Mataifa takriban 30 ya NATO yanakwama wapi kummaliza Urusi? Wanabaki kulialia tu eti drones za Iran!

Mataifa takriban 30 ya NATO yanakwama wapi kummaliza Urusi? Wanabaki kulialia tu eti drones za Iran!

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
13,897
Reaction score
18,477
Ukweli ni kwamba mataifa lukuki kwenye umoja wa NATO ambao wanaisaidia Ukraine kwa hali na mali wameshindwa vibaya!

Kwanza waliweka vikwazo kwa maelfu na walitarajia Urusi itakwama fasta!! Maana walidhani vikwazo vyao ni sawa na kumfunga mikono wakati yuko vitani!

Kinyume chake vikwazo vimewageuka na kuwaumiza wao na raia wao wameanza kuingia mitaani kuandamana kupinga ugumu wa maisha hususan kupanda kwa mafuta na gesi.

NATO walivyoona hivyo wakaona kuliko kukubali kuwa urusi imeshindikana kwenye uwanja wa kijeshi na kiuchumi wakaona sifa waipe Iran kuwa eti drones za Iran ndio kiini cha ubabe wa Urusi katika kuiadhibu Ukraine !!

Ukweli ni kwamba Drones alizotumia urusi si za Iran. Hata mabaki ya drones hizo hazina chapa ya Iran bali chapa ya Urusi!!

Watu 30 wamemchangia mtu mmoja na bado ametangaza kumeza sehemu ya nchi yao jumla!!
 
Drones anazotengeneza Iran zina chapa iitwayo "Shahedin-136". Zinafanya kazi kama magaidi wanavyojilipua. Inachakaza adui na yenyewe inajichakaza hapo hapo!! Ni kwa matumizi ya mara moja na bei yake ni rahisi sana!! Drones alizotengeneza Mrusi zina chapa ya Generan-2, na zenyewe zinafanya kazi kwa kujilipua kama zile za Iran. Kwa hiyo zote zinaitwa KAMIKAZE DRONES. Kamikaze maana yake ni suicide yaani kujiangamiza/kujilipua katika harakati za kuangamiza adui.
Kwa kuwa drones za Urusi na zile za Iran zote zinafanya kazi kwa namna moja ya kujilipua kwenye kuangamiza, mabeberu wa magharibi wanalazimisha kuwa zote zimetengenezwa Iran!! Hii hoja ni hoja dhaifu sana na haina mashiko!

Kwa mfano, Marekani ni nchi ya kwanza kutengeneza bomu la nyuklia na mlipuko wa bomu hilo hutokana na "nuclear fission of uranium atom" yaani mpasuko wa nyuklia ya atom ya uranium ndio husababisha mlipuko mkubwa. Baadaya Urusi naye akatengeneza bomu hilo hilo na mlipuko wake unatokana na "nuclear fission of uranium atom" kama bomu la Marekani linavyolipuka. Kwa dhana ya mabeberu basi hilo bomu la nyuklia alilonalo Mrusi litakuwa limetoka Marekani kwa kuwa tu namna linavyolipuka ni hivyo hivyo kama la marekani!! Hoja dhaifu sana!!

Ukweli ni kwamba Mabeberu wa magharibi wameamua kuufumbia macho ukweli kuwa Urusi inaweza kuchakaza kwa kutumia silaha zake tu!! Ni ukweli mchungu sana kwao!!
Lengo lingine la mabeberu ni kutaka kulazimisha sababu za kuiwekea vikwaqzo Iran!!
 
Hizi drones anazotumia Urusi zina kazi mbili kubwa: 1. Kuangamiza silaha kubwa kubwa a adui kama vifaru na magari ya deraya pamoja kuharibu mitambo inayofua umeme nchini nukraine. 2. Kuharibu ant-missile systems za ukraine, iko hivi: Bei ya drone ni dola za marekani 20,000. Lakini kombora la kuiangamiza ili isilete madhara makubwa bei yake kwa chini ni dola za marekani 2,000,000. Yaani unatumia silaha yenye gharama mara 100 ili kuzuia hiyo drones. Hii ni hasara!! Kwa hiyo ukiipiga ni hasara na usipoipiga ni hasara!!
 
