Mataifa ya kiarabu yadai wao kukaa kimya imesaidia dunia kuwa na amani

Mataifa ya kiarabu yadai wao kukaa kimya imesaidia dunia kuwa na amani

Sasa hivi wanamtumia Rais wa Uturuki kichinichini Erdowan ambaye anang'aka sana dhidi ya Israel.

Rais wa Uturuki anataka Gaza na West Bank iwe chini ya uturuki kwa muda.
Tafuta "Gaza flotilla raid" kisha soma.

Uturuki ni moja kati ya nchi zinazowapa silaha na pesa wazalendo wa Hamas.
 
Jibu ni rahisi sana , Matendo hayo hayo yakifanywa na wasio waislam hawaitwi Magaidi

Ingekuwa matendo ndio yana determine Ugaidi basi hata M23 wangeshaitwa Magaidi kitambo, Unyama wanaofanyiwa Raia kule Burma wangeshaitwa Tawala ya kigaidi, Unyama wa kina Maduro kule South America ungeshaitwa ugaidi

Kama kuua/kushambulia Raia wasio na hatia pekee ni kigezo cha mtu au Serikali kuitwa ya kigaidi basi hata waliomshambulia Tundu Lissi walikidhi vigezo vya kuitwa Gaidi

Kichwani kwako ukishaamini ili Mwanamke awe Mrembo lazima awe Mweupe, hata iweje Mwanamke mweusi hawezi kuwa Mrembo kwako hata kama ana sifa zote za kuitwa Mrembo
nakusoma vizuri kabisaaa
heko mkuu kwa udadavuzi ulioenda shuleee
 
Jibu ni rahisi sana , Matendo hayo hayo yakifanywa na wasio waislam hawaitwi Magaidi

Ingekuwa matendo ndio yana determine Ugaidi basi hata M23 wangeshaitwa Magaidi kitambo, Unyama wanaofanyiwa Raia kule Burma wangeshaitwa Tawala ya kigaidi, Unyama wa kina Maduro kule South America ungeshaitwa ugaidi

Kama kuua/kushambulia Raia wasio na hatia pekee ni kigezo cha mtu au Serikali kuitwa ya kigaidi basi hata waliomshambulia Tundu Lissi walikidhi vigezo vya kuitwa Gaidi

Kichwani kwako ukishaamini ili Mwanamke awe Mrembo lazima awe Mweupe, hata iweje Mwanamke mweusi hawezi kuwa Mrembo kwako hata kama ana sifa zote za kuitwa Mrembo
Kuna kitu huelewi hapa, hawa magaidi niya yao ni kutimiza malengo ya kidini kwani huwezi kuwakuta eti wakipigania maslahi ya watu wa imani mbalimbali wanaodhulumiwa na watawala.
 
Unamtenganishaje Trump, Rais kupitia Republican na biàshara ya Silaha ?

Hivi unaijua sera ya Republican kuhusu silaha?

Hivi unajua ni kwa kiasi gani Democrats wanepambana ku-intriduce sera ya Gun control bila mafanikio!


Utu ni jambo muhimu na la kwanza.
Hata sisi licha badala ya kupambana na ufisadi wa Magufuli, walikuwa walupambania zaidi Utu, Uhuru na Ubinadamu mambo mengine baadaye

Hizi ni hisia zako tu, probably.

Ukweli ni kwamba uwezo wa HAMAS bado ni mdogo lakini wanataka vita. Na huwa wanatumia muda mrefu sana kujipanga.

Sasa hivi wameishiwa moroketi yote. Wamerusha zaidi ya maroketi 4,000 yameisha.

Hawana cha kufanya tena ndio maana sasa hivi wamefurahi vita imesitishwa.

