Matajiri siti ya mbele, mawaziri siti ya nyuma uapisho wa Trump

Matajiri siti ya mbele, mawaziri siti ya nyuma uapisho wa Trump

Nilifikiri ni mimi tu ndio nimeona, bora ya yeye sasa huyo mkewe ndio kituko kwenye huo uapisho hata hereni kuvaa tu aliona issue.

Naelewa ana akili nyingi na yuko busy ila shughuli kubwa kama ile ni heshima pia kwenda na muonekano mzuri.
Lile jicho la demu wa Bezos limeelekezwa kwa nani kwa mtazamo wako?.
 
Kwa hiyo tajiri Diamond Platnumz hakualikwa?
Alialikwa, mwenyewe akaamua kuupiga chini mwaliko kwa vile alikuwa na majukumu mengine pale Dodoma.

Kwani hujaiona kazi yake na matokeo kuhusu uteuzi wa namna yake wa Dkt. Nchimbi?
 
We unaekaa kwa shemeji yako gongo la mboto unawaita machawa kina elon musk kisa tu umpendi kwa uswahiba wake na putin,,, na kashasema jinsia ni mbili tu taifa lako unalolishabikia Israel wapenda kufilwa ndo mana mnamchukia
 
Mawaziri wa Serikali gani?


GOD BLESS ISRAEL
Wewe unaishi wapi? Kwani kila waziri anajulikana tayari, nashangaa wako hapo ila hajawapa heshima kubwa kama mayajiri. Alafu kama unazani wakishaapishwa ndiyo itakuwa tofauti hapo kwenye picha nyuma ya Zuckerberg kakaa speaker wa bunge la senate ambaye republican
 
Mimi sikuzingatia hilo, niliona tu anahaha mara akavua koti japo kiukweli alipendeza sana.

Kwamba alikuwa anajisogeza kwa Elon?

Mtu aliyenikera ni mke wa Vance, alikuwa anazidisha mambo. Kujichekesha kwingi, alikosa classy.
Yule mama mhindi kaambiwa ku smile ndiyo class ila kazidisha sana, inferiority complex sababu wazungu wanawachukia sana wahindi sikuhizi sababu ya viza za H-1B
 
Yule mama mhindi kaambiwa ku smile ndiyo class ila kazidisha sana, inferiority complex sababu wazungu wanawachukia sana wahindi sikuhizi sababu ya viza za H-1B
Sijafuatilia maoni ya watu juu ya hilo japo nategemea kufanya hivyo kesho ila alizingua hadi nikamind.

Mwenzie Melania ana class, nilipenda kila kitu chake japo ile kofia ya uapisho alizingua kuficha sura.
 
Sasa ukiwa masikini, utashauri nini? au ndio utaanza kueleza zile 'theory' ulizokariri darasani?

Umasikini ni laana, tuukatae kwa vitendo ata kwa kuuza kahawa ya kutembeza; kuwa masikini inatafsiri nimeshindwa kujishauri; sasa kama nimeshindwa kujishauri, ni nani atakayeamini ushauri wangu? (wale waliokaa nyuma)

Ndio maana wanaume wamewekwa mbele hapo; wakitaka kwenda sehemu yoyote duniani kwa muda wowote bila vibali, wanapita.​
 
Sasa ukiwa masikini, utashauri nini? au ndio utaanza kueleza zile 'theory' ulizokariri darasani?

Umasikini ni laana, tuukatae kwa vitendo ata kwa kuuza kahawa ya kutembeza; kuwa masikini inatafsiri nimeshindwa kujishauri; sasa kama nimeshindwa kujishauri, ni nani atakayeamini ushauri wangu? (wale waliokaa nyuma)

Ndio maana wanaume wamewekwa mbele hapo; wakitaka kwenda sehemu yoyote duniani kwa muda wowote bila vibali, wanapita.​
😂😂 Message of the day 🙏🙏
 
Bezos kazingua kingese yaan wenzie hawana mademu au yaan yeye ndio mtombaji bora kuliko Elon Musk?
Halafu siyo huyu alipukutishwa mali juzi juzi na mwanamke akatoka hadharani kifua mbele akasema kutoka sasa atakaa nao kwa tahadhari?

Basi jamaa dhaifu sana.
 
Back
Top Bottom