Ukweli ni kwamba mataifa lukuki kwenye umoja wa NATO ambao wanaisaidia Ukraine kwa hali na mali wameshindwa vibaya!

Kwanza waliweka vikwazo kwa maelfu na walitarajia Urusi itakwama fasta!! Maana walidhani vikwazo vyao ni sawa na kumfunga mikono wakati yuko vitani!

Kinyume chake vikwazo vimewageuka na kuwaumiza wao na raia wao wameanza kuingia mitaani kuandamana kupinga ugumu wa maisha hususan kupanda kwa mafuta na gesi.

NATO walivyoona hivyo wakaona kuliko kukubali kuwa urusi imeshindikana kwenye uwanja wa kijeshi na kiuchumi wakaona sifa waipe Iran kuwa eti drones za Iran ndio kiini cha ubabe wa Urusi katika kuiadhibu Ukraine !!

Ukweli ni kwamba Drones alizotumia urusi si za Iran. Hata mabaki ya drones hizo hazina chapa ya Iran bali chapa ya Urusi!!

Watu 30 wamemchangia mtu mmoja na bado ametangaza kumeza sehemu ya nchi yao jumla!!
Walishamshindwa zamani,na amegeuka mzigo mzito vichwani mwao hivi sasa,hata mataifa yao yanavurugana wenyewe kwa wenyewe japo wanajitahidi kuzificha habari hizi😂
 
Hizi drones anazotumia Urusi zina kazi mbili kubwa: 1. Kuangamiza silaha kubwa kubwa a adui kama vifaru na magari ya deraya pamoja kuharibu mitambo inayofua umeme nchini nukraine. 2. Kuharibu ant-missile systems za ukraine, iko hivi: Bei ya drone ni dola za marekani 20,000. Lakini kombora la kuiangamiza ili isilete madhara makubwa bei yake kwa chini ni dola za marekani 2,000,000. Yaani unatumia silaha yenye gharama mara 100 ili kuzuia hiyo drones. Hii ni hasara!! Kwa hiyo ukiipiga ni hasara na usipoipiga ni hasara!!
Ukisimama nchale ukikimbia nchale!
 
Akili mtu wangu.. watu ulimwengu wa sasa wanapigana kiakili na sio kutumia manguvu, mara zote ambazo america amepambana na urusi amemshinda kiakili, na ndio mana uchumi na urusi hauko kwenye kumi bora duniani na umepitwa na kanchi kadogo kama korea kusini, hiyo ni kazi ya baba wa NATO, yani america, akili mtu wangu...
 
Umeona wapi mapunga yakaweza kumpiga mwanaume rijali...?
Hawa
JamiiForums491902316.jpg
 
Drones anazotengeneza Iran zina chapa iitwayo "Shahedin-136". Zinafanya kazi kama magaidi wanavyojilipua. Inachakaza adui na yenyewe inajichakaza hapo hapo!! Ni kwa matumizi ya mara moja na bei yake ni rahisi sana!! Drones alizotengeneza Mrusi zina chapa ya Generan-2, na zenyewe zinafanya kazi kwa kujilipua kama zile za Iran. Kwa hiyo zote zinaitwa KAMIKAZE DRONES. Kamikaze maana yake ni suicide yaani kujiangamiza/kujilipua katika harakati za kuangamiza adui.
Kwa kuwa drones za Urusi na zile za Iran zote zinafanya kazi kwa namna moja ya kujilipua kwenye kuangamiza, mabeberu wa magharibi wanalazimisha kuwa zote zimetengenezwa Iran!! Hii hoja ni hoja dhaifu sana na haina mashiko!

Kwa mfano, Marekani ni nchi ya kwanza kutengeneza bomu la nyuklia na mlipuko wa bomu hilo hutokana na "nuclear fission of uranium atom" yaani mpasuko wa nyuklia ya atom ya uranium ndio husababisha mlipuko mkubwa. Baadaya Urusi naye akatengeneza bomu hilo hilo na mlipuko wake unatokana na "nuclear fission of uranium atom" kama bomu la Marekani linavyolipuka. Kwa dhana ya mabeberu basi hilo bomu la nyuklia alilonalo Mrusi litakuwa limetoka Marekani kwa kuwa tu namna linavyolipuka ni hivyo hivyo kama la marekani!! Hoja dhaifu sana!!

