Mataifa kadhaa ya kiafrika yakabiliwa na upungufu wa dola ya Marekani

Umejuaje dollar haipo,kabla Magufuri hajaipa majukumu banks kukusanya Forex ndo Forex zilikuwa zinafichwa but the guy was genius now Forex zipo za kutosha na destination ni BOT banks are doing marvelous things
Tatizo umekaza fuvu, nenda kanunue dollar 10,000 kama utapata
 
China ameshapewa kifurushi chake Cha kaangaika nacho Taiwan.

West walisha calculate hiyo move, na siku China akiwa threat to the extent west wataona anataka kuwapanda kichwani basi Taiwan ndio atakua scapegoat wa kum tremble mchina.

So U.S.A is there to stay.
 
Ndio maana nasema wewe hicho ulichosomea bora huyo mkurya angeuza ngombe akanunua ngombe.
 
Watafute Yuan au Ruble wakatimilize mahitaji yao.

Hata hapa Tz dollar haipo

Sijaelewa sababu ya dollar kupungua kiasi hiki, je ni Marekani kafanya makusudi?
Ngoja mnyooshwe hadi muone umuhimu wa pesa ya dunia
 
Unajua maana ya GDP?
 
Global foreign currency reserves, fourth quarter of 2022.

US Dollar: $6.4 trillion
Euro: $2.2 trillion
Japanese yen: $0.6 trillion
UK pound: $0.5 trillion
Chinese renminbi: $0.3 trillion

(IMF)
Sasa unataka sema kwamba kwa muda mfupi itaweza ifikia hata Yen?
 
Bado unakuwa hujakwepa kitu maana wao bado watatumia rate ya USD
 
Na China naye anawapa mtihani unaoitwa North Korea.

Hadi Mwaka 2025 lazima Taiwan, Northkorea Iran zitakuwa vitani
 
Watafute Yuan au Ruble wakatimilize mahitaji yao.

Hata hapa Tz dollar haipo

Sijaelewa sababu ya dollar kupungua kiasi hiki, je ni Marekani kafanya makusudi?
Kwa sasa Marekani imeanza kupunguza $ kwenye mzunguko kwa sababu ya matumizi yake kupungua kwa kiasi fulani duniani ili kulinda thamani yake.

Na pia mfumko wa bei nchi Marekani imechangia pakubwa sana.

Huu ndo ukweli japo kuwa ni mchungu kwa baadhi ya watu walio kuwa wanaiona USA kama mungu.
 
Sasa c watumie hela hizo wanazotumia kununua vitu mbona wanashindwa
 
Umejuaje dollar haipo,kabla Magufuri hajaipa majukumu banks kukusanya Forex ndo Forex zilikuwa zinafichwa but the guy was genius now Forex zipo za kutosha na destination ni BOT banks are doing marvelous things
Jama alifanya kitu cha maana japo mapapa hawakupenda sana hiyo hatu ..maana walipiga kelele kuwa jamaa anaua uchumi .saa 100 ataingia cha kike kama ataruhusu huu ujinga wa bereu
 
Hata bongo kuna makampuni makubwa yanaopt kulipa malipo makubwa kwa euro na sio usd...
 
Wakenya wapo nchini wanachukua dollar zetu nyie mnachekelea matatizo yao. Hili tatizo litakuwa la East Africa nzima. Utaelewa siku ukikosa mshahara au USD za kununua bidhaa nje.
 
BREAKING: Politico reports that France's president Macron has said that Europe must reduce its dependency on the United States for weapons, energy and the 'extraterritoriality' of the US Dollar.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…