IDEGENDA
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 4,505
- 5,343
Majibu mtapa baada ya nyie chadema kuitumiaHivi kwa nini inatumika chanjo aina ya Astrazeneka badala ya kutumika ile ya Russia ambayo ilionyesha mafanikio zaidi ya chanjo zote?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Majibu mtapa baada ya nyie chadema kuitumiaHivi kwa nini inatumika chanjo aina ya Astrazeneka badala ya kutumika ile ya Russia ambayo ilionyesha mafanikio zaidi ya chanjo zote?
Chadema imehusikaje hapa?Majibu mtapa baada ya nyie chadema kuitumia
Ndio manaolilia chanjoChadema imehusikaje hapa?
Unaweza kuthibitisha kuwa mimi ni chadema?Ndio manaolilia chanjo
Hivi unawezaje kuuliza nyeti za ng'ombe huku mkia unauona?Unaweza kuthibitisha kuwa mimi ni chadema?
Sawa, na mimba zitabebwa na CondomNa ukimwi tutavaa condom 😂😂😂😂
Huo utakuwa ni upendo ambao hujawahi kutokea duniani, labda tutakuwa tumehamia sayari nyingine bila kujua kama hili litafanyika kwa roho safi.Hamna mtu anaye songa ugali alafu akampa jirani kwanza ale.
Wananchi wao wametaabika sana na corona; wacha wawape raia wao chanjo kwanza alafu ndio tupewe sisi ambao corona hamna.
Huo utakuwa ni upendo ambao hujawahi kutokea duniani, labda tutakuwa tumehamia sayari nyingine bila kujua kama hili litafanyika kwa roho safiHamna mtu anaye songa ugali alafu akampa jirani kwanza ale.
Wananchi wao wametaabika sana na corona; wacha wawape raia wao chanjo kwanza alafu ndio tupewe sisi ambao corona hamna.