Matajiri wa Forex mnaendeleaje?

Matajiri wa Forex mnaendeleaje?

Tuhamie piptwitz.com kule positivity kubwa kila mtu ana trade forex humu kuna watu yamewashinda sasa wanaharibu vichwa vya wanao pambana hakuna kitonga kokote maishani ukiona kitu kila mtu anaweza akakifanya akatengeneza pesa nacho jua kabisa hakuna pesa yakueleweka hapo. Ila ukiona kugumu ni wachache wanaweza kuiga au kutengeneza pesa na biashara yako basi jua upo sehemu sahihi chakufanya pambana uwe kwa wachache.
 
Mimi naunga unga mwana kiaina Tu.....
Screenshot_2020-09-27-07-59-13-524_com.expertoption.jpg
 
Huyo simfuatilii sana kama ninavomfuatilia ontario

Huyo jamaa tapeli sana mwanangu.

saaana ila hawezi kumzidi jamaa anaitwa sivan

Kwanini Mkuu.


Mkuu ile mada ndio yamesababisha yote hayaa mbona wewe rafiki yangu.

Kwani tatizo liko wapi mkuu
Maisha lazima yaendelee

Tuongelee mademu mzee.

Tafta pesa lipa madeni acha ujanja ujanja

Mimi umri wa kula tunda kimasikhara ushapita

Una miaka mingapi faza.


sawa ngoja niingie lodge Mkuu.
Conversation ya kibabe Sana hii 😀 nyundo nyundo
 
Imeshapita miaka miwili sasa tangu Ontario awafundishe ku download pesa na msemo wenu wa Forex is not for everyone.... mkasema tuwaache mpige pesa vipi jamani Mnaendeleaje na Kudownload fedha?

Ontario siku hiz anapatikana wapi?
Binafs forex ndio.biashara yangu inayo nisaidia kuish mjini ukizingatia ajira nilio ajiriwa ni ya kutokaa sehem moja mda mrefu.
Inainua sana nyakat ngum
 
Ontario.....mwenye kuijua historia ake huyo jamaa anipstie.
 
Back
Top Bottom