Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,205
Mkuu hamna mtu yoyote aliekewa batola kichwani kulazimishwa kuchoma chanjo.Ngoja wataalamu wa chanjo mpya waje kwanza.
Cc: Mahondaz
Ni kwamba korona haipo au taarifa za korona hazitolewi?Hamna mtu anaye songa ugali alafu akampa jirani kwanza ale.
Wananchi wao wametaabika sana na corona; wacha wawape raia wao chanjo kwanza alafu ndio tupewe sisi ambao corona hamna.
Tukikubali Huo ndo uzwazwa. Wao ndo wamepigika zaidi na hili janga (au tumepigika kiwango sawa) halafu eti sisi ndo wa muhimu zaidi kuanza kutumia chanjo waliyotengeneza wao
UN = USA.Hivi kwa nini inatumika chanjo aina ya Astrazeneka badala ya kutumika ile ya Russia ambayo ilionyesha mafanikio zaidi ya chanjo zote?
ni kama simba kumpiga busu swala, naye akaridhika kwamba anapendwa sana.Upendo wa ajabu wa beberu...........
Waache na fikra, huwezi kusema corona haipo alafu unaanza kupiga kelele za chanjo.Ni kwamba korona haipo au taarifa za korona hazitolewi?
huu wa leo sio msimamo wa ufipa, huu ni wa kwako binafsi.Hivi kwa nini inatumika chanjo aina ya Astrazeneka badala ya kutumika ile ya Russia ambayo ilionyesha mafanikio zaidi ya chanjo zote?
M-Russia kawahi kukupa msaada gani?Hivi kwa nini inatumika chanjo aina ya Astrazeneka badala ya kutumika ile ya Russia ambayo ilionyesha mafanikio zaidi ya chanjo zote?
Kuna siku itafika hapa hapa Tz itakua ni lazima kila raia apewe chanjo na ikikataa unawekwa ndani.Na sihitaji kutoka nje ya Tanzania.
Nadhani kwa nchi yetu haitokuwa lazima.Kuna siku itafika hapa hapa Tz itakua ni lazima kila raia apewe chanjo na ikikataa unawekwa ndani.
Hata mimi sipendi lakini hili ni swala la muda tu.
Nani kakwambia sisi ndio wa kwanza?Tukikubali Huo ndo uzwazwa. Wao ndo wamepigika zaidi na hili janga (au tumepigika kiwango sawa) halafu eti sisi ndo wa muhimu zaidi kuanza kutumia chanjo waliyotengeneza wao
kampe omba omba pesa mbovu, utajifunza kitu kipya maishani.M-Russia kawahi kukupa msaada gani?
Omba omba toka lini akachagua cha kusaidiwa/kupewa
Mambo ya Ufipa yameingiaje hapa?huu wa leo sio msimamo wa ufipa, huu ni wa kwako binafsi.
Sasa unadhani ataenda wapi kwa mfano, labda aende LumumbaKamwe hutasafiri nje ya Tz
Mkuu umeua pale uliposema Wasayansi tunao lakini wanaamini uchawi kuliko sayansi, je ulikuwa unamlenga Jiwe nini?Mkuu, chanjo ilishafanyiwa majaribio kwa raia wao, ndio maana wanawapa chanjo raia wao. Na bado chanjo hazitoshi kuwapa raia wao wanajaribu kutengeneza zaidi.
Sie tusubiri makombo/msaada kama kweli tunazitaka lakini kujifanya guinea pigs ni uongo.
Sisi tutaendelea kuletewa kila kitu, na kujifanya wazuri wa kuchagua na kukataa ni kujipa moyo, umaskini wetu mpaka wa fikra ndio umetufanya kila siku tue watu wa kusubiri tu. Ubongo tunao lakini hatutumii, tumelala sana.
Wana sayansi wapo lakini wanaamini uchawi kuliko sayansi.
Tuache unafiki, chanjo kuletewa ni chaguo lao sisi chaguo letu ni kuchomwa. Na kuchomwa hamna mtu anaelazimishwa. Na kwa nini tuchomwe chanjo wakati ugonjwa wenyewe
"haupo"?.