Matajiri ambao vyanzo vyao vya pesa havijulikani, huku ndiko baadhi wameanza kuokota magunia ya pesa, si pesa za masharti ila Jela inakuchungulia

Matajiri ambao vyanzo vyao vya pesa havijulikani, huku ndiko baadhi wameanza kuokota magunia ya pesa, si pesa za masharti ila Jela inakuchungulia

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760
Kumekuwa na baadhi ya vijana mjini wenye jeuri ya kuonyesha nguvu ya pesa lakini imebaki kuwa siri yao namna wanavyozipata pesa.

Kuna matajiri wanaoingiza pesa kihalali lakini wapo pia matajiri wanaoingiza pesa kwa kuvunja sheria na kukiuka maadili, si kila tajiri wa kutamani mali zake bila kujua anavyozipata.

Hapa kwetu Pesa za masharti za waganga zipo lakini watu wengi hawazitaki wamehamia kwenye biashara nyingine mbadala ambayo inafanyika tangu zamani lakini kwa sasa inalipa zaidi lakini risk kubwa sana,

biashara hii haina tofauti na kuchezea shilingi kwenye tundu la choo, ukidakwa ni jela miaka 30, Kabla ya 2017 adhabu ilikuwa faini milioni 1 au kifungo kisichozidi miaka 20

Bangi, Ganja, Msuba, Cha Arusha, Mmea, Wida, n.k. hii biashara muda huu imeblow, ni ina pesa acha kabisa.

76dc31cb1e.jpg


Gunia la Bangi ni shilingi milioni 2 na nusu hadi milioni tatu

Muda wa kulima bangi hadi ikomae kwa mvuno moja ni miezi kama minne, ni zao linaloweza kuachwa na kujiotea hata mazingira magumu porini, halihitaji mbolea, uangalizi, matunzo kama mahindi, maharage, n.k,

Tukitumia bei ya chini, Hekari moja inatoa gunia 10 sawa na shilingi milioni 25

Kwa wale ambao hamjui ukubwa wa Heka, inakaribia nusu ya uwanja wa mpira

1730551286823.png


Biashara ina mtandao mpana hii, si ajabu baadhi ya watumshi wanapewa mlungula kulinda biashara, mfano kukiwa na road block wanampa bosi taarifa mapema, hii ni noah iliachwa, inaonekana dereva alishapewa taarifa

1730551411024.png


Kwa kila heka inayotoa milioni 25 gharama zinaweza kuwa milioni 2, kununua ukimya, ulinzi, n.k. ila kwa kurahisisha hesabu tufanye gharama ni milioni 5, hivyo faida iwe milioni 20.

  • Kwa hekari 1 faida ni takribani milioni 20+
  • Kwa hekari 10 faida yakribani milioni 200 +
  • Hekari 50 faida bilioni 1 +
  • Hekari 100 faida bilioni 2+
Wanunuzi wapo hata ziwe ekari 200 wanasomba zote, wanunuzi wenye mitandao mipana husafirisha nje ya nchi kwa faida kubwa mno.

Kwa kuwa pesa hizo ni nyingi sana huwezi kuziingiza moja kwa moja benki, inabidi uzitakatishe aidha kwenye biashara halali mfano mabasi, makanisa ya mchongo, hoteli, maduka, vikundi vya kusaidiana, n.k. biashara hata kama imebuma inapambwa ionekane inaingiza pesa.
 
Kumekuwa na baadhi ya vijana mjini wenye jeuri ya kuonyesha nguvu ya pesa lakini imebaki kuwa siri yao namna wanavyozipata pesa.

Pesa za masharti za waganga zipo lakini watu wengi hawazitaki wamehamia kwenye biashara nyingine mbadala ambayo inafanyika tangu zamani lakini kwa sasa inalipa zaidi lakini risk kubwa ni jela

Bangi, Ganja, Msuba, Cha Arusha, Mmea, Wida, n.k. hii biashara muda huu imeblow, ni ina pesa acha kabisa.