Ukweli ni kwamba Mabeberu wa magharibi wameamua kuufumbia macho ukweli kuwa Urusi inaweza kuchakaza kwa kutumia silaha zake tu!! Ni ukweli mchungu sana kwao!!
Lengo lingine la mabeberu ni kutaka kulazimisha sababu za kuiwekea vikwaqzo Iran!!
Acha ujuaji wewe mmakonde wenzako hawakurupuk ,drone zimeshajulikana had mmiliki wa hiyo kampuni ,yeye na kampuni yake asett zake zote alizowekeza nchi za ulaya zimekua freezed usituletee utopolo wa kutunga hapa ,alaf usichokijua drone za kujilipua hata west wanazo hazina maajabu sana kwenye uwanja wa vita.labda mijini
 
Akili mtu wangu.. watu ulimwengu wa sasa wanapigana kiakili na sio kutumia manguvu, mara zote ambazo america amepambana na urusi amemshinda kiakili, na ndio mana uchumi na urusi hauko kwenye kumi bora duniani na umepitwa na kanchi kadogo kama korea kusini, hiyo ni kazi ya baba wa NATO, yani america, akili mtu wangu...
Marekan hajawah kukubali fair competition! America akiona unataka kumzidi tu kwenye uchumi anaanza kukuwekea vikwazo na kufunga kampuni zako zinazofanya vizuri, mfano mzuri ni kampuni ya Huawei ya China ambayo iliwekewa vikwazo na propaganda chafu kuwa inatumiwa na serikali ya China kusupy!

Mfano wa pili ni Project ya Nord Stream 2 ambapo Gas toka Russia ikienda Ulaya kupitia Germany! Basi nakupata taarifa anzia 2014 ili project Marekan alikuwa haitaki, ni Angela Merkel tu ndo alikomaa nayo mpk kuisha ila US haitak na sababu anahofu kuwa Russia itaimalisha uchumi wake na pia Ulaya itaanza kuitegemea Urusi kias yeye atapoteza ushawishi wake kwa Ulaya.

Kwa mazingira haya usitarajie kabisa kuona nchi ambayo kinzani na America itafanikiwa kirahisi ila washirika wake watakuja kumchoka ndipo atakapoteza ushawishi kama sasa unavyoona wananchi wa Germany, France wakiandamana hawataki NATO wala EU Maana wanajina wanakuwa watumwa wa Marekan, omba Mungu yale maandamano yasifanikiwe ila yakifanikiwa basi jua itaitishwa kura ya maoni ya kujitoa EU na NATO kwa wananchi.
 
Marekan hajawah kukubali fair competition! America akiona unataka kumzidi tu kwenye uchumi anaanza kukuwekea vikwazo na kufunga kampuni zako zinazofanya vizuri, mfano mzuri ni kampuni ya Huawei ya China ambayo iliwekewa vikwazo na propaganda chafu kuwa inatumiwa na serikali ya China kusupy!

Mfano wa pili ni Project ya Nord Stream 2 ambapo Gas toka Russia ikienda Ulaya kupitia Germany! Basi nakupata taarifa anzia 2014 ili project Marekan alikuwa haitaki, ni Angela Merkel tu ndo alikomaa nayo mpk kuisha ila US haitak na sababu anahofu kuwa Russia itaimalisha uchumi wake na pia Ulaya itaanza kuitegemea Urusi kias yeye atapoteza ushawishi wake kwa Ulaya.

Kwa mazingira haya usitarajie kabisa kuona nchi ambayo kinzani na America itafanikiwa kirahisi ila washirika wake watakuja kumchoka ndipo atakapoteza ushawishi kama sasa unavyoona wananchi wa Germany, France wakiandamana hawataki NATO wala EU Maana wanajina wanakuwa watumwa wa Marekan, omba Mungu yale maandamano yasifanikiwe ila yakifanikiwa basi jua itaitishwa kura ya maoni ya kujitoa EU na NATO kwa wananchi.
fair competition kwa beberu ya kazi gani? au hujui maana na mfumo wa ubepari? ubepari mana yale wewe kosa vyote mimi nipate vyote, hakuna kugawana, thats all.
 
NATO hawataki kummaliza rusia bali nato wanataka Ukraine ndio immalize russia.
na russia anamalizwa kweli kweli.
 
Back
Top Bottom