Matajiri ambao vyanzo vyao vya pesa havijulikani, huku ndiko baadhi wameanza kuokota magunia ya pesa, si pesa za masharti ila Jela inakuchungulia

Matajiri ambao vyanzo vyao vya pesa havijulikani, huku ndiko baadhi wameanza kuokota magunia ya pesa, si pesa za masharti ila Jela inakuchungulia

Sisi masikini ni watu wenye maneno mengi sana kujifanya tunajua ni jinsi gani matajiri wanavyopata pesa. Ila cha ajabu tunashindwa kutumia mbinu hizo kujitajirisha kama wao. Ubatili mtupu!
Jua kutofautisha utajiri, kuna utajiri halali na utajiri haramu wa majambazi, madawa ya kulevya, kuuza watoto, n.k.
 
Hii ikoje ? Sijaelewaaa
1000014202.gif
 
Sema hii kitu hatari sana , niliwahi pelekwa chimbo miaka fulani hivi katika harakati za maisha hizi nilikua na bustani maeneo fulani sasa jirani yangu mmoja alikua na bustani pembeni yangu ila kuihudumia hawezi ! nikawa namsaidia mashine ya kumwagilia na dawa za kuua wadudu mbolea kidogo nikibakisha namtoa kwa hiyo akawa mshikaji wangu

Jamaa alikua anakula kijiti mbaya mpaka imefikia hatua uongeaji amekua kama wa kitale 🤣 mjani alikua analia pale shambani kwa hiyo tukawa tunatia sana story !
Ndo akanitonya "oy jamaa yangu kwanini usiende ukacheki mazingira ya mjani kwa sababu una hela ukawa unauza hii kitu ! Tukatafuta pikipiki tukatia mafuta ya 10k kwenda site.
Nilifanikiwa kufika asee ila palikua chaka kinoma pia sikua na amani kabisa kwa sababu ndo ilikua mara ya kwanza kuuona mmea ukiwa live naona vile vya kujiotesha tu bustanini ,

Jamaa tulikula tour huko kwenye mashamba ya bangi maana location yalivyosetiwa sio kizembe ! Tulinunua kindoo kimoja kama kile cha kuogea aseee njia nzima mimi natetemeka nasema hapa mfano inatokea maaskari labda wako kwenye msako ndo jela inaniita hivyo 🤣🤣

Tulifanikiwa kufika salama , nakumbuka tulinunua kindoo kwa 70k kuna jinsi wanavyopakia maana hii kitu hata uzito haina tulivyofika nikamuachia jamaa akaita wahuni wafunge kete daah baada ya kuuza kwa kweli sikua na nia kabisa ya kuendelea tena maana sikua na amani kabisa.
 
Kumekuwa na baadhi ya vijana mjini wenye jeuri ya kuonyesha nguvu ya pesa lakini imebaki kuwa siri yao namna wanavyozipata pesa.

Kuna matajiri wanaoingiza pesa kihalali lakini wapo pia matajiri wanaoingiza pesa kwa kuvunja sheria na kukiuka maadili, si kila tajiri wa kutamani mali zake bila kujua anavyozipata.

Hapa kwetu Pesa za masharti za waganga zipo lakini watu wengi hawazitaki wamehamia kwenye biashara nyingine mbadala ambayo inafanyika tangu zamani lakini kwa sasa inalipa zaidi lakini risk kubwa sana,

biashara hii haina tofauti na kuchezea shilingi kwenye tundu la choo, ukidakwa ni jela miaka 30

Bangi, Ganja, Msuba, Cha Arusha, Mmea, Wida, n.k. hii biashara muda huu imeblow, ni ina pesa acha kabisa.



View attachment 3141587

Gunia la Bangi ni shilingi milioni 2 na nusu hadi milioni tatu

Muda wa kulima bangi hadi ikomae kwa mvuno moja ni miezi kama minne, ni zao linaloweza kuachwa na kujiotea hata mazingira magumu porini, halihitaji mbolea, uangalizi, matunzo kama mahindi, maharage, n.k,

Tukitumia bei ya chini, Hekari moja inatoa gunia 10 sawa na shilingi milioni 25

Kwa wale ambao hamjui ukubwa wa Heka, inakaribia nusu ya uwanja wa mpira

View attachment 3141541

Biashara ina mtandao mpana hii, si ajabu baadhi ya watumshi wanapewa mlungula kulinda biashara, mfano kukiwa na road block wanampa bosi taarifa mapema, hii ni noah iliachwa, inaonekana dereva alishapewa taarifa

View attachment 3141544

Kwa kila heka inayotoa milioni 25 gharama zinaweza kuwa milioni 2, kununua ukimya, ulinzi, n.k. ila kwa kurahisisha hesabu tufanye gharama ni milioni 5, hivyo faida iwe milioni 20.

  • Kwa hekari 1 faida ni takribani milioni 20+
  • Kwa hekari 10 faida yakribani milioni 200 +
  • Hekari 50 faida bilioni 1 +
  • Hekari 100 faida bilioni 2+
Wanunuzi wapo hata ziwe ekari 200 wanasomba zote, wanunuzi wenye mitandao mipana husafirisha nje ya nchi kwa faida kubwa mno.

