nchi maadui kama Irani na Saudia tna kwa kumaliza mgogoro mzito pale Yemen itampa hecko sana China polepole anachukua ushawishi wa bwana mkubwa tena kwenye Yale maeneo nyeti sana.

Tukumbuke China ndyo mnunuzi mkubwa wa nishati duniani pamoja na mali asili nyingine na ndyo muuzaji mkubwa wa bidhaa nyingi duniani kama pesa yake ikianzaa kutumika kwenye manunuzi mbalimbali jua tu kuna balaa linakuja kuipata dola Sikh si nyingi. Yote west ndyo waliyatengeneza waliingia mtegoni kwa Russia kununua gesi na mafuta kwa pesa ya Russia sasa ule mtego umefyetuka kwa wengine, majibu yatapatikana 2025
China ameshapewa kifurushi chake Cha kaangaika nacho Taiwan.

West walisha calculate hiyo move, na siku China akiwa threat to the extent west wataona anataka kuwapanda kichwani basi Taiwan ndio atakua scapegoat wa kum tremble mchina.

So U.S.A is there to stay.
 
Twende taratibu wewe umeuliza sababu huna jibu,basi kama unabishana na jibu langu nipe la kwako.
Kwa nini Tanzania Tina shortage of USD kama hiyo article inavyosema ili hali kwa sasa kinachotupatianUSD kwa wingi kama tourism sector inafanya vizuri na chakula tuna export.
Ndio maana nasema wewe hicho ulichosomea bora huyo mkurya angeuza ngombe akanunua ngombe.
 
Watafute Yuan au Ruble wakatimilize mahitaji yao.

Hata hapa Tz dollar haipo

Sijaelewa sababu ya dollar kupungua kiasi hiki, je ni Marekani kafanya makusudi?
Ngoja mnyooshwe hadi muone umuhimu wa pesa ya dunia
 
Unajua takwimu sasa zinaonyesha BRICS imeipita G7 countries kwenye GDP nenda kwenye makala ya biashara ya kimataifa kasome utaelewa hata wao wanamesha liona hilo in ten years from now kama hawato find away wanakwenda kuanguka vibaya hasa.

USA ndio mwenye shida kubwa sababu ana previllage ya USA DOLLAR kama International currency kwahiyo kama Fed wanauwezi wa kuprint US dollar kwa wengi na kuback up matumizi yao na kusiwe na shida yoyote sasa mambo yanavyo kwenda ni tofauti na kwa speed ya 5G kwani kabla ya VITA UKRAINE biashara zote zilikuwa zikifanywa under USA dollar lkn sasa over 20% za biashara za kimataifa zinafanywa under different currency na hazina uhusiano wowote na WORLD BANK or IMF .

MFANO Mdogo tu Tanzania na India wamekubaliana kufanya biashara na malipo yawe kwa RUPUEE ya India kwahiyo uhitaji dollar tena kati ya India na TANZANIA.

Sent from my SM-S901B using JamiiForums mobile app
Unajua maana ya GDP?
 
Global foreign currency reserves, fourth quarter of 2022.

US Dollar: $6.4 trillion
Euro: $2.2 trillion
Japanese yen: $0.6 trillion
UK pound: $0.5 trillion
Chinese renminbi: $0.3 trillion

(IMF)
Sasa unataka sema kwamba kwa muda mfupi itaweza ifikia hata Yen?
 
Imenibidi nisome hiyo article kwa makini sana kwa kile kinachosema kuwa Tanzania ina USD shortage ilihali sector ya utalii inauotuletea USD nyingi inafanya vizuri.

Imenibidi nipitie taarifa za B.O.T kuangalia kulikoni,ukiangalia data za mwezi 3 mwaka 2022, na mwezi 3 mwaka 2023 kuna nakisi kubwa inaongezeka kati ya export na import (B.O.P) katika kipindi cha huu mwaka 1.

Vilevile,madeni yameongezeka kwa kiasi kikubwa,ambapo Katibu kila mwezi kinatengwa 1/2 ya kiasi cha makusanyo kinatengwa katika Ku service mkopo ambayo inalipwa kwa USD.

Hayo yote ndio yamepelekea hizo Nchi kuanza makubaliano na Nchi washirika kulipana na Ku trade kwa currency zao ili kukwepa gharama za kubadilishana kwa USD
Bado unakuwa hujakwepa kitu maana wao bado watatumia rate ya USD
 
China ameshapewa kifurushi chake Cha kaangaika nacho Taiwan.

West walisha calculate hiyo move, na siku China akiwa threat to the extent west wataona anataka kuwapanda kichwani basi Taiwan ndio atakua scapegoat wa kum tremble mchina.

So U.S.A is there to stay.
Na China naye anawapa mtihani unaoitwa North Korea.

Hadi Mwaka 2025 lazima Taiwan, Northkorea Iran zitakuwa vitani
 
Watafute Yuan au Ruble wakatimilize mahitaji yao.

Hata hapa Tz dollar haipo

Sijaelewa sababu ya dollar kupungua kiasi hiki, je ni Marekani kafanya makusudi?
Kwa sasa Marekani imeanza kupunguza $ kwenye mzunguko kwa sababu ya matumizi yake kupungua kwa kiasi fulani duniani ili kulinda thamani yake.

Na pia mfumko wa bei nchi Marekani imechangia pakubwa sana.

Huu ndo ukweli japo kuwa ni mchungu kwa baadhi ya watu walio kuwa wanaiona USA kama mungu.
 
Sio USA kufanya kusudi bali hizo Nchi zime opt kuongeza currency zingine katika trade,hivyo inawapasa kupunguza kiasi cha USD.

By the way Kamala Hariss hakuja Tanzania,Ghana na Zambia kwa bahati mbaya.Nchi hizo zote alizokuja Kamala zona story zinazofanana za kuacha kutumia USD katika trade zao
Sasa c watumie hela hizo wanazotumia kununua vitu mbona wanashindwa
 
Umejuaje dollar haipo,kabla Magufuri hajaipa majukumu banks kukusanya Forex ndo Forex zilikuwa zinafichwa but the guy was genius now Forex zipo za kutosha na destination ni BOT banks are doing marvelous things
Jama alifanya kitu cha maana japo mapapa hawakupenda sana hiyo hatu ..maana walipiga kelele kuwa jamaa anaua uchumi .saa 100 ataingia cha kike kama ataruhusu huu ujinga wa bereu
 
Hata bongo kuna makampuni makubwa yanaopt kulipa malipo makubwa kwa euro na sio usd...
 
Wao wamesema wanabadili $ kwa yuan na jamaa anawachora tu
Kwa mataifa ya ki Africa bora wangekaa kimya tu waachie kwanza hao mahasimu wapambane
Ukiherehere wa Ruto na kuropoka sasa hata mishahara kashindwa kulipa

Kinachofuata ni hao hao wazungu kupiga kampeni za chini chini ili ajiuzuru na mataifa mengine tutegemee vurugu

Vurugu huwa zinaanzia Tumboni
Wakenya wapo nchini wanachukua dollar zetu nyie mnachekelea matatizo yao. Hili tatizo litakuwa la East Africa nzima. Utaelewa siku ukikosa mshahara au USD za kununua bidhaa nje.
 
BREAKING: Politico reports that France's president Macron has said that Europe must reduce its dependency on the United States for weapons, energy and the 'extraterritoriality' of the US Dollar.
 
Back
Top Bottom