Mataifa kumi Afrika yenye barabara bora

Mataifa kumi Afrika yenye barabara bora

Unaelewa Kingereza? Unajua nini maana ya "since 2013".... Nikuondole uvivu, hapo ina maana tangu 2013, Kenya imefaulu kuongeza kilomita 10,500 za lami.
Halafu naona unamaliza simu chaji kwa haya mapicha, hapo kwenye picha yako inaonyesha mtandao wote wa barabara za Tanzania, paved and unpaved ni 86,472km, sasa hii picha itakusaidia kwenye ufahamu, au kama vipi fuata huu uzi wa Watanzania wenzako Tanzania tunakwama wapi? Inakuaje tunazidiwa na Nchi zote za Afrika Mashariki kwenye Miundombinu bora ya Barabara?

screenshot_20211214-210856-png.2086671
Na wewe unaanzisha ubishi wenye majibu

Unajua tarmac road,? Maanake ni barabara za lami.
Swali limeuliza “how many km tarmac road to Tanzania “

Majibu
trunk road 12786 kms
Regional road 21105 kms
Jumla 33891

Kenya ni 16,902 kms


Tanzania ni linchi likubwa lazima Mtandao uwe mkubwa kenya inaingia mara 2! na Tanzania ni big brother wa EAC
Makao Makuu ya EAC ni Arusha kwa wasiojua
 
Na wewe unaanzisha ubishi wenye majibu

Unajua tarmac road,? Maanake ni barabara za lami.
Swali limeuliza “how many km tarmac road to Tanzania “

Majibu
trunk road 12786 kms
Regional road 21105 kms
Jumla 33891

Kenya ni 16,902 kms


Tanzania ni linchi likubwa lazima Mtandao uwe mkubwa kenya inaingia mara 2! na Tanzania ni big brother wa EAC
Makao Makuu ya EAC ni Arusha kwa wasiojua
Trunk roads + regional roads = total of tamarack roads. 😂😂😂😂😂 wewe rudi shule ufunzwe kua logical kidogo.
 
Na wewe unaanzisha ubishi wenye majibu

Unajua tarmac road,? Maanake ni barabara za lami.
Swali limeuliza “how many km tarmac road to Tanzania “

Majibu
trunk road 12786 kms
Regional road 21105 kms
Jumla 33891

Kenya ni 16,902 kms


Tanzania ni linchi likubwa lazima Mtandao uwe mkubwa kenya inaingia mara 2! na Tanzania ni big brother wa EAC
Makao Makuu ya EAC ni Arusha kwa wasiojua

Wewe unabwabwaja na kutia aibu, ni wazi haujui nini maana ya tarmac road, kasome na kutafiti vizuri kabla kuja kuendelea kujiaibisha humu.....
Na kwa taarifa yako, mtandao wote wa barabara Kenya ni 160,876km ilhali Tanzania ni 86,472km, hapo nimejumuisha paved and unpaved.

Kukuondolea uvivu upate wapi pakuanzia, mna unpaved trunk and regional kibao
tanzania-roads-network.jpg
 
Kufikia Aprili 2020, Tanzania tarmac road network mlikua mumefikisha 9,951km huku Kenya ikiwa na zaidi ya 14,000km
Mkuu mngeziweka kwenye ubora na barabara kama hizi ambazo zipo ndani ya nbo si mngefikisha 14,300km,wakunya hivi uwa mnakwama wapi sijui!

Screenshot_20220114-223241_Photos.jpg
 
Wewe unabwabwaja na kutia aibu, ni wazi haujui nini maana ya tarmac road, kasome na kutafiti vizuri kabla kuja kuendelea kujiaibisha humu.....
Na kwa taarifa yako, mtandao wote wa barabara Kenya ni 160,876km ilhali Tanzania ni 86,472km, hapo nimejumuisha paved and unpaved.

Kukuondolea uvivu upate wapi pakuanzia, mna unpaved trunk and regional kibao
tanzania-roads-network.jpg
Unaleta takwimu zimepitwa na wakati unafikiri watu wamelala , kazi inapigwa kimya kimya na matokeo yanaonekana

Barabara nyingi zinazoonekana hazijapigwa lami sasahivi zimepigwa lami ya kiwango bora nyinyi endeleeni kulala usingizini na kujidanganya .

Mfano mpanda - tabora imepigwa lami
babati - kondoa - dodoma imepigwa lami
Nk.

Babati - kondoa - Dodoma 👇🏿

0AD62C6A-2807-4FDC-AD3A-515FC463BB61.jpeg


Mpanda - Tabora👇🏿

9FB204CC-CA79-43FA-A91F-628A88E391D5.jpeg


Masasa - Tunduru - Songea👇🏿

6A516575-817E-4E5C-A677-ACA0F85D319E.jpeg


Sumbawanga- kanazi - Mpanda👇🏿

E9277BE1-08E6-4755-91B9-180EAE2AC463.jpeg


Manyovu - kasulu- - kibondo- Nyakanazi ujenzi unaendelea 👇🏿

077A89D6-3B59-4C31-BA94-25690676847E.jpeg
 
Na wewe unaanzisha ubishi wenye majibu

Unajua tarmac road,? Maanake ni barabara za lami.
Swali limeuliza “how many km tarmac road to Tanzania “

Majibu
trunk road 12786 kms
Regional road 21105 kms
Jumla 33891

Kenya ni 16,902 kms


Tanzania ni linchi likubwa lazima Mtandao uwe mkubwa kenya inaingia mara 2! na Tanzania ni big brother wa EAC
Makao Makuu ya EAC ni Arusha kwa wasiojua
Are you alright upstairs?

1642916579095.png
 
Bongo kwa EA tunaweza kuongoza kwa kua na mtandao wa barabara za lami zenye km nyingi kuliko nchi nyingine lkn sio kwny ubora.
Hata zile kelele za malori juzidisha mizigo zilizimwa na hoja kua tatizo sio uzito ni ubovu wa barabara.....gari inatoka Namibia ikifika bongo unaambiwa mzigo mzito mkubwa unaharibu barabara
 
Back
Top Bottom