Mataifa ya kiarabu yadai wao kukaa kimya imesaidia dunia kuwa na amani

Mataifa ya kiarabu yadai wao kukaa kimya imesaidia dunia kuwa na amani

The Mongolian Savage

JF-Expert Member
Joined
Jul 5, 2018
Posts
8,082
Reaction score
17,838
Yeereeeeeh!

Mataifa ya kiarabu pamoja na Iran yamejitetea na kudai kukaa kwao kimya kwenye mzozo kati ya Israel na Hamas ni kwasababu wanataka amani itamalaki duniani.

Wanasema laiti wangeingilia kati sasa hivi kusingekalika na kuchimbika na Israel kufutika mara moja.

Sasa hivi wanamtumia Rais wa Uturuki kichinichini Erdowan ambaye anang'aka sana dhidi ya Israel.

Rais wa Uturuki anataka Gaza na West Bank iwe chini ya uturuki kwa muda.
 
Mgogoro wa Palestina na Wa Isarel wa safari hii ulikuwa na mambo mengi zaid ya Makombora ya Hamas na Vifaru vya Israel

1.Jiulize, kwanini Miaka yote minne ya Donald Trump Hamas 'hawakuwachokoza' Israel?, Donald Trump hafanyi biashara ya Silaha wala si rafiki wa Wauza Silaha

2. Mgogoro wa Safari hii umepoza Mgogoro wa Kisiasa uliokuwa ndani ya Israel uliopelekea hata Benjamin Netanyahu kuchelewa kuunda Serikal ikiwa ni pamoja na kashfa lake la Rushwa
3. Mgogoro huu ulipangwa kuwa frustrate ma Ayatollah wa Iran watoe lugha kali ili kuzidisha Mgogoro uliopo baina ya Iran na US na kuitia hofu Jumuia ya Ulaya ijitoe kwny mazungumzo ya Iran na warudishe Vikwazo ili Iran izidi kudhoofika na hatimae NATO iingie kuipasua…hii target ime fail

4.Marekan inaweza kupeleka Mashushu wake na kuisambaratisha Hamas ndani ya Mwaka mmoja lakin inapenda kuendelea kuitumia kwa Maslah yake, kama imeweza kuisambaratisha Taleban na Alqaeda kweli ishindwe kwa Hamas,

Hamas na Islamic State ni vikundi vinavyofadhiliwa na US kwa kificho kwa malengo maalum, mf. IS wametumika Mozambique kuwa frustrate Wafaransa kwny deal ya Gesi na Mafuta hadi wamekimbia
 
Mgogoro wa Palestina na Wa Isarel wa safari hii ulikuwa na mambo mengi zaid ya Makombora ya Hamas na Vifaru vya Israel

1.Jiulize, kwanini Miaka yote minne ya Donald Trump Hamas 'hawakuwachokoza' Israel?, Donald Trump hafanyi biashara ya Silaha wala si rafiki wa Wauza Silaha

2. Mgogoro wa Safari hii umepoza Mgogoro wa Kisiasa uliokuwa ndani ya Israel uliopelekea hata Benjamin Netanyahu kuchelewa kuunda Serikal ikiwa ni pamoja na kashfa lake la Rushwa
3. Mgogoro huu ulipangwa kuwa frustrate ma Ayatollah wa Iran watoe lugha kali ili kuzidisha Mgogoro uliopo baina ya Iran na US na kuitia hofu Jumuia ya Ulaya ijitoe kwny mazungumzo ya Iran na warudishe Vikwazo ili Iran izidi kudhoofika na hatimae NATO iingie kuipasua…hii target ime fail

4.Marekan inaweza kupeleka Mashushu wake na kuisambaratisha Hamas ndani ya Mwaka mmoja lakin inapenda kuendelea kuitumia kwa Maslah yake, kama imeweza kuisambaratisha Taleban na Alqaeda kweli ishindwe kwa Hamas,

Hamas na Islamic State ni vikundi vinavyofadhiliwa na US kwa kificho kwa malengo maalum, mf. IS wametumika Mozambique kuwa frustrate Wafaransa kwny deal ya Gesi na Mafuta hadi wamekimbia
Mungu wangu. Marekani wamei Aliza Taliban? Hii Ni miujiza. Nenda Google Leo fuatilia majimbo ya Afghanistan I yaliyo chini ya Taliban halafu rudi
 
Yeereeeeeh!

Mataifa ya kiarabu pamoja na Iran yamejitetea na kudai kukaa kwao kimya kwenye mzozo kati ya Israel na Hamas ni kwasababu wanataka amani itamalaki duniani.

Wanasema laiti wangeingilia kati sasa hivi kusingekalika na kuchimbika na Israel kufutika mara moja.

Sasa hivi wanamtumia Rais wa Uturuki kichinichini Erdowan ambaye anang'aka sana dhidi ya Israel.

Rais wa Uturuki anataka Gaza na West Bank iwe chini ya uturuki kwa muda.
Bila shAka huu Ni uongo mkuu. Unajua kwanini waturuki hawana uhusiano wa kupigA stori na waarabu. Pili Iran haijaacha kutoa sapoti kwa Palestine
 
Ungepaswa kuniuliza kuimaliza vipi?