Lakini wanajipanga tena, baada ya miaka kama 4 au zaidi wakishaona wako loaded lazima tena walianzishe.
Isije ikawa Hamas ni sehemu ya IDF nje Israel 😁😁😁😂 walisikika jamaa fulani hivi mitaa ya Tehran.
Tukijiingiza hapo hatutoki.... (Mtego)
 
Kuna kitu huelewi hapa, hawa magaidi niya yao ni kutimiza malengo ya kidini kwani huwezi kuwakuta eti wakipigania maslahi ya watu wa imani mbalimbali wanaodhulumiwa na watawala.
Kwani hao wazayuni unavyofikiri wewe wanachokipigania ni nini kama si dini yao, hivi wewe utambui ya kuwa wao ilibidi waletwe uganda lkn kutokana na imani yao wamegoma na kudai kuwa pale ndio kwao? Hoja ni ile ile, akifanya mpalestina gaidi ila akifanya muisrael anatetea nchi yake
 
Israel ni taifa lenye watu hata elfu tano hawafiki ila wanajambisha dunia nzima. Yaani wanafunzi wa mbagala rangi 3 primary ni wengi kuliko wananchi wa Israel ila kichapo chao dunia inatikisika.
Hivi jf umekujaje kwa ubongo dhaifu Kama huu? Unaambiwa jf Ni makazi ya great thinkers we twakuweka wapi?
 
Yeereeeeeh!

Mataifa ya kiarabu pamoja na Iran yamejitetea na kudai kukaa kwao kimya kwenye mzozo kati ya Israel na Hamas ni kwasababu wanataka amani itamalaki duniani.

Wanasema laiti wangeingilia kati sasa hivi kusingekalika na kuchimbika na Israel kufutika mara moja.

Sasa hivi wanamtumia Rais wa Uturuki kichinichini Erdowan ambaye anang'aka sana dhidi ya Israel.

Rais wa Uturuki anataka Gaza na West Bank iwe chini ya uturuki kwa muda.
Uturuki akiingiza pua pale Israel wanae tena nasema wanae. Atapigwa nuclear bomb moja kuusambaratisha ule mji wake mkuu Ankara au instanbul
 
Mgogoro wa Palestina na Wa Isarel wa safari hii ulikuwa na mambo mengi zaid ya Makombora ya Hamas na Vifaru vya Israel

1.Jiulize, kwanini Miaka yote minne ya Donald Trump Hamas 'hawakuwachokoza' Israel?, Donald Trump hafanyi biashara ya Silaha wala si rafiki wa Wauza Silaha

2. Mgogoro wa Safari hii umepoza Mgogoro wa Kisiasa uliokuwa ndani ya Israel uliopelekea hata Benjamin Netanyahu kuchelewa kuunda Serikal ikiwa ni pamoja na kashfa lake la Rushwa
3. Mgogoro huu ulipangwa kuwa frustrate ma Ayatollah wa Iran watoe lugha kali ili kuzidisha Mgogoro uliopo baina ya Iran na US na kuitia hofu Jumuia ya Ulaya ijitoe kwny mazungumzo ya Iran na warudishe Vikwazo ili Iran izidi kudhoofika na hatimae NATO iingie kuipasua…hii target ime fail

4.Marekan inaweza kupeleka Mashushu wake na kuisambaratisha Hamas ndani ya Mwaka mmoja lakin inapenda kuendelea kuitumia kwa Maslah yake, kama imeweza kuisambaratisha Taleban na Alqaeda kweli ishindwe kwa Hamas,

Hamas na Islamic State ni vikundi vinavyofadhiliwa na US kwa kificho kwa malengo maalum, mf. IS wametumika Mozambique kuwa frustrate Wafaransa kwny deal ya Gesi na Mafuta hadi wamekimbia
Hiyo point namba 4, kasome tena kama marekani kaimaliza taleban au yeye ndio imemshinda
 
Israel ni taifa lenye watu hata elfu tano hawafiki ila wanajambisha dunia nzima. Yaani wanafunzi wa mbagala rangi 3 primary ni wengi kuliko wananchi wa Israel ila kichapo chao dunia inatikisika.
Hizi takwimu zako umezitoa wapi? Kwenye vijiwe vya kahawa?
 
