Jua kutofautisha utajiri, kuna utajiri halali na utajiri haramu wa majambazi, madawa ya kulevya, kuuza watoto, n.k.Sisi masikini ni watu wenye maneno mengi sana kujifanya tunajua ni jinsi gani matajiri wanavyopata pesa. Ila cha ajabu tunashindwa kutumia mbinu hizo kujitajirisha kama wao. Ubatili mtupu!
Mkuu nakubali sana , wewe ni mtu mkubwa mno , mchango wako ni muhimu mnoMambo mengi muda mchache.. atleast kila uzi nichangie
The end justify the means.Jua kutofautisha utajiri, kuna utajiri halali na utajiri haramu wa majambazi, madawa ya kulevya, kuuza watoto, n.k.
Hii ikoje ? Sijaelewaaa
Mkuu sijawahi vuta bangi , hivi nikivuta kwa mara ya kwanza itakuaje🤗
Itakufungua macho na akili utaingia kwenye ulimwengu mpya ni experience ambayo kila mtu anatakiwa apitie ili kupata muunganiko wa mwili, akili, na roho.Mkuu sijawahi vuta bangi , hivi nikivuta kwa mara ya kwanza itakuaje🤗
Hapo kwenye kuunganisia mwili, akili na roho napahitaji sana ili nimpige kanji kwenye mikeka yakeItakufungua macho na akili utaingia kwenye ulimwengu mpya ni experience ambayo kila mtu anatakiwa apitie ili kupata muunganiko wa mwili, akili, na roho.
Nakuelewa sanaItakufungua macho na akili utaingia kwenye ulimwengu mpya ni experience ambayo kila mtu anatakiwa apitie ili kupata muunganiko wa mwili, akili, na roho.
Khaaaaaa utandawazii huu daaaa kizazi kijacho balaaa sijui hao wakwe zetu watakuwaje wallah .....vijana hovyo machupi nje ha2qtaki kazi wqnap3nda starehe shidaa wao walelewe tu
Sio kilimo cha maharage hiki ukifanyie survey kwamba shamba liwe bondeni 😂 kuna mambo mengi ya ziada mzitoHiki ndio kilimo pekee nime plan kukifanya. Nafanya survey ya maeneo kwa sasa
TAATIZO maskini wanataka kujua chanzo cha utajiri wa Godlove na Mwigu ila hawataki kuulizia chanzo cha umaskini wao.Kumekuwa na baadhi ya vijana mjini wenye jeuri ya kuonyesha nguvu ya pesa lakini imebaki kuwa siri yao namna wanavyozipata pesa.
Kuna matajiri wanaoingiza pesa kihalali lakini wapo pia matajiri wanaoingiza pesa kwa kuvunja sheria na kukiuka maadili, si kila tajiri wa kutamani mali zake bila kujua anavyozipata.
Hapa kwetu Pesa za masharti za waganga zipo lakini watu wengi hawazitaki wamehamia kwenye biashara nyingine mbadala ambayo inafanyika tangu zamani lakini kwa sasa inalipa zaidi lakini risk kubwa sana,
biashara hii haina tofauti na kuchezea shilingi kwenye tundu la choo, ukidakwa ni jela miaka 30
Bangi, Ganja, Msuba, Cha Arusha, Mmea, Wida, n.k. hii biashara muda huu imeblow, ni ina pesa acha kabisa.
View attachment 3141587
Gunia la Bangi ni shilingi milioni 2 na nusu hadi milioni tatu
Muda wa kulima bangi hadi ikomae kwa mvuno moja ni miezi kama minne, ni zao linaloweza kuachwa na kujiotea hata mazingira magumu porini, halihitaji mbolea, uangalizi, matunzo kama mahindi, maharage, n.k,
Tukitumia bei ya chini, Hekari moja inatoa gunia 10 sawa na shilingi milioni 25
Kwa wale ambao hamjui ukubwa wa Heka, inakaribia nusu ya uwanja wa mpira
View attachment 3141541
Biashara ina mtandao mpana hii, si ajabu baadhi ya watumshi wanapewa mlungula kulinda biashara, mfano kukiwa na road block wanampa bosi taarifa mapema, hii ni noah iliachwa, inaonekana dereva alishapewa taarifa
View attachment 3141544
Kwa kila heka inayotoa milioni 25 gharama zinaweza kuwa milioni 2, kununua ukimya, ulinzi, n.k. ila kwa kurahisisha hesabu tufanye gharama ni milioni 5, hivyo faida iwe milioni 20.
Wanunuzi wapo hata ziwe ekari 200 wanasomba zote, wanunuzi wenye mitandao mipana husafirisha nje ya nchi kwa faida kubwa mno.
