Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,892
- 16,476
Tafuta "Gaza flotilla raid" kisha soma.Sasa hivi wanamtumia Rais wa Uturuki kichinichini Erdowan ambaye anang'aka sana dhidi ya Israel.
Rais wa Uturuki anataka Gaza na West Bank iwe chini ya uturuki kwa muda.
Dogo Unamaanisha hiihii Flotilla child porn?Tafuta "Gaza flotilla raid" kisha soma.
Uturuki ni moja kati ya nchi zinazowapa silaha na pesa wazalendo wa Hamas.
Tafuta "Gaza flotilla raid" kisha somaDogo Unamaanisha hiihii Flotilla child porn?
nakusoma vizuri kabisaaaJibu ni rahisi sana , Matendo hayo hayo yakifanywa na wasio waislam hawaitwi Magaidi
Ingekuwa matendo ndio yana determine Ugaidi basi hata M23 wangeshaitwa Magaidi kitambo, Unyama wanaofanyiwa Raia kule Burma wangeshaitwa Tawala ya kigaidi, Unyama wa kina Maduro kule South America ungeshaitwa ugaidi
Kama kuua/kushambulia Raia wasio na hatia pekee ni kigezo cha mtu au Serikali kuitwa ya kigaidi basi hata waliomshambulia Tundu Lissi walikidhi vigezo vya kuitwa Gaidi
Kichwani kwako ukishaamini ili Mwanamke awe Mrembo lazima awe Mweupe, hata iweje Mwanamke mweusi hawezi kuwa Mrembo kwako hata kama ana sifa zote za kuitwa Mrembo
Kuna kitu huelewi hapa, hawa magaidi niya yao ni kutimiza malengo ya kidini kwani huwezi kuwakuta eti wakipigania maslahi ya watu wa imani mbalimbali wanaodhulumiwa na watawala.Jibu ni rahisi sana , Matendo hayo hayo yakifanywa na wasio waislam hawaitwi Magaidi
Ingekuwa matendo ndio yana determine Ugaidi basi hata M23 wangeshaitwa Magaidi kitambo, Unyama wanaofanyiwa Raia kule Burma wangeshaitwa Tawala ya kigaidi, Unyama wa kina Maduro kule South America ungeshaitwa ugaidi
Kama kuua/kushambulia Raia wasio na hatia pekee ni kigezo cha mtu au Serikali kuitwa ya kigaidi basi hata waliomshambulia Tundu Lissi walikidhi vigezo vya kuitwa Gaidi
Kichwani kwako ukishaamini ili Mwanamke awe Mrembo lazima awe Mweupe, hata iweje Mwanamke mweusi hawezi kuwa Mrembo kwako hata kama ana sifa zote za kuitwa Mrembo
Isije ikawa Hamas ni sehemu ya IDF nje Israel 😁😁😁😂 walisikika jamaa fulani hivi mitaa ya Tehran.Unamtenganishaje Trump, Rais kupitia Republican na biàshara ya Silaha ?
Hivi unaijua sera ya Republican kuhusu silaha?
Hivi unajua ni kwa kiasi gani Democrats wanepambana ku-intriduce sera ya Gun control bila mafanikio!
Utu ni jambo muhimu na la kwanza.
Hata sisi licha badala ya kupambana na ufisadi wa Magufuli, walikuwa walupambania zaidi Utu, Uhuru na Ubinadamu mambo mengine baadaye
Hizi ni hisia zako tu, probably.
Ukweli ni kwamba uwezo wa HAMAS bado ni mdogo lakini wanataka vita. Na huwa wanatumia muda mrefu sana kujipanga.
Sasa hivi wameishiwa moroketi yote. Wamerusha zaidi ya maroketi 4,000 yameisha.
Hawana cha kufanya tena ndio maana sasa hivi wamefurahi vita imesitishwa.
Lakini wanajipanga tena, baada ya miaka kama 4 au zaidi wakishaona wako loaded lazima tena walianzishe.
Kwani hao wazayuni unavyofikiri wewe wanachokipigania ni nini kama si dini yao, hivi wewe utambui ya kuwa wao ilibidi waletwe uganda lkn kutokana na imani yao wamegoma na kudai kuwa pale ndio kwao? Hoja ni ile ile, akifanya mpalestina gaidi ila akifanya muisrael anatetea nchi yakeKuna kitu huelewi hapa, hawa magaidi niya yao ni kutimiza malengo ya kidini kwani huwezi kuwakuta eti wakipigania maslahi ya watu wa imani mbalimbali wanaodhulumiwa na watawala.
Hivi jf umekujaje kwa ubongo dhaifu Kama huu? Unaambiwa jf Ni makazi ya great thinkers we twakuweka wapi?Israel ni taifa lenye watu hata elfu tano hawafiki ila wanajambisha dunia nzima. Yaani wanafunzi wa mbagala rangi 3 primary ni wengi kuliko wananchi wa Israel ila kichapo chao dunia inatikisika.
Niweke hapo nyuma kwenye m.k.u.n.d.u wako uone shughuli yangu.Hivi jf umekujaje kwa ubongo dhaifu Kama huu? Unaambiwa jf Ni makazi ya great thinkers we twakuweka wapi?