View attachment 3141552

Gunia la Bangi ni shilingi milioni 2 na nusu hadi milioni tatu

Muda wa kulima bangi hadi ikomae kwa mvuno moja ni miezi kama minne kwenye msimu wa mvua

Tukitumia bei ya chini, Hekari moja inatoa gunia 10 sawa na shilingi milioni 25

Kwa wale ambao hamjui ukubwa wa Heka, inakaribia nusu ya uwanja wa mpira

View attachment 3141541

Biashara ina mtandao mpana hii, si ajabu nao mapolisi wanapewa mlungula wao, kukiwa na road block za msako wanampa bosi taarifa mapema, hii ni noah iliachwa, inaonekana dereva alishapewa taarifa

View attachment 3141544

Kwa kila heka inayotoa milioni 2 na nusu gharama zinaweza kuwa laki 5, faida kwa kila heka laki 2,

  • Kwa hekari 1 faida ni takribani milioni 20
  • Kwa hekari 10 faida yakribani milioni 200 +
  • Hekari 50 faida bilioni 1 +
  • Hekari 100 faida bilioni 2
  • Hekari 300 faida bilioni 5
nchi ni kubwa iliyojaa ardhi yenye rotuba, haishangazi kukuta shamba la mamia ya ekari

Kwa kuwa pesa hizo ni nyingi sana huwezi kuziingiza moja kwa moja benki, inabidi uzitakatishe aidha kwenye biashara ya mabasi, kufungua kanisa, hoteli, maduka, kuunda vikundi vyenye kisingizio cha kukuingizia pesa, n.k.
Uko Arusha oldonyo sambu mwenyekt wakijii kwake kulikutwa zaid yangunia 900 akatorokea kenya so goja na mm niaze kilimo hiyo
 
Tatizo wengi wanapofeli wakifanikiwa kupiga pesa za mvuno moja wanarudia tena, ukifanya muda mrefu waweza kamatwa, kuuawa, kutoa rushwa kubwa sana kiasi cha kukufilisi, n.k.
Mimi naomba koneksheni tu. Nataka kununua na kusambaza. Niko serious jamani. Najua hata niende jela nitatoka kwa hela ya madafu tu.
 
Un
Kumekuwa na baadhi ya vijana mjini wenye jeuri ya kuonyesha nguvu ya pesa lakini imebaki kuwa siri yao namna wanavyozipata pesa.

Pesa za masharti za waganga zipo lakini watu wengi hawazitaki wamehamia kwenye biashara nyingine mbadala ambayo inafanyika tangu zamani lakini kwa sasa inalipa zaidi lakini risk kubwa ni jela

Bangi, Ganja, Msuba, Cha Arusha, Mmea, Wida, n.k. hii biashara muda huu imeblow, ni ina pesa acha kabisa.

View attachment 3141552

Gunia la Bangi ni shilingi milioni 2 na nusu hadi milioni tatu

Muda wa kulima bangi hadi ikomae kwa mvuno moja ni miezi kama minne, ni zao linaloweza kuota hata mazingira magumu porini, halihitaji uangalizi / matunzo.

Tukitumia bei ya chini, Hekari moja inatoa gunia 10 sawa na shilingi milioni 25

Kwa wale ambao hamjui ukubwa wa Heka, inakaribia nusu ya uwanja wa mpira

View attachment 3141541

Biashara ina mtandao mpana hii, si ajabu nao mapolisi wanapewa mlungula wao, kukiwa na road block za msako wanampa bosi taarifa mapema, hii ni noah iliachwa, inaonekana dereva alishapewa taarifa

View attachment 3141544

Kwa kila heka inayotoa milioni 2 na nusu gharama zinaweza kuwa laki 5, faida kwa kila heka laki 2,

  • Kwa hekari 1 faida ni takribani milioni 20
  • Kwa hekari 10 faida yakribani milioni 200 +
  • Hekari 50 faida bilioni 1 +
  • Hekari 100 faida bilioni 2
  • Hekari 300 faida bilioni 5
nchi ni kubwa iliyojaa ardhi yenye rotuba, haishangazi kukuta shamba la mamia ya ekari

Kwa kuwa pesa hizo ni nyingi sana huwezi kuziingiza moja kwa moja benki, inabidi uzitakatishe aidha kwenye biashara ya mabasi, kufungua kanisa, hoteli, maduka, kuunda vikundi vyenye kisingizio cha kukuingizia pesa, n.k.
Unauza ramani Sasa wewe ngumbalu kajaribu hii business siku moja tu unakamatwa
 
Kwanini serekali kama kweli inawapenda watu wake, ikaruhusu walime huku ikilindwa yote kwa ajili ya export only and not to be used/sold within the country
Naunga mkono hoja, tuwe na mashamba ya watu binafsi waliopewa leseni.


Kama hiyo ni usumbufu basi tuwe na shamba la serikali au baba lao Shamba la Jeshi la Bhangi
 
Nilijikuta nimepotea njia na kujikuta niko katikati ya shamba kubwa la mahindi. Mara paap nikaona miti ya mibangi kama yote katikati ya shamba la mahindi. Mungu saidia sikuonwa na mwenye shamba, angeniona huenda angenifanya kitu mbaya kwa kuona siri ya shamba la bangi
 
Back
Top Bottom