Matajiri siti ya mbele, mawaziri siti ya nyuma uapisho wa Trump

Matajiri siti ya mbele, mawaziri siti ya nyuma uapisho wa Trump

View attachment 3207967

Katika hali ya kustaajabisha leo wakati wa uapisho wa Raisi Trump matajiri watatu wakubwa zaidi marekani na dunia nzima, Elon Musk, Mark Zuckerberg, na Jeff Bezos na demu wake Sanchez, Boss wa Google, wamekaa siti ya mbele kwenye shughuli ya uapisho wa raisi Trump wakati mawaziri wake wamekaa siti ya nyuma.

Ni dhahiri sasa Trump anaheshimu zaidi matajiri kuliko watendaji wake wa serikali.

Imagine mwanasheria wake mkuu, na waziri wake Robert Kennedy Jr, na mawaziri wake wote kawaweka nyuma ya matajiri hawa.
....
 
Bro wangu Elon vp
Elon atagombana na Trump mda si mrefu. Elon mjanja mjanja anajiweka kwa trump ili awatumie wafuasi wa Trump kukuzq dhamani ya hisa za makampuni yake na magari yake ya umeme, kilichomfanya kupanda sana tangu anunue Twitter na kumrudishia Trump account yake, ila trump leo kasema atachimba mafuta yote marekani kitu ambacho kitamuudhi elon sababu magari yake ni ya umeme na trump nae ni kinyonga kila rafiki yake anagombana nae, na ndiyo litakuwa anguko la Elon musk.
 
View attachment 3207967

Katika hali ya kustaajabisha leo wakati wa uapisho wa Raisi Trump matajiri watatu wakubwa zaidi marekani na dunia nzima, Elon Musk, Mark Zuckerberg, na Jeff Bezos na demu wake Sanchez, Boss wa Google, wamekaa siti ya mbele kwenye shughuli ya uapisho wa raisi Trump wakati mawaziri wake wamekaa siti ya nyuma.

Ni dhahiri sasa Trump anaheshimu zaidi matajiri kuliko watendaji wake wa serikali.

Imagine mwanasheria wake mkuu, na waziri wake Robert Kennedy Jr, na mawaziri wake wote kawaweka nyuma ya matajiri hawa.

View attachment 3207967

Katika hali ya kustaajabisha leo wakati wa uapisho wa Raisi Trump matajiri watatu wakubwa zaidi marekani na dunia nzima, Elon Musk, Mark Zuckerberg, na Jeff Bezos na demu wake Sanchez, Boss wa Google, wamekaa siti ya mbele kwenye shughuli ya uapisho wa raisi Trump wakati mawaziri wake wamekaa siti ya nyuma.

Ni dhahiri sasa Trump anaheshimu zaidi matajiri kuliko watendaji wake wa serikali.

Imagine mwanasheria wake mkuu, na waziri wake Robert Kennedy Jr, na mawaziri wake wote kawaweka nyuma ya matajiri hawa.
Trump hana mawaziri bado.
 
View attachment 3207967

Katika hali ya kustaajabisha leo wakati wa uapisho wa Raisi Trump matajiri watatu wakubwa zaidi marekani na dunia nzima, Elon Musk, Mark Zuckerberg, na Jeff Bezos na demu wake Sanchez, Boss wa Google, wamekaa siti ya mbele kwenye shughuli ya uapisho wa raisi Trump wakati mawaziri wake wamekaa siti ya nyuma.

Ni dhahiri sasa Trump anaheshimu zaidi matajiri kuliko watendaji wake wa serikali.

Imagine mwanasheria wake mkuu, na waziri wake Robert Kennedy Jr, na mawaziri wake wote kawaweka nyuma ya matajiri hawa.
That's what is supposed to be
 
Ndio maana nyie mataifa yenu ni maskini. Umaskini unaanzia kwenye fikra!
Nilifikiri ni mimi tu ndio nimeona, bora ya yeye sasa huyo mkewe ndio kituko kwenye huo uapisho hata hereni kuvaa tu aliona issue.

Naelewa ana akili nyingi na yuko busy ila shughuli kubwa kama ile ni heshima pia kwenda na muonekano mzuri.
 
Mawaziri wa Serikali gani?
View attachment 3207967

Katika hali ya kustaajabisha leo wakati wa uapisho wa Raisi Trump matajiri watatu wakubwa zaidi marekani na dunia nzima, Elon Musk, Mark Zuckerberg, na Jeff Bezos na demu wake Sanchez, Boss wa Google, wamekaa siti ya mbele kwenye shughuli ya uapisho wa raisi Trump wakati mawaziri wake wamekaa siti ya nyuma.

Ni dhahiri sasa Trump anaheshimu zaidi matajiri kuliko watendaji wake wa serikali.

Imagine mwanasheria wake mkuu, na waziri wake Robert Kennedy Jr, na mawaziri wake wote kawaweka nyuma ya matajiri hawa.

GOD BLESS ISRAEL
 
Ndio maana nyie mataifa yenu ni maskini. Umaskini unaanzia kwenye fikra!
Nilikuwa nasubiri reply ya aina hii, ina maana matajiri wakubwa kuliko yeye waliovaa vizuri hapo ni masikini wa fikra?

Watanzania kwa ujuaji wa kila kitu hatujambo! Wewe hizo fikra zako za kitajiri za kuvaa hovyo zimekufanya tajiri kuliko hao matajiri wenzie waliovaa vizuri?
 
Nilikuwa nasubiri reply ya aina hii, ina maana matajiri wakubwa kuliko yeye waliovaa vizuri hapo ni masikini wa fikra?

Watanzania kwa ujuaji wa kila kitu hatujambo! Wewe hizo fikra zako za kitajiri za kuvaa hovyo zimekufanya tajiri kuliko hao matajiri wenzie waliovaa vizuri?
Ndio matatizo yetu haya.

Kuvaa vizuri ndio ujanja.

Matajiri huwa mavazi sio priority.
 
Ndio matatizo yetu haya.

Kuvaa vizuri ndio ujanja.

Matajiri huwa mavazi sio priority.
Ulisoma post yangu ya kwanza lakini Mkuu? Nilisema ni kwa siku ya tukio muhimu la uapisho kama jana.

Elon huwa anavaa hovyo ila kwa kutambua umuhimu wa siku ya jana aliwaka haswa, na ndivyo ilivyopaswa kuwa.
 
Back
Top Bottom