Matajiri siti ya mbele, mawaziri siti ya nyuma uapisho wa Trump

Trump mwenyewe anatumia ofisi ya Urais kupiga pesa za Wamarekani kupitia Hoteli zake wewe kilaza.
Kilaza ni wewe. Ndio maana Tanzania CCM wote ni wezi sababu ya mawazo Kama haya. Mwenzio Trump hotels zipo zamani kabla ata hajawaza kuwa raisi. Jinga kweli. Hivi unajua vyombo vya usalama vya marekani au umezoea hao wakutishana bar? Asingekuwa raisi Kama wangejua anaiba. Jinga linadhani kila mahali wanna mawazo mufilisi Kama banana republic zenu aka shitholes.
 
Niliona diwani wa kata ya Queens, manispaa ya Manhattan hajapewa kiti.
 
Hao ndiyo waliowezesha kugharamia kampeni za Trump kugombea uraisi,kwa hiyo ulitaka wakae siti za wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…