Jiulize Taliban ya kabla ya 2001 ndio Taleban hii ya 2021 kiitikadi?

Taleban ya kina kina Mulla zaif ilikuwa inakaa kwny meza ya Mazungumzo?

Taleban sasa hivi ni kikundi kama cha M23 ambacho ni kitisho ndan ya Congo mashariki pekee

Taliban ya sasa hivi ni turufu ya Marekan ndan ya Afghanistan ambayo inaifanya Utawala wa Afghanistan kuwa submissive kwa Washington kwa kuwa wasipokuwa kuwa hivyo Taleban watachukua madaraka yao, Taleban imepoa na imeingia kwny Payrol ya Pentagon ndio sababu Majeshi ya US yanarudi Nyumban


Afghanistan ya sasa ni tulivu sana kwa US na sio tena Kitalu cha 'Siasa kali' zilzokuwa zinalelewa na Taleban na ndio sababu nikaeleza kuwa Taleban wamemalizwa
Mungu wangu. Marekani wamei Aliza Taliban? Hii Ni miujiza. Nenda Google Leo fuatilia majimbo ya Afghanistan I yaliyo chini ya Taliban halafu rudi
 
Ungepaswa kuniuliza kuimaliza vipi?

Jiulize Taliban ya kabla ya 2001 ndio Taleban hii ya 2021 kiitikadi?

Taleban ya kina kina Mulla zaif ilikuwa inakaa kwny meza ya Mazungumzo?

Taleban sasa hivi ni kikundi kama cha M23 ambacho ni kitisho ndan ya Congo mashariki pekee

Taliban ya sasa hivi ni turufu ya Marekan ndan ya Afghanistan ambayo inaifanya Utawala wa Afghanistan kuwa submissive kwa Washington kwa kuwa wasipokuwa kuwa hivyo Taleban watachukua madaraka yao, Taleban imepoa na imeingia kwny Payrol ya Pentagon ndio sababu Majeshi ya US yanarudi Nyumban


Afghanistan ya sasa ni tulivu sana kwa US na sio tena Kitalu cha 'Siasa kali' zilzokuwa zinalelewa na Taleban na ndio sababu nikaeleza kuwa Taleban wamemalizwa
Ah sawa. Unapoamua kunegotiate na adui hasa kundi Kama Taliban hua kabisa umeshindwa kumaliza lengo kuu la vita
 
Mgogoro wa Palestina na Wa Isarel wa safari hii ulikuwa na mambo mengi zaid ya Makombora ya Hamas na Vifaru vya Israel

1.Jiulize, kwanini Miaka yote minne ya Donald Trump Hamas 'hawakuwachokoza' Israel?, Donald Trump hafanyi biashara ya Silaha wala si rafiki wa Wauza Silaha

2. Mgogoro wa Safari hii umepoza Mgogoro wa Kisiasa uliokuwa ndani ya Israel uliopelekea hata Benjamin Netanyahu kuchelewa kuunda Serikal ikiwa ni pamoja na kashfa lake la Rushwa
3. Mgogoro huu ulipangwa kuwa frustrate ma Ayatollah wa Iran watoe lugha kali ili kuzidisha Mgogoro uliopo baina ya Iran na US na kuitia hofu Jumuia ya Ulaya ijitoe kwny mazungumzo ya Iran na warudishe Vikwazo ili Iran izidi kudhoofika na hatimae NATO iingie kuipasua…hii target ime fail

4.Marekan inaweza kupeleka Mashushu wake na kuisambaratisha Hamas ndani ya Mwaka mmoja lakin inapenda kuendelea kuitumia kwa Maslah yake, kama imeweza kuisambaratisha Taleban na Alqaeda kweli ishindwe kwa Hamas,

Hamas na Islamic State ni vikundi vinavyofadhiliwa na US kwa kificho kwa malengo maalum, mf. IS wametumika Mozambique kuwa frustrate Wafaransa kwny deal ya Gesi na Mafuta hadi wamekimbia
Kwa nini waislamu tu ndio wakubali kutumiwa duniani siku zote kwa malengo ya kigaidi??
 
Kwa nini waislamu tu ndio wakubali kutumiwa duniani siku zote kwa malengo ya kigaidi??
Jibu ni rahisi sana , Matendo hayo hayo yakifanywa na wasio waislam hawaitwi Magaidi

Ingekuwa matendo ndio yana determine Ugaidi basi hata M23 wangeshaitwa Magaidi kitambo, Unyama wanaofanyiwa Raia kule Burma wangeshaitwa Tawala ya kigaidi, Unyama wa kina Maduro kule South America ungeshaitwa ugaidi

Kama kuua/kushambulia Raia wasio na hatia pekee ni kigezo cha mtu au Serikali kuitwa ya kigaidi basi hata waliomshambulia Tundu Lissi walikidhi vigezo vya kuitwa Gaidi

Kichwani kwako ukishaamini ili Mwanamke awe Mrembo lazima awe Mweupe, hata iweje Mwanamke mweusi hawezi kuwa Mrembo kwako hata kama ana sifa zote za kuitwa Mrembo
 
Ungepaswa kuniuliza kuimaliza vipi?

