pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,422
- 6,108
Wanampango Wa kutumaliza waafrika ndo maana wanakuja na hizi mbinu za kijingaTukikubali Huo ndo uzwazwa. Wao ndo wamepigika zaidi na hili janga (au tumepigika kiwango sawa) halafu eti sisi ndo wa muhimu zaidi kuanza kutumia chanjo waliyotengeneza wao
Kuna maana gani ya chanjo kama unaweza ukaugua tena huo ugonjwa ulio chanjwa.......maigizoAsipochanjwa mmoja tu basi ni tatizo kwa wengine,
Ndio maana wanataka sooote tuchanjwe ili tuwe sote salama, vinginevyo hakuna alie salama
Hii mimi nakuunga mkono, pia na ile ya Russia Sputnik V.Kwa tanzania endapo kama tutalazimika kuhitaji chanjo hii ni vyema tukapata chanjo hii toka china au india originated vaccine na si pfizer au madude gani sijui au ya russia[japo russia naona kama ni wale wale tu ]
Jomba, wanaanzia wakati wenzako wameshawapa chanjo watu wao na wanaendelea! UK so far ameshawapa watu 15million. Na inatajwa vifo na maambukizi yanashuka sana. Israel the same!Kumbe wanaanzia kwa mataifa masikini, sisi ni matajiri, ndio maana itachelewa kufika !
Sawa, kwani lazima kutupa msaada, walete chanjo ya HIV kama wanataka.. ππMkuu, chanjo ilishafanyiwa majaribio kwa raia wao, ndio maana wanawapa chanjo raia wao. Na bado chanjo hazitoshi kuwapa raia wao wanajaribu kutengeneza zaidi.
Sie tusubiri makombo/msaada kama kweli tunazitaka lakini kujifanya guinea pigs ni uongo.
Sisi tutaendelea kuletewa kila kitu, na kujifanya wazuri wa kuchagua na kukataa ni kujipa moyo, umaskini wetu mpaka wa fikra ndio umetufanya kila siku tue watu wa kusubiri tu. Ubongo tunao lakini hatutumii, tumelala sana.
Wana sayansi wapo lakini wanaamini uchawi kuliko sayansi.
Tuache unafiki, chanjo kuletewa ni chaguo lao sisi chaguo letu ni kuchomwa. Na kuchomwa hamna mtu anaelazimishwa. Na kwa nini tuchomwe chanjo wakati ugonjwa wenyewe
"haupo"?.
Kwani nyungu sio mpango?Mkuu hamna mtu yoyote aliekewa batola kichwani kulazimishwa kuchoma chanjo.
Watu kelele nyingi tu, chanjo ni chaguo binafsi kama utapata bahati ikufikie.
Jamaa wako busy kuchanja raia wao na wako nyuma sana, sisi tupo hapa tunapiga kelele.
Africa tuna mchango gani kwenye chanjo? Zaidi ya kelele tu ?
Maambukizi ya HIV na corona sawa?Sawa, kwani lazima kutupa msaada, walete chanjo ya HIV kama wanataka.. ππ
Sawa, walete chanjo za Ukimwi kama wanataka, Corona tutajifukizaMaambukizi ya HIV na corona sawa?
Kuulizia chanjo ya HIV ni kukosa hoja tu ilikuwa, wote tunajua jinsi gani ya kujikinga na HIV. Bora kinga kuliko tiba.
Tuna njia za kujikinga na ukimwi kama ktumia condom, na kuwa na mpenzi mmoja, au kuto zini kabisa.
Na kwenye HIV tunawabeza tu lakini leo tunaona jinsi mgonjwa wa ukimwi anavyo ishi mda mrefu kwa matumizi ya dawa kuliko mwanzo. Na dawa hizi zinazowasaidia wa gonjwa wa ukimwi ni kutokana na sayansi.
Na ukimwi tutavaa condom ππππSawa, walete chanjo za Ukimwi kama wanataka, Corona tutajifukiza
Haya mabeberu huenda yameleta corona ili kupiga hela na si bure "This is business' wataalamu wetu hawanabudi kuingia kwenye mchakato na wao wakatoa vaccinations yao tukaiuza ulimwenguni au taifa letu toka kitambo linasomesha watu hewa?hatuna kweli hao watu?au wameshageuka wana siasa?kila kitu siasa watu wanashindwa kubobea kwenye taaluma zao na wakikaa humo wanatolewa na kutupwa kwenye siasa sasa ni lini tutapata wataalamu wetu wabobezi katika kila fani? [LEO NAGHADHABU SANA]Kampuni ya Johnson and Johnson pamoja na Aspen hawa wapo kwenye tafiti ya muda mrefu kuhusu hii corona ya pili kwa SA nadhani wao watatoa dawa kwa Nchi za SADC labda ulaya waikatae maana makumpuni ya simu Vodacom na MTN wamechangia pesa kwa ajili ya kuisambaza hiyo dawa na hili limekuja baada ya Great skill hospital kuikataa dawa kutoka India ambayo iliingia kisiasa bila kufata taratibu za wataalamu...
Taaluma hiyo inatakiwa iwe huru niliona haipo huru wale mawaziri walipotoka huko na mkojo wa punda wakidai dawa walikunywa hadharani bila kupitia vitengo muhimu vya utafiti wa dawa na magonjwa ya mlipuko unategemea nini...Haya mabeberu huenda yameleta corona ili kupiga hela na si bure "This is business' wataalamu wetu hawanabudi kuingia kwenye mchakato na wao wakatoa vaccinations yao tukaiuza ulimwenguni au taifa letu toka kitambo linasomesha watu hewa?hatuna kweli hao watu?au wameshageuka wana siasa?kila kitu siasa watu wanashindwa kubobea kwenye taaluma zao na wakikaa humo wanatolewa na kutupwa kwenye siasa sasa ni lini tutapata wataalamu wetu wabobezi katika kila fani? [LEO NAGHADHABU SANA]
Hatuna mipaka na migawanyo ya kiutendaji hasa mipangilio ya taaluma zetu ambazo wengine wamezisomea pengine hata kwa miaka 15 -20 Daktari kwake ni hospitalini mwalimu kwake ni mashuleni mwanasheria alkadhalkaTaaluma hiyo inatakiwa iwe huru niliona haipo huru wale mawaziri walipotoka huko na mkojo wa punda wakidai dawa walikunywa hadharani bila kupitia vitengo muhimu vya utafiti wa dawa na magonjwa ya mlipuko unategemea nini...
Ndio maana Magu kakataa kuwa simbilisiGuinea pigs a.k.a simbilisi wa majaribio ndio hizo nchi fukara.