Mataifa makubwa ya Ulaya na Marekani yanaisujudia Israel waliyoiunda wenyewe

Mataifa makubwa ya Ulaya na Marekani yanaisujudia Israel waliyoiunda wenyewe

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Hii dunia ina maajabu na vichekesho vingi sana.

Inaaminika kuwa huwezi kuwa raisi wa Marekani na hata Uiengereza bila kuwaunga mkono Israel na bila kujali jina la chama kinachogombea katika uchaguzi

Katika kampeni zinazoendelea za uchaguzi nchini Marekani kila mgombea anajaribu kumpaka matope mwenzake kwamba yeye haipendi Israel ndio maana kafanya kadha wa kadha. Kila mgombea kabla ya uchaguzi mara nyingi anakwenda Israel kwenda kulia kwenye ukuta pale Jerusalem pamoja na kutoa kauli za kujidhalilisha au kuisifia Israel.

Kuhofia kitisho cha mashambulizi ya Iran kwa Israel wakuu wa Marekani na vitengo vya ulinzi vimetoa kauli za wazi wazi kuwa ni lazima wailinde Israel dhidi ya mashambulizi hayo. Meli za kivita zimepelekwa mashariki ya kati kwa kazi hiyo.

Matendo hayo yanayofanywa na mataifa makubwa tunayoyaona yanaongozwa na watu wenye akili ni aibu kiubinadamu kwani taifa hilo wameliunda kwa mikono yao.

Jee kwa kufanya hivyo mataifa hayo yatafanikiwa kuilinda Israel na jee na wenyewe wataendelea kubaki kuwa mataifa makubwa yanayoaminika katika dunia?
 
Tatizo unaiona Israel kwa mtizamo wa macho ya nyama wenzio wanaiona kwa macho ya kiroho. Yanayofanyika yamepigiwa mahesabi kwa umakini. Na hauwezi kupita urais Marekan bila kuunga mkono Isarel.

Pia kumbuka Marekani na Uingereza hawakuunda Taifa la Israel isipokuwa walilirudisha pale lilipokuwa na mbaya zaidi mpaka sasa halijafanikiwa kuwa katika mipaka yake ya awali.

Unakumbuka bahari ya Sham ilipofunguliwa wakitoka Misri? Kipindi hicho Uingereza na Marekani hawakuwepo ila Israel na Misri vilikuwepo. Hata Palestina haikuwepo ujue.
 
Tatizo unaoiona Israel kwa mtizamo wa macho ya nyama wenzio wanaiona kwa macho ya kiroho. Yanayofanyika yapimepigiwq mahesabi kwa umakini. Na hauwezi kupita urais Marekan bila kuunga mkono Isarel.

Pia kumbuka Marekani na Uingereza hawakuunda Taifa la Israel isipokuwa walilirudisha pale lilipokuwa na mbaya zaidi mpaka sasa halijafanikiwa kuwa katika mipaka yake ya awali.

Unakumbuka bahari ya Sham ilipofunguliwa wakitoka Misri? Kipindi hicho Uingereza na Marekani hawakuwepo ila Israel na Misri vilikuwepo. Hata Palestina haikuwepo ujue.
Waliopita bahari nyekundu sio hawa bali walikuwa ni kizazi cha Israel ambaye alikuwa ni muislamu.
 
Tatizo unaoiona Israel kwa mtizamo wa macho ya nyama wenzio wanaiona kwa macho ya kiroho. Yanayofanyika yapimepigiwq mahesabi kwa umakini. Na hauwezi kupita urais Marekan bila kuunga mkono Isarel.

Pia kumbuka Marekani na Uingereza hawakuunda Taifa la Israel isipokuwa walilirudisha pale lilipokuwa na mbaya zaidi mpaka sasa halijafanikiwa kuwa katika mipaka yake ya awali.

Unakumbuka bahari ya Sham ilipofunguliwa wakitoka Misri? Kipindi hicho Uingereza na Marekani hawakuwepo ila Israel na Misri vilikuwepo. Hata Palestina haikuwepo ujue.
Acha kutumia ugolo mkuu.
 
Tatizo unaoiona Israel kwa mtizamo wa macho ya nyama wenzio wanaiona kwa macho ya kiroho. Yanayofanyika yapimepigiwq mahesabi kwa umakini. Na hauwezi kupita urais Marekan bila kuunga mkono Isarel.

Pia kumbuka Marekani na Uingereza hawakuunda Taifa la Israel isipokuwa walilirudisha pale lilipokuwa na mbaya zaidi mpaka sasa halijafanikiwa kuwa katika mipaka yake ya awali.

Unakumbuka bahari ya Sham ilipofunguliwa wakitoka Misri? Kipindi hicho Uingereza na Marekani hawakuwepo ila Israel na Misri vilikuwepo. Hata Palestina haikuwepo ujue.
Wenye Akili Fupi Mtu hawezi Kujua Hii Dunia Ina Siri Zake Wewe Hushangai Bahari Kujigawanya Binadamu apite katikati ya Nchi Kavu au Wanafikili Ni Hadithi za bunuasi
 
waislamu ni WAJINGA SANA kwamba waIsraeli walikua waislamu wakati huo huo uislamu umeletwa na Mohamed juzi juzi tu hapa.
Hivi kalenda yao inasoma wapo mwaka wa ngapi japo hata miezi yao ni mifupi.

