zerominus10
JF-Expert Member
- Aug 25, 2022
- 8,142
- 13,721
Bezos kazingua kingese yaan wenzie hawana mademu au yaan yeye ndio mtombaji bora kuliko Elon Musk?Jeff Bezos na demu wake Sanchez
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bezos kazingua kingese yaan wenzie hawana mademu au yaan yeye ndio mtombaji bora kuliko Elon Musk?Jeff Bezos na demu wake Sanchez
Miezi kadhaa nyuma kwenye mtandao wa X kuna wazungu walikuwa wanamjadili, je n binadamu kweli au kuna namna 😂 ikapostiwa picha akiwa na familia yake na ndugu zake wngn ila yeye pekee ukimuangalia ndo humuelewi muonekano wakeBoss wa Meta muda wote anaonekana anataka kuruka au kukukuruka.
Bro wangu Elon vpZuckerberg ndo tajiri pekee atakayefikia Trillionaire level.
....View attachment 3207967
Katika hali ya kustaajabisha leo wakati wa uapisho wa Raisi Trump matajiri watatu wakubwa zaidi marekani na dunia nzima, Elon Musk, Mark Zuckerberg, na Jeff Bezos na demu wake Sanchez, Boss wa Google, wamekaa siti ya mbele kwenye shughuli ya uapisho wa raisi Trump wakati mawaziri wake wamekaa siti ya nyuma.
Ni dhahiri sasa Trump anaheshimu zaidi matajiri kuliko watendaji wake wa serikali.
Imagine mwanasheria wake mkuu, na waziri wake Robert Kennedy Jr, na mawaziri wake wote kawaweka nyuma ya matajiri hawa.
Elon atagombana na Trump mda si mrefu. Elon mjanja mjanja anajiweka kwa trump ili awatumie wafuasi wa Trump kukuzq dhamani ya hisa za makampuni yake na magari yake ya umeme, kilichomfanya kupanda sana tangu anunue Twitter na kumrudishia Trump account yake, ila trump leo kasema atachimba mafuta yote marekani kitu ambacho kitamuudhi elon sababu magari yake ni ya umeme na trump nae ni kinyonga kila rafiki yake anagombana nae, na ndiyo litakuwa anguko la Elon musk.Bro wangu Elon vp
Infantino yupo wapi hapo? Huyo ni tajiri wa Amazon Jeff Bezos na mkewe.Hao matajiri wamemsaidia sana kuwa hapo na bado watamsaidia sana kuleta MAGA kwenye uhalisia
Ila pia nadhani ni mpangilio wa kawaida maana hata infantino alikuwa kama kavamia sherehe
View attachment 3207967
Katika hali ya kustaajabisha leo wakati wa uapisho wa Raisi Trump matajiri watatu wakubwa zaidi marekani na dunia nzima, Elon Musk, Mark Zuckerberg, na Jeff Bezos na demu wake Sanchez, Boss wa Google, wamekaa siti ya mbele kwenye shughuli ya uapisho wa raisi Trump wakati mawaziri wake wamekaa siti ya nyuma.
Ni dhahiri sasa Trump anaheshimu zaidi matajiri kuliko watendaji wake wa serikali.
Imagine mwanasheria wake mkuu, na waziri wake Robert Kennedy Jr, na mawaziri wake wote kawaweka nyuma ya matajiri hawa.
Trump hana mawaziri bado.View attachment 3207967
Katika hali ya kustaajabisha leo wakati wa uapisho wa Raisi Trump matajiri watatu wakubwa zaidi marekani na dunia nzima, Elon Musk, Mark Zuckerberg, na Jeff Bezos na demu wake Sanchez, Boss wa Google, wamekaa siti ya mbele kwenye shughuli ya uapisho wa raisi Trump wakati mawaziri wake wamekaa siti ya nyuma.
Ni dhahiri sasa Trump anaheshimu zaidi matajiri kuliko watendaji wake wa serikali.
