Mtaalam_the_first
Member
- Sep 8, 2016
- 41
- 91
ππππ
Yaani macho yake na sura yake inakupa jibu kuwa ni tapeli
Huyo simfuatilii sana kama ninavomfuatilia ontario
Huyo jamaa tapeli sana mwanangu.
saaana ila hawezi kumzidi jamaa anaitwa sivan
Kwanini Mkuu.
Wasalimie View attachment 1536413
Mkuu ile mada ndio yamesababisha yote hayaa mbona wewe rafiki yangu.
Kwani tatizo liko wapi mkuu
Maisha lazima yaendelee
Tuongelee mademu mzee.
Tafta pesa lipa madeni acha ujanja ujanja
Mimi umri wa kula tunda kimasikhara ushapita
Una miaka mingapi faza.
Conversation ya kibabe Sana hii π nyundo nyundosawa ngoja niingie lodge Mkuu.
Binafs forex ndio.biashara yangu inayo nisaidia kuish mjini ukizingatia ajira nilio ajiriwa ni ya kutokaa sehem moja mda mrefu.Imeshapita miaka miwili sasa tangu Ontario awafundishe ku download pesa na msemo wenu wa Forex is not for everyone.... mkasema tuwaache mpige pesa vipi jamani Mnaendeleaje na Kudownload fedha?
Ontario siku hiz anapatikana wapi?
Kwaiyo tuseme hili ndilo jibu la alie uliza swali.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]