Matajiri wakubwa Tanzania si wafanyabiashara bali ni wanasiasa, viongozi wa serikali na ndugu zao, kuonyesha kwamba kuna kitu hakipo sawa

Matajiri wakubwa Tanzania si wafanyabiashara bali ni wanasiasa, viongozi wa serikali na ndugu zao, kuonyesha kwamba kuna kitu hakipo sawa

Wataje hao wanasiasa wenye hela kumzidi Bakhresa, Mount Meru, Mo au Lake group,

Sometimes tusidanganyane sana, wanasiasa wana hela ila usiseme ndio wenye hela nying nchini, matajiri hii nchi ni wahindi na waarabu
Siku ukija kugundua kuwa Bhakresa amekuwa vile kwa nguvu ya wanasiasa utashangaa na roho yako. Kuna support kubwa ya mafisadi ndio waliopelekea jamaa kufikia pale alipo na kuna watu wanakula % zao katika utajiri wake.

The same goes to GSM and Lake Oil energies. We unaona wahindi wametangulizwa mbele ila kuna nguvu ya mstaafu mmoja aliyeweka mzigo wa maana na kutagi ubavu ndio inawafanya wawe hapo walipo. Kikubwa ni uaminifu tu na loyalty ambao watu weusi