Kadhia ya Wapalestina (Ndugu zetu),suluhu yake ni ndogo sana.Natakani sana nione hiyo battle Israel vs Turkey
Ama kuhusu mataifa ya Kiarabu,mtoa mada alitakiwa ayaainishe,ila kwa Saudia nina uhakika amekaa kimya iwa sababu za kidini.
Lakini swali la kuuliza,hawa wanao jiita Waisraeli kwanini wanavamia sehemu ambayo si yao ? Lakini ahadi imeshachukuliwa katika Zaburi.
Ama tukiwazungumzia Mayahudi/Wayahudi ambao wamelaaniwa,hakitosimama Kiyama mpaka wapigane vita na sisi Waislamu,na huo ndiyo utakuwa mwisho wao.
Sasa hiki chana cha Uzayuni,ni kundi la Wahuni tu ambao hawaingii kwa nasaba zaidi ya mikakati ya uvamizi na uhuni.
Zingatia : Nimeandika nukta zaidi ya moja tofauti katika mchango wangu huu.