Jiulize Taliban ya kabla ya 2001 ndio Taleban hii ya 2021 kiitikadi?

Taleban ya kina kina Mulla zaif ilikuwa inakaa kwny meza ya Mazungumzo?

Taleban sasa hivi ni kikundi kama cha M23 ambacho ni kitisho ndan ya Congo mashariki pekee

Taliban ya sasa hivi ni turufu ya Marekan ndan ya Afghanistan ambayo inaifanya Utawala wa Afghanistan kuwa submissive kwa Washington kwa kuwa wasipokuwa kuwa hivyo Taleban watachukua madaraka yao, Taleban imepoa na imeingia kwny Payrol ya Pentagon ndio sababu Majeshi ya US yanarudi Nyumban


Afghanistan ya sasa ni tulivu sana kwa US na sio tena Kitalu cha 'Siasa kali' zilzokuwa zinalelewa na Taleban na ndio sababu nikaeleza kuwa Taleban wamemalizwa
Mulla zaif au Mullar Omar kijicho
 
1.Jiulize, kwanini Miaka yote minne ya Donald Trump Hamas 'hawakuwachokoza' Israel?, Donald Trump hafanyi biashara ya Silaha wala si rafiki wa Wauza Silaha
Unamtenganishaje Trump, Rais kupitia Republican na biàshara ya Silaha ?

Hivi unaijua sera ya Republican kuhusu silaha?

Hivi unajua ni kwa kiasi gani Democrats wanepambana ku-intriduce sera ya Gun control bila mafanikio!

2. Mgogoro wa Safari hii umepoza Mgogoro wa Kisiasa uliokuwa ndani ya Israel uliopelekea hata Benjamin Netanyahu kuchelewa kuunda Serikal ikiwa ni pamoja na kashfa lake la Rushwa
Utu ni jambo muhimu na la kwanza.
Hata sisi licha badala ya kupambana na ufisadi wa Magufuli, walikuwa walupambania zaidi Utu, Uhuru na Ubinadamu mambo mengine baadaye
3. Mgogoro huu ulipangwa kuwa frustrate ma Ayatollah wa Iran watoe lugha kali ili kuzidisha Mgogoro uliopo baina ya Iran na US na kuitia hofu Jumuia ya Ulaya ijitoe kwny mazungumzo ya Iran na warudishe Vikwazo ili Iran izidi kudhoofika na hatimae NATO iingie kuipasua…hii target ime fail
Hizi ni hisia zako tu, probably.
4.Marekan inaweza kupeleka Mashushu wake na kuisambaratisha Hamas ndani ya Mwaka mmoja lakin inapenda kuendelea kuitumia kwa Maslah yake, kama imeweza kuisambaratisha Taleban na Alqaeda kweli ishindwe kwa Hamas,

Hamas na Islamic State ni vikundi vinavyofadhiliwa na US kwa kificho kwa malengo maalum, mf. IS wametumika Mozambique kuwa frustrate Wafaransa kwny deal ya Gesi na Mafuta hadi wamekimbia
Ukweli ni kwamba uwezo wa HAMAS bado ni mdogo lakini wanataka vita. Na huwa wanatumia muda mrefu sana kujipanga.

Sasa hivi wameishiwa moroketi yote. Wamerusha zaidi ya maroketi 4,000 yameisha.

Hawana cha kufanya tena ndio maana sasa hivi wamefurahi vita imesitishwa.

Lakini wanajipanga tena, baada ya miaka kama 4 au zaidi wakishaona wako loaded lazima tena walianzishe.
 
Sasaivi Jerusalem
Screenshot_20210521_130422.jpg
 
Kinachoandikwa google hakiandikwi na malaika mkuu, ni kikundi cha watu kama wewe wanaweza kuchapisha chochote kwa maslahi yao binafsi, google sio kila kitu.
Ohhh kumbe.. Basi jifunze Sasa kuamini au either usome pengine popote.. Ila kikubwa jua karibu nusu ya mikoa ya Afghanistan iko chini y wataliban.
Kikubwa bishana kwa hoja mie Google source yangu , njoo na taarifa nielewe
 
Kinachoandikwa google hakiandikwi na malaika mkuu, ni kikundi cha watu kama wewe wanaweza kuchapisha chochote kwa maslahi yao binafsi, google sio kila kitu.
Soma hiyo baba hiyo Ni 18.. mpaka 21 walishachukua majimbo mawili mengine.
Nb Soma kwa makini ramani then njoo na jibu mkuu
Screenshot_20210521-185042-01.jpg
 
Israel ni taifa lenye watu hata elfu tano hawafiki ila wanajambisha dunia nzima. Yaani wanafunzi wa mbagala rangi 3 primary ni wengi kuliko wananchi wa Israel ila kichapo chao dunia inatikisika.
 
Back
Top Bottom