Mataifa ya Afrika yaendelea kupata darasa la Kawi ya Jotoardhi (geothermal) kutoka kwa Wakenya

Citizen TV: KenGen half year earnings double to Ksh.8.2B, growth flat in full....
https://citizentv.co.ke/business/ke...-to-ksh-8-2b-growth-flat-in-full-year-324533/
Umesema hasara?
 
But why kenyans are still living in a poor condition than Tanzanians?
Ushajiuliza hiyo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hujanijibu broo umejibu kitu tofauti na nilichokuuliza

Kwamba mnaishi kwenye poor condition kwasababu media zenu zipo huru?
Jibu la kijinga

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwamba ni vigumu kujua Hali halisi ya Tz kwa vile media zenu ziko under strict surveillance from the your Government. Tulishudia juzi kukamatwa kwa waliopiga na kupost picha za barabara mbovu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…