Matajiri siti ya mbele, mawaziri siti ya nyuma uapisho wa Trump

Matajiri siti ya mbele, mawaziri siti ya nyuma uapisho wa Trump

instagram

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
2,118
Reaction score
4,863
FB_IMG_1737400492413.jpg


Katika hali ya kustaajabisha leo wakati wa uapisho wa Raisi Trump matajiri watatu wakubwa zaidi marekani na dunia nzima, Elon Musk, Mark Zuckerberg, na Jeff Bezos na demu wake Sanchez, Boss wa Google, wamekaa siti ya mbele kwenye shughuli ya uapisho wa raisi Trump wakati mawaziri wake wamekaa siti ya nyuma.

Ni dhahiri sasa Trump anaheshimu zaidi matajiri kuliko watendaji wake wa serikali.

Imagine mwanasheria wake mkuu, na waziri wake Robert Kennedy Jr, na mawaziri wake wote kawaweka nyuma ya matajiri hawa.
 
View attachment 3207967

Katika hali ya kustaajabisha leo wakati wa uapisho wa Raisi Trump matajiri watatu wakubwa zaidi marekani na dunia nzima, Elon Musk, Mark Zuckerberg, na Jeff Bezos na demu wake Sanchez, Boss wa Google, wamekaa siti ya mbele kwenye shughuli ya uapisho wa raisi Trump wakati mawaziri wake wamekaa siti ya nyuma.

Ni dhahiri sasa Trump anaheshimu zaidi matajiri kuliko watendaji wake wa serikali.

Imagine mwanasheria wake mkuu, na waziri wake Robert Kennedy Jr, na mawaziri wake wote kawaweka nyuma ya matajiri hawa.
Tafuteni Mali, pesa huisha
 
Back
Top Bottom