Hizi takwimu zako umezitoa wapi? Kwenye vijiwe vya kahawa?
Hizo takwimu nimeweka kuonyesha msisitizo kuwa kanchi kadogo kanawajambisha waarabu wote. Elfu tano ni lugha tu ya msisitizo sio kweli wapo elfu tano ila ni wachache kulinganisha na mataifa mengine..great thinkers tuwe tunaelewa lugha za msisitizo.
 
Unajua kwanini hizo harakati unazoita za 'Kigaidi' zimeanza mwanzoni mwa miaka ya 1990s wakati Dini yao ipo kwa karne kadhaa?

Kwanini hao Magaidi target yao sio Vatican, sio Japan sio South Korea n.k? Kwanini Adui zao ni wale wenye historia ya kuvamia Maeneo yote ya Dunia kupora na kudhulumu? Haya naswali unahitaji kujiuliza na kupata jibu bila ya kuingia google

Unauliza kwanini hawapiganii watu wengine… kila mtu kila kikundi huwa kinapigania haki zake kwanza kabla ya kupigania za wengine, soma Black America Movement, soma Apartheid movement ya South halaf uniambie wakati wanapigania haki zao maeneo mengine yalikuwa hayana uonevu?

Wale wengi ni Waislam na Uislam kwao ni dini, utamaduni, mazingira n.k kama ilivyo kwetu uafrica na Muafrica mwenzetu akionewa kwa Uafrica wake lazima tutumie Uafrica kumtetea!
Kuna kitu huelewi hapa, hawa magaidi niya yao ni kutimiza malengo ya kidini kwani huwezi kuwakuta eti wakipigania maslahi ya watu wa imani mbalimbali wanaodhulumiwa na watawala.
 
Mimi nikishasoma nafanya analysis na wewe ukishasoma unaandika …hiyo ndio tofauti yangu na yako
Hiyo point namba 4, kasome tena kama marekani kaimaliza taleban au yeye ndio imemshinda
 
Jibu ni rahisi sana , Matendo hayo hayo yakifanywa na wasio waislam hawaitwi Magaidi

Ingekuwa matendo ndio yana determine Ugaidi basi hata M23 wangeshaitwa Magaidi kitambo, Unyama wanaofanyiwa Raia kule Burma wangeshaitwa Tawala ya kigaidi, Unyama wa kina Maduro kule South America ungeshaitwa ugaidi

Kama kuua/kushambulia Raia wasio na hatia pekee ni kigezo cha mtu au Serikali kuitwa ya kigaidi basi hata waliomshambulia Tundu Lissi walikidhi vigezo vya kuitwa Gaidi

Kichwani kwako ukishaamini ili Mwanamke awe Mrembo lazima awe Mweupe, hata iweje Mwanamke mweusi hawezi kuwa Mrembo kwako hata kama ana sifa zote za kuitwa Mrembo
Duuuh mkuu umemaliza
 
nilishasema humu.
Siku AMBAYO Israel watashindwa Vita basi ujue na mwisho wa dunia umekaribia.
Acha watambe ili sisi tuendelee kuishi
Kuna watu uwa wanabisha kuhusu ili..ukiona Israel imepigwa, kama we ni muislam shinda msikitini ukiomba toba.
If we ni ni Christians.. Omba bila kukoma..
Itakuwa ni dakika ya 89
 
Kuna kitu huelewi hapa, hawa magaidi niya yao ni kutimiza malengo ya kidini kwani huwezi kuwakuta eti wakipigania maslahi ya watu wa imani mbalimbali wanaodhulumiwa na watawala.
Wanataka kutimiza malengo ya kidini kwa misingi ya kidini au misingi yao wenyewe?
 
Back
Top Bottom