GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Wewe Waponze tu Wanajeshi ( Askari ) wa EAC waende Wakafe huko kisha mje Kujuta.Raisi wa kongo (drc) shikilia hapo hapo maana amani ya kongo ni muhimu kwa ukanda huu
Wanyarwanda mna shida sana. Hasa utusi ni tatizo kubwa.Waasi wa M23 hawana Masihara kabisa hivyo GENTAMYCINE nawaonya mapema msije Kukurupuka nanyi Kuwaiga Wakenya waliopeleka Wanajeshi ( Askari ) Wao 901 na Kukurupuka kupeleka Wenu kwani kwa Uhodari wa Waasi wa M23 kuna uwezekano nanyi mkipeleka wenu 500 watakaorejea Hai ni Wawili ( 2 ) au hata hakuna kabisa.
Kwenu Rwanda nao watapeleka majeshi pia?Naendelea kuzionya nchi zingine za EAC kuwa zisipeleke Askari ( Wanajeshi ) wao huko Congo DR kama walivyofanya Wakenya kwani kwa Uhodari wa Waasi wa Kitutsi wa M23 wenye Akili Kubwa na Uhodari wa Kimedani ( Vita ) hawatorejea Salama huko nchini Kwao.
Waasi wa M23 hawana Masihara kabisa hivyo GENTAMYCINE nawaonya mapema msije Kukurupuka nanyi Kuwaiga Wakenya waliopeleka Wanajeshi ( Askari ) Wao 901 na Kukurupuka kupeleka Wenu kwani kwa Uhodari wa Waasi wa M23 kuna uwezekano nanyi mkipeleka wenu 500 watakaorejea Hai ni Wawili ( 2 ) au hata hakuna kabisa.
Bana wa Kongo imerecruits 3000 wanatosha sana, Uganda Jana kapeleka 1000 watunza amani, kwa Sisi Tanzania hatuna sababu kwani mjumuiko wote huo ni fimbo tosha kwa pinoccio!Waasi wa M23 hawana Masihara kabisa hivyo GENTAMYCINE nawaonya mapema msije Kukurupuka nanyi Kuwaiga Wakenya waliopeleka Wanajeshi ( Askari ) Wao 901 na Kukurupuka kupeleka Wenu kwani kwa Uhodari wa Waasi wa M23 kuna uwezekano nanyi mkipeleka wenu 500 watakaorejea Hai ni Wawili ( 2 ) au hata hakuna kabisa.
Baba yao mlezi ndio muhimu sana kumchapa bakora hadharani.Ni aibu kabisa kusema kwamba EAC imeshindwa kushughulikia hawa waasi, bora ivunjwe tu
Mbona ile 2014 walikimbizwa kama vile kikundi cha wanywa gongo?Waasi wa M23 hawana Masihara kabisa hivyo GENTAMYCINE nawaonya mapema msije Kukurupuka nanyi Kuwaiga Wakenya waliopeleka Wanajeshi ( Askari ) Wao 901 na Kukurupuka kupeleka Wenu kwani kwa Uhodari wa Waasi wa M23 kuna uwezekano nanyi mkipeleka wenu 500 watakaorejea Hai ni Wawili ( 2 ) au hata hakuna kabisa.
Mwanajeshi eneo lake ni vita,kama vile dokta Hana maana kama hakuna wagonjwa,Waasi wa M23 hawana Masihara kabisa hivyo GENTAMYCINE nawaonya mapema msije Kukurupuka nanyi Kuwaiga Wakenya waliopeleka Wanajeshi ( Askari ) Wao 901 na Kukurupuka kupeleka Wenu kwani kwa Uhodari wa Waasi wa M23 kuna uwezekano nanyi mkipeleka wenu 500 watakaorejea Hai ni Wawili ( 2 ) au hata hakuna kabisa.
Hao Wanywarwanda wenzako, hawana uhodari wowote, umoja wa mataifa sema hawataki vita iishe, ili biashara ya kupiga pesa iendelee.Waasi wa M23 hawana Masihara kabisa hivyo GENTAMYCINE nawaonya mapema msije Kukurupuka nanyi Kuwaiga Wakenya waliopeleka Wanajeshi ( Askari ) Wao 901 na Kukurupuka kupeleka Wenu kwani kwa Uhodari wa Waasi wa M23 kuna uwezekano nanyi mkipeleka wenu 500 watakaorejea Hai ni Wawili ( 2 ) au hata hakuna kabisa.
Huo Ubaguzi.utusi ni tatizo kubwa