- Thread starter
- #521
250,000 mkuuJe 215/70R16 za Rav 4 zinaenda kwa hela ngapi??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
250,000 mkuuJe 215/70R16 za Rav 4 zinaenda kwa hela ngapi??
mkuu sijwahi ona size kama hizo labda kama umetype vibaya.215/95/R16
sasa inategemea kila tairi ina tarehe yake, kuna ya wiki 21, wiki ya 10. ila cha msingi ni mwaka ndio unaozingatiwa zaidi.Unaposema mpya, yametengenezwa mwaka na wiki ya ngapi?
Bado hujajibu swali na ndio maana nikakuuliza ni ya mwaka gani?sasa inategemea kila tairi ina tarehe yake, kuna ya wiki 21, wiki ya 10. ila cha msingi ni mwaka ndio unaozingatiwa zaidi.
Habari Mkuu, una tairi za saizi 215/70/R14
stock ya matairi yaliyobaki ni ya mwaka 2016.Bado hujajibu swali na ndio maana nikakuuliza ni ya mwaka gani?
zipo 255/60/R18 bei ni 350,000 kwa moja.255/55 Rim Size 18 shilingi ngapi
Me nataka 255/55/R18 mkuuzipo 255/60/R18 bei ni 350,000 kwa moja.
hizo hamna mkuu. cheki kwa sameer africa. wapo vingungutiMe nataka 255/55/R18 mkuu
Ndio maana mmeshusha bei kwani tuko 2018 sasastock ya matairi yaliyobaki ni ya mwaka 2016.
sasa miaka miwili sio muda mrefu chifu. mbona sehemu nyingi ukienda utakuta matairi ya miaka hioNdio maana mmeshusha bei kwani tuko 2018 sasa
mtoa mada ni dalali/mpiga debe kamezeshwaHiyo warranti ya miaka mitano noma sana. Life span ya tairi ni miaka minne, warranti inazidi life span. Ama ulimaanisha miezi mitano? Sina uhakika kama nikifunga hizo tairi kwenye gari zitadumu kipindi kimoja cha rais wa tanzania madarakani. Hebu fafanua vizuri.