Mataifa takriban 30 ya NATO yanakwama wapi kummaliza Urusi? Wanabaki kulialia tu eti drones za Iran!

Hajui huyo pia russia alitia mkono kumbakisha assad na marekan akasanda na NATO
 
From the point of View watu huwa hawaelewi kwanini wastern hawataki direct confrontation na Urusi,Sababu kubwa Ni kwamba Urusi hawezi kupigana na western kwa sababu there is no match militarily,ivo wakijaribu tu anaachia nyuklia hyo ndio sababu kuu,ooh Mara utasikia oooh Putin hataree anapiga NATO wote,watu wengi hasa wa humu Ni wajinga halafu wavivu wa kufikiri wengi wanaendeshwa na Ushabiki
 
america bado yupo syria anakula tu mafuta ina mana hujui hilo? septemba 11 na osama ni project spesheli za pentagon, sema upewe nondo kijana bado upo gizani... akili mtu wangu
 
mkuu sababu ingine ni kwamba kama kuna njia rahisi na nyepesi ya kupambana na adui yako na ukamshinda je kwanini utumie njia ngumu na nzito? kumchinja kobe kunahitaji timing na sio manguvu, putin ni kobe na atachinjwa tu tupo hapa, alichinjwa hitler sembuse putin? akili mtu wangu
 
America yupo syria na hana mpango wa kutoka huko.. anachimba mafuta huko

 
MIDDLE EAST AMERCA ANATAFUTA INFLUENCE MTU WANGU

In recent years, Washington has pulled back from its previously more extensive role in the country, but has stayed on in a limited capacity in some areas, ostensibly to fight ISIL (ISIS) and limit Iran’s influence in the country.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…