Matajiri Wahindi na Waarabu watufundishe weusi kuhusu mirathi na mali kugawana bila ugomvi. Yasijirudie ya Mengi na Mama Lwakatare mbeleni

Lakini hao Wahindi/Waarabu hawakupendi na wanakudharau isitoshe hata wao wana matatizo mengi tu sema hawaji kwako kwa ushauri kwa maana wanakuona ni inferior kwao ingawaje wewe unajipendekeza kwao!
 
Pia Sio aghlab kuona mtt wa kiarabu au wa kihindi kamtoa mzazi wake roho kwa sababu Ana Mali.

Sasa njoo kwa sie wa pande zileeee.

Mtt au watt wanashirikiana kumuua mzee wao kusudi wapate Mali.
Yaraab salama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…