Uturuki akiingiza pua pale Israel wanae tena nasema wanae. Atapigwa nuclear bomb moja kuusambaratisha ule mji wake mkuu Ankara au instanbulYeereeeeeh!
Mataifa ya kiarabu pamoja na Iran yamejitetea na kudai kukaa kwao kimya kwenye mzozo kati ya Israel na Hamas ni kwasababu wanataka amani itamalaki duniani.
Wanasema laiti wangeingilia kati sasa hivi kusingekalika na kuchimbika na Israel kufutika mara moja.
Sasa hivi wanamtumia Rais wa Uturuki kichinichini Erdowan ambaye anang'aka sana dhidi ya Israel.
Rais wa Uturuki anataka Gaza na West Bank iwe chini ya uturuki kwa muda.
Hiyo point namba 4, kasome tena kama marekani kaimaliza taleban au yeye ndio imemshindaMgogoro wa Palestina na Wa Isarel wa safari hii ulikuwa na mambo mengi zaid ya Makombora ya Hamas na Vifaru vya Israel
1.Jiulize, kwanini Miaka yote minne ya Donald Trump Hamas 'hawakuwachokoza' Israel?, Donald Trump hafanyi biashara ya Silaha wala si rafiki wa Wauza Silaha
2. Mgogoro wa Safari hii umepoza Mgogoro wa Kisiasa uliokuwa ndani ya Israel uliopelekea hata Benjamin Netanyahu kuchelewa kuunda Serikal ikiwa ni pamoja na kashfa lake la Rushwa
3. Mgogoro huu ulipangwa kuwa frustrate ma Ayatollah wa Iran watoe lugha kali ili kuzidisha Mgogoro uliopo baina ya Iran na US na kuitia hofu Jumuia ya Ulaya ijitoe kwny mazungumzo ya Iran na warudishe Vikwazo ili Iran izidi kudhoofika na hatimae NATO iingie kuipasua…hii target ime fail
4.Marekan inaweza kupeleka Mashushu wake na kuisambaratisha Hamas ndani ya Mwaka mmoja lakin inapenda kuendelea kuitumia kwa Maslah yake, kama imeweza kuisambaratisha Taleban na Alqaeda kweli ishindwe kwa Hamas,
Hamas na Islamic State ni vikundi vinavyofadhiliwa na US kwa kificho kwa malengo maalum, mf. IS wametumika Mozambique kuwa frustrate Wafaransa kwny deal ya Gesi na Mafuta hadi wamekimbia
Sasaivi Jerusalem View attachment 1792740
Hizi takwimu zako umezitoa wapi? Kwenye vijiwe vya kahawa?Israel ni taifa lenye watu hata elfu tano hawafiki ila wanajambisha dunia nzima. Yaani wanafunzi wa mbagala rangi 3 primary ni wengi kuliko wananchi wa Israel ila kichapo chao dunia inatikisika.
Hizo takwimu nimeweka kuonyesha msisitizo kuwa kanchi kadogo kanawajambisha waarabu wote. Elfu tano ni lugha tu ya msisitizo sio kweli wapo elfu tano ila ni wachache kulinganisha na mataifa mengine..great thinkers tuwe tunaelewa lugha za msisitizo.Hizi takwimu zako umezitoa wapi? Kwenye vijiwe vya kahawa?
Kuna kitu huelewi hapa, hawa magaidi niya yao ni kutimiza malengo ya kidini kwani huwezi kuwakuta eti wakipigania maslahi ya watu wa imani mbalimbali wanaodhulumiwa na watawala.
Hiyo point namba 4, kasome tena kama marekani kaimaliza taleban au yeye ndio imemshinda
Duuuh mkuu umemalizaJibu ni rahisi sana , Matendo hayo hayo yakifanywa na wasio waislam hawaitwi Magaidi
Ingekuwa matendo ndio yana determine Ugaidi basi hata M23 wangeshaitwa Magaidi kitambo, Unyama wanaofanyiwa Raia kule Burma wangeshaitwa Tawala ya kigaidi, Unyama wa kina Maduro kule South America ungeshaitwa ugaidi
Kama kuua/kushambulia Raia wasio na hatia pekee ni kigezo cha mtu au Serikali kuitwa ya kigaidi basi hata waliomshambulia Tundu Lissi walikidhi vigezo vya kuitwa Gaidi
Kichwani kwako ukishaamini ili Mwanamke awe Mrembo lazima awe Mweupe, hata iweje Mwanamke mweusi hawezi kuwa Mrembo kwako hata kama ana sifa zote za kuitwa Mrembo
Kuna watu uwa wanabisha kuhusu ili..ukiona Israel imepigwa, kama we ni muislam shinda msikitini ukiomba toba.nilishasema humu.
Siku AMBAYO Israel watashindwa Vita basi ujue na mwisho wa dunia umekaribia.
Acha watambe ili sisi tuendelee kuishi
Wanataka kutimiza malengo ya kidini kwa misingi ya kidini au misingi yao wenyewe?Kuna kitu huelewi hapa, hawa magaidi niya yao ni kutimiza malengo ya kidini kwani huwezi kuwakuta eti wakipigania maslahi ya watu wa imani mbalimbali wanaodhulumiwa na watawala.