Imagine mwanasheria wake mkuu, na waziri wake Robert Kennedy Jr, na mawaziri wake wote kawaweka nyuma ya matajiri hawa.
Nilifikiri ni mimi tu ndio nimeona, bora ya yeye sasa huyo mkewe ndio kituko kwenye huo uapisho hata hereni kuvaa tu aliona issue.Boss wa Google muonekano wake si haba, kituko ni yule wa Meta.
That's what is supposed to beView attachment 3207967
Katika hali ya kustaajabisha leo wakati wa uapisho wa Raisi Trump matajiri watatu wakubwa zaidi marekani na dunia nzima, Elon Musk, Mark Zuckerberg, na Jeff Bezos na demu wake Sanchez, Boss wa Google, wamekaa siti ya mbele kwenye shughuli ya uapisho wa raisi Trump wakati mawaziri wake wamekaa siti ya nyuma.
Ni dhahiri sasa Trump anaheshimu zaidi matajiri kuliko watendaji wake wa serikali.
Imagine mwanasheria wake mkuu, na waziri wake Robert Kennedy Jr, na mawaziri wake wote kawaweka nyuma ya matajiri hawa.
Za ki CCM bana. Yani yanadhani kila mahali ni maharamia Kama wait.Atakula tenda kama zote za Pentagon na NASA, baadhi ya sheria na kodi zinazomuhusu zitalegezwa pia. Sasa hivi ni mtu muhimu katika timu ya Trump kuamua nani anapata nafasi muhimu za kazi serikali ya Marekani.
Nilifikiri ni mimi tu ndio nimeona, bora ya yeye sasa huyo mkewe ndio kituko kwenye huo uapisho hata hereni kuvaa tu aliona issue.
Naelewa ana akili nyingi na yuko busy ila shughuli kubwa kama ile ni heshima pia kwenda na muonekano mzuri.
View attachment 3207967
Katika hali ya kustaajabisha leo wakati wa uapisho wa Raisi Trump matajiri watatu wakubwa zaidi marekani na dunia nzima, Elon Musk, Mark Zuckerberg, na Jeff Bezos na demu wake Sanchez, Boss wa Google, wamekaa siti ya mbele kwenye shughuli ya uapisho wa raisi Trump wakati mawaziri wake wamekaa siti ya nyuma.
Ni dhahiri sasa Trump anaheshimu zaidi matajiri kuliko watendaji wake wa serikali.
Imagine mwanasheria wake mkuu, na waziri wake Robert Kennedy Jr, na mawaziri wake wote kawaweka nyuma ya matajiri hawa.
Nilikuwa nasubiri reply ya aina hii, ina maana matajiri wakubwa kuliko yeye waliovaa vizuri hapo ni masikini wa fikra?Ndio maana nyie mataifa yenu ni maskini. Umaskini unaanzia kwenye fikra!
Ndio matatizo yetu haya.Nilikuwa nasubiri reply ya aina hii, ina maana matajiri wakubwa kuliko yeye waliovaa vizuri hapo ni masikini wa fikra?
Watanzania kwa ujuaji wa kila kitu hatujambo! Wewe hizo fikra zako za kitajiri za kuvaa hovyo zimekufanya tajiri kuliko hao matajiri wenzie waliovaa vizuri?
Ulisoma post yangu ya kwanza lakini Mkuu? Nilisema ni kwa siku ya tukio muhimu la uapisho kama jana.Ndio matatizo yetu haya.
Kuvaa vizuri ndio ujanja.
Matajiri huwa mavazi sio priority.
Trump mwenyewe anatumia ofisi ya Urais kupiga pesa za Wamarekani kupitia Hoteli zake wewe kilaza.Akili
Za ki CCM bana. Yani yanadhani kila mahali ni maharamia Kama wait.
Una uhakikaMatajiri unaowaona hapo, ni wale aliamua kujisalimisha Kwa Trump baada ya ushindi.