Kwa kuwa pesa hizo ni nyingi sana huwezi kuziingiza moja kwa moja benki, inabidi uzitakatishe aidha kwenye biashara halali mfano mabasi, kufungua kanisa, hoteli, maduka, kuunda vikundi vyenye kisingizio cha kukuingizia pesa, n.k. biashara hata kama imebuma inapambwa ionekane inaingiza pesa.
TAATIZO maskini wanataka kujua chanzo cha utajiri wa Godlove na Mwigu ila hawataki kuulizia chanzo cha umaskini wao.

Serikali pia ichukue hatua kwa maskini ambao hawajui chanzo cha umaskini wao.
 
Kumekuwa na baadhi ya vijana mjini wenye jeuri ya kuonyesha nguvu ya pesa lakini imebaki kuwa siri yao namna wanavyozipata pesa.

Kuna matajiri wanaoingiza pesa kihalali lakini wapo pia matajiri wanaoingiza pesa kwa kuvunja sheria na kukiuka maadili, si kila tajiri wa kutamani mali zake bila kujua anavyozipata.

Hapa kwetu Pesa za masharti za waganga zipo lakini watu wengi hawazitaki wamehamia kwenye biashara nyingine mbadala ambayo inafanyika tangu zamani lakini kwa sasa inalipa zaidi lakini risk kubwa sana,

biashara hii haina tofauti na kuchezea shilingi kwenye tundu la choo, ukidakwa ni jela miaka 30

Bangi, Ganja, Msuba, Cha Arusha, Mmea, Wida, n.k. hii biashara muda huu imeblow, ni ina pesa acha kabisa.



View attachment 3141587

Gunia la Bangi ni shilingi milioni 2 na nusu hadi milioni tatu

Muda wa kulima bangi hadi ikomae kwa mvuno moja ni miezi kama minne, ni zao linaloweza kuachwa na kujiotea hata mazingira magumu porini, halihitaji mbolea, uangalizi, matunzo kama mahindi, maharage, n.k,

Tukitumia bei ya chini, Hekari moja inatoa gunia 10 sawa na shilingi milioni 25

Kwa wale ambao hamjui ukubwa wa Heka, inakaribia nusu ya uwanja wa mpira

View attachment 3141541

Biashara ina mtandao mpana hii, si ajabu baadhi ya watumshi wanapewa mlungula kulinda biashara, mfano kukiwa na road block wanampa bosi taarifa mapema, hii ni noah iliachwa, inaonekana dereva alishapewa taarifa

View attachment 3141544

Kwa kila heka inayotoa milioni 25 gharama zinaweza kuwa milioni 2, kununua ukimya, ulinzi, n.k. ila kwa kurahisisha hesabu tufanye gharama ni milioni 5, hivyo faida iwe milioni 20.

  • Kwa hekari 1 faida ni takribani milioni 20+
  • Kwa hekari 10 faida yakribani milioni 200 +
  • Hekari 50 faida bilioni 1 +
  • Hekari 100 faida bilioni 2+
Wanunuzi wapo hata ziwe ekari 200 wanasomba zote, wanunuzi wenye mitandao mipana husafirisha nje ya nchi kwa faida kubwa mno.

Kwa kuwa pesa hizo ni nyingi sana huwezi kuziingiza moja kwa moja benki, inabidi uzitakatishe aidha kwenye biashara halali mfano mabasi, kufungua kanisa, hoteli, maduka, kuunda vikundi vyenye kisingizio cha kukuingizia pesa, n.k. biashara hata kama imebuma inapambwa ionekane inaingiza pesa.
TAATIZO maskini wanataka kujua chanzo cha utajiri wa Godlove na Mwigu ila hawataki kuulizia chanzo cha umaskini wao.

Serikali pia ichukue hatua kwa maskini ambao hawajui chanzo cha umaskini wao.
 
Nilijikuta nimepotea njia na kujikuta niko katikati ya shamba kubwa la mahindi. Mara paap nikaona miti ya mibangi kama yote katikati ya shamba la mahindi. Mungu saidia sikuonwa na mwenye shamba, angeniona huenda angenifanya kitu mbaya kwa kuona siri ya shamba la bangi
Haha wewe kwenye shamba la mahindi ya watu ulienda kufanya nini? Na shukuru Mungu haukuonwa vinginevyo wangejua wewe ni spy na hakika wasingekuacha
 
Nilijikuta nimepotea njia na kujikuta niko katikati ya shamba kubwa la mahindi. Mara paap nikaona miti ya mibangi kama yote katikati ya shamba la mahindi. Mungu saidia sikuonwa na mwenye shamba, angeniona huenda angenifanya kitu mbaya kwa kuona siri ya shamba la bangi
Haha wewe kwenye shamba la mahindi ya watu ulienda kufanya nini? Na shukuru Mungu haukuonwa vinginevyo wangejua wewe ni spy na hakika wasingekuacha
 
Back
Top Bottom