babayao255
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 11,632
- 29,912
Si ndio hapo sasa, mimi naona wawadanganye tu hao hao wasiofuatilia kuhusu hayo mambo mimi hata nchi ambazo sijawahi kwenda huwa nina tabia ya kugoogle baadhi ya miji na kuangalia picha ili angalau niwe na clue kuhusu namna hiyo miji ilivyo.
Ila Rwanda kwa kweli ukitoa Kigali sijaona kitu bado hebu waache kufananisha Tanzania na vitu vya ajabu tena kwa zama hizi ambazo dunia yote ipo viganjani mwa watu sidhani kama tunaweza kudanganyana kuhusu swala la miji kwa kweli labda tu kwa watu wasiotaka kujua au wasio na simu janja (smart phones)
Unaishi njiro?
Oh, ok. Same names.Hapana
Oh, ok. Same names.
Marina, kuna my frndwangu anaishi njiro, anaitwa marinah.Which names??
Ooh but they are not exactly the sameMarina, kuna my frndwangu anaishi njiro, anaitwa marinah.
Yah, ila unaishi chuga, rightOoh but they are not exactly the same
We umelewa chang,aa sio bure.Watu wanaongelea juu ya quality,weww unaleta sizes za nchi,huwa mnaenda kusomea ujinga shule
Mnaeza kuwa Na long length roads than most countries hapo top ten but cheap roads zenye hazina viwango,
Repoti inaongelea kuhusu quality,rwanda na udogo wake,wanajenga quality asphalt roads.
Kwahyo ndio mjenge sehem moja ilhali nyingine haijaendelea????Kenya si LDC,
Tunataka hizi infrastructure zote,
Kila mtu ako na taste yake,,,,either utsafiri na road,air ama rail....ivo ndio countries zilizoendelea ziko.
Africa is rising.
Tushawazoea nyie watu wa kushikilia ripoti ambazo haziendani na reality.Hiyo ripoti inaionea Tanzania na hata zile Nchi ziko chini yenu kwenye hio orodha ya ubora was barabara??? Mfa maji hawachi kutapatapa. Kati yenu na Malawi Nani Yuko juu pande ya barabara?
Ww Oman watu wengine usiwafananishe na Spain shubaamit ww!!!!!Hata uhispania wanashangaa vipi washindwe na Nchi ndogo Kama Oman.
Halafu bro huyo mbona anaropoka???eti Kenya nchi ndogo na Rwanda wasemeje! ?hii mijaluo cjui mikikuyu inapenda sifa kweli!
Mbona hizo zinazojengwq kwa asphalt concrete mashimo km ya kuchezea baoProbably kwa road network sawa but kwa road quality Tzn iko nyuma inatumia poor standard mode of surfacing ya surface dressing wenzao wanatumia asphalt concrete
Mbona hizo zinazojengwq kwa asphalt concrete mashimo km ya kuchezea bao
Highways gani za Kenya ziko na potholes???Can u provide evidence for this claims.
Na mbona hizo quality roads in Kenya zinapata ma potholes mob.
Nini shida hapo.
Yah, ila unaishi chuga, right
Hawakuli kinyesi Kama wewe.Ww Oman watu wengine usiwafananishe na Spain shubaamit ww!!!!!
Wale matajiri hawafi njaa km ww.
Hiyo report n biasedHizi takwimu zimefanywa kitaalam, sio kwa ajili ya Kenya tu, Singapore ndio inaongoza duniani.
Hapa EAC Rwanda inaongoza, dah hongera sana Kagame, ungepewa nchi kubwa yenye raslimali tungekukoma.
1. Namibia
2. South Africa
3. Rwanda
4. Cote d'Ivoire
5. Mauritius
6. Morocco
7. Kenya
8. Botswana
9. Cape Verde
10. Senegal
Roads quality by country, around the world | TheGlobalEconomy.com
The average for 2019 based on 141 countries was 4.07 points. The highest value was in Singapore: 6.5 points and the lowest value was in Chad: 1.9 points. The indicator is available from 2006 to 2019. Below is a chart for all countries where data are available.www.theglobaleconomy.com Top 10 African Countries With the Best Roads | The African Exponent.
Here are the Top 10 countries in Africa with the best roads.www.africanexponent.com