Kwa hiyo huyo Ismael alikuwa ni mtoto wa ngapi wa Jakobo..,!!🤣🤣Waliopita bahari nyekundu sio hawa bali walikuwa ni kizazi cha Israel ambaye alikuwa ni muislamu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo huyo Ismael alikuwa ni mtoto wa ngapi wa Jakobo..,!!🤣🤣Waliopita bahari nyekundu sio hawa bali walikuwa ni kizazi cha Israel ambaye alikuwa ni muislamu.
Je Ismael naye alikuwa mweusi.?Kwani hukusoma habari za Musa kuona Cushite woman kutoka Midiani? Hukupata kujua kama Midiani ipo Saudi Arabia ya Leo??
Sisemi Ibrahimu au Waisrael walikuwa weusi au weupe maana Biblia inasema they are the people of Colour (bila shaka like Ethiopians or like Cushites) na Sulemani anasema ngozi yake ni nyeusi.
Lakini ninachotaka kukujukisha tu ni kwamba zama hizi hadi Middle East kulikuwa na watu weusi na Cushites maana hata mwanzishi ya BABELI(Iraq ya Leo) alikitoka Ibrahimu ni NIMROA ambaye ametoka na Hamu anayeaminika kuwa baba wa weusi
Ismael mama ndo mweusi lakini baba yake (Ibrahimu) ni Mkurdi kutoka Iraq ya leo (Ur wa Ukaldayo). Hivyo atakuwa chotara ya Mkurdi na Mwafrika mweusi.Je Ismael naye alikuwa mweusi.?
Rudia kusoma tena. Sikusema Waisrael walikuwa weusi maana hata Biblia inasema they are the pepole of Colour. Ndo nikasema bila shata walikuwa na rangi inayoelekeana na Cushites. Cushites siyo weusi tii kama Wabantu. Cushite kama unashindwa kuwajua ndo raia wa Eritrea, Jibuti, Ethiopia (siyo waethiopia maana Ethiopia pia kuna Hemites hasa kusini na magharibi mwa Ethiopia).Cushites ndio walikua weusi lakini waisraeli walikuwa ni Semites ambao hawakuwahi kuwa watu weusi na laiti kama waisraeli walikuwa ni weusi basi sisi ndio tungekuwa jamii ya watu wenye akili mno duniani lakini ona tu tulivyo yaani hadi tunatia aibu.
Kwa harahaka haraka Tanzania ndo nchi ya maziwa na asali ndo maana hata binadamu wa kwanza aliishi Tanzania (Ngorongoro). Hivyo, bila shaka Tanzania ndo edeni ya zamani. Sema wakubwa walishasema Canaani ndo nchi ya maziwa na asali mimi ni nani nibishe???Nchi yenye maziwa na asali ndiyo Ile au Tanzania?
Wanakwambia muislam wa kwanza ni Adam.... by the way wamechukua neno la kiarab Islam literary na kulifanya ideology .. Islam it is an arabic word which literally means submitting.. so kwa mujibu wa Mtume Mohamed. Its a submission to the will of God"..waislamu ni WAJINGA SANA kwamba waIsraeli walikua waislamu wakati huo huo uislamu umeletwa na Mohamed juzi juzi tu hapa.
Kwenye Uislamu hadi Adam ni muislamu. Hadi Yesu mwenyewe unaambiwa.Waliopita bahari nyekundu sio hawa bali walikuwa ni kizazi cha Israel ambaye alikuwa ni muislamu.
Nonsense.Kwenye Uislamu hadi Adam ni muislamu. Hadi Yesu mwenyewe unaambiwa.
Ndio mnadanganyana hivyo kobazi.Waliopita bahari nyekundu sio hawa bali walikuwa ni kizazi cha Israel ambaye alikuwa ni muislamu.
Duh. Kweli Muddy aliwapotosha aiseeUislamu ndio dini kabla ya hata kuumbwa binadamu.Adamu ambaye ndiye baba yetu ndiye mtu wa mwanzo na Mtume wa mwanzo alikuwa muislamu.Mayahudi waliukuta uislamu au tuseme walikufuru ndio wakawa mayahudi.