- Kwa hekari 1 faida ni takribani milioni 20+
- Kwa hekari 10 faida yakribani milioni 200 +
- Hekari 50 faida bilioni 1 +
- Hekari 100 faida bilioni 2+
Kwa kuwa pesa hizo ni nyingi sana huwezi kuziingiza moja kwa moja benki, inabidi uzitakatishe aidha kwenye biashara halali mfano mabasi, kufungua kanisa, hoteli, maduka, kuunda vikundi vyenye kisingizio cha kukuingizia pesa, n.k. biashara hata kama imebuma inapambwa ionekane inaingiza pesa.
TAATIZO maskini wanataka kujua chanzo cha utajiri wa Godlove na Mwigu ila hawataki kuulizia chanzo cha umaskini wao.Kumekuwa na baadhi ya vijana mjini wenye jeuri ya kuonyesha nguvu ya pesa lakini imebaki kuwa siri yao namna wanavyozipata pesa.
Kuna matajiri wanaoingiza pesa kihalali lakini wapo pia matajiri wanaoingiza pesa kwa kuvunja sheria na kukiuka maadili, si kila tajiri wa kutamani mali zake bila kujua anavyozipata.
Hapa kwetu Pesa za masharti za waganga zipo lakini watu wengi hawazitaki wamehamia kwenye biashara nyingine mbadala ambayo inafanyika tangu zamani lakini kwa sasa inalipa zaidi lakini risk kubwa sana,
biashara hii haina tofauti na kuchezea shilingi kwenye tundu la choo, ukidakwa ni jela miaka 30
Bangi, Ganja, Msuba, Cha Arusha, Mmea, Wida, n.k. hii biashara muda huu imeblow, ni ina pesa acha kabisa.
View attachment 3141587
Gunia la Bangi ni shilingi milioni 2 na nusu hadi milioni tatu
Muda wa kulima bangi hadi ikomae kwa mvuno moja ni miezi kama minne, ni zao linaloweza kuachwa na kujiotea hata mazingira magumu porini, halihitaji mbolea, uangalizi, matunzo kama mahindi, maharage, n.k,
Tukitumia bei ya chini, Hekari moja inatoa gunia 10 sawa na shilingi milioni 25
Kwa wale ambao hamjui ukubwa wa Heka, inakaribia nusu ya uwanja wa mpira
View attachment 3141541
Biashara ina mtandao mpana hii, si ajabu baadhi ya watumshi wanapewa mlungula kulinda biashara, mfano kukiwa na road block wanampa bosi taarifa mapema, hii ni noah iliachwa, inaonekana dereva alishapewa taarifa
View attachment 3141544
Kwa kila heka inayotoa milioni 25 gharama zinaweza kuwa milioni 2, kununua ukimya, ulinzi, n.k. ila kwa kurahisisha hesabu tufanye gharama ni milioni 5, hivyo faida iwe milioni 20.
Wanunuzi wapo hata ziwe ekari 200 wanasomba zote, wanunuzi wenye mitandao mipana husafirisha nje ya nchi kwa faida kubwa mno.
- Kwa hekari 1 faida ni takribani milioni 20+
- Kwa hekari 10 faida yakribani milioni 200 +
- Hekari 50 faida bilioni 1 +
- Hekari 100 faida bilioni 2+
Kwa kuwa pesa hizo ni nyingi sana huwezi kuziingiza moja kwa moja benki, inabidi uzitakatishe aidha kwenye biashara halali mfano mabasi, kufungua kanisa, hoteli, maduka, kuunda vikundi vyenye kisingizio cha kukuingizia pesa, n.k. biashara hata kama imebuma inapambwa ionekane inaingiza pesa.
Haha wewe kwenye shamba la mahindi ya watu ulienda kufanya nini? Na shukuru Mungu haukuonwa vinginevyo wangejua wewe ni spy na hakika wasingekuachaNilijikuta nimepotea njia na kujikuta niko katikati ya shamba kubwa la mahindi. Mara paap nikaona miti ya mibangi kama yote katikati ya shamba la mahindi. Mungu saidia sikuonwa na mwenye shamba, angeniona huenda angenifanya kitu mbaya kwa kuona siri ya shamba la bangi
Haha wewe kwenye shamba la mahindi ya watu ulienda kufanya nini? Na shukuru Mungu haukuonwa vinginevyo wangejua wewe ni spy na hakika wasingekuachaNilijikuta nimepotea njia na kujikuta niko katikati ya shamba kubwa la mahindi. Mara paap nikaona miti ya mibangi kama yote katikati ya shamba la mahindi. Mungu saidia sikuonwa na mwenye shamba, angeniona huenda angenifanya kitu mbaya kwa kuona siri ya shamba la bangi