Hawajiulizi tu kwamba tangu kuzaliwa Yesu ni miaka zaidi ya 2000 wakat ya Muhamad ni michache. Kuna shida mahali
 
Waislamu mnadanganyana wayahudi walikuwa waislamu kivipi wakati uislamu umeletwa na mtume wenu muhamadi 622 AD miaka hiyo uislamu ulitokea wapi
Halaf sijui hizo chuki na wayahudi wamezitoa wapi, kama ni chuki basi angekuwa nazo wajukuu wa Esau pacha wa Israel aliyeibiwa uzaliwa wa kwanza lakini sio wajukuu wa Ismael.
 
Israel imewekwa pale badala ya Uganda sababu waliona pale Middle East ndio kwenye mnofu pesa+mambo ya dini. Na jina hilo waliona kwenye bibilia jina la Yakobo ni Israel wakaona watumie jina la Israel ndio bibilia ilisema atakaye mdhuri Israel na mimi tamdhuri. Waliyapika vizuri wale ma Zionists 😄

Israel ndio ikiwa pale wataingiza mabillions kwa kuza silaha n.k. We huoni ilo taifa linapebda kunywa damu.
 
Israel imewekwa pale badala ya Uganda sababu waliona pale Middle East ndio kwenye mnofu pesa+mambo ya dini. Na jina hilo waliona kwenye bibilia jina la Yakobo ni Israel wakaona watumie jina la Israel ndio bibilia ilisema atakaye mdhuri Israel na mimi tamdhuri. Waliyapika vizuri wale ma Zionists [emoji1]

Israel ndio ikiwa pale wataingiza mabillions kwa kuza silaha n.k. We huoni ilo taifa linapebda kunywa damu.
Hizi stori mnazodanyana huko kwenye blogu ya Mizani na vijiwe vya kahawa middle east ipi ina minofu embu tueleze
 
Waliopita bahari nyekundu sio hawa bali walikuwa ni kizazi cha Israel ambaye alikuwa ni muislamu.
Ila mzee Muddy aliwapoteza sana aisee!
Kwamba Wayahudi hata leo wapo na hawajawahi kuwa waislamu na walikuwa wanazicheka hekaya za Mzee mudsy baba wa allah hadi akaamua kuwachukia.Nje ya biblia vitabu vya masimulizi ya wayahudi vipo hadi leo.
Hebu tupe ushahidi nje ya hekaya ya kitabu alichotunga waraqah na Vatican juu ya hayo uyasemayo.
Uislamu unajitahidi kujinasibisha na Ibrahim ili kupata uhalali lakini bado unachemka
 
Hii dunia ina maajabu na vichekesho vingi sana.

Inaaminika kuwa huwezi kuwa raisi wa Marekani na hata Uiengereza bila kuwaunga mkono Israel na bila kujali jina la chama kinachogombea katika uchaguzi

Katika kampeni zinazoendelea za uchaguzi nchini Marekani kila mgombea anajaribu kumpaka matope mwenzake kwamba yeye haipendi Israel ndio maana kafanya kadha wa kadha. Kila mgombea kabla ya uchaguzi mara nyingi anakwenda Israel kwenda kulia kwenye ukuta pale Jerusalem pamoja na kutoa kauli za kujidhalilisha au kuisifia Israel.

Kuhofia kitisho cha mashambulizi ya Iran kwa Israel wakuu wa Marekani na vitengo vya ulinzi vimetoa kauli za wazi wazi kuwa ni lazima wailinde Israel dhidi ya mashambulizi hayo. Meli za kivita zimepelekwa mashariki ya kati kwa kazi hiyo.

Matendo hayo yanayofanywa na mataifa makubwa tunayoyaona yanaongozwa na watu wenye akili ni aibu kiubinadamu kwani taifa hilo wameliunda kwa mikono yao.

Jee kwa kufanya hivyo mataifa hayo yatafanikiwa kuilinda Israel na jee na wenyewe wataendelea kubaki kuwa mataifa makubwa yanayoaminika katika dunia?
Kukusaidia kudigest hii logic.

Nchi za Magharibi Raisi sio cheo kikubwa, Raisi ni puppets wa deep state.

Kuna Familia ambazo zina Nguvu kuliko hao Marais kama Vile kina Rothschild hao ndio wanaamua Israel iwepo ama isiwepo. So Israel sababu ni mbwa mzuri ambayo yupo loyal kwa hizi Familia basi wanao uwezo wa kuwadindia hao Marais wa Magharibi

Angalia hizi picha
images (32).jpeg

images (31).jpeg


Huyo ni mfalme wa Uingereza vs Rothschild ukiangalia tu kwa macho unaona boss ni nani hapo,

BTW kina Rothschild ndio pia waliotengeneza taifa la Israel kwa maneno yake mwenyewe akielezea.
 
Waislamu mnadanganyana wayahudi walikuwa waislamu kivipi wakati uislamu umeletwa na mtume wenu muhamadi 622 AD miaka hiyo uislamu ulitokea wapi
Uislamu ndio dini kabla ya hata kuumbwa binadamu.Adamu ambaye ndiye baba yetu ndiye mtu wa mwanzo na Mtume wa mwanzo alikuwa muislamu.Mayahudi waliukuta uislamu au tuseme walikufuru ndio wakawa mayahudi.
 
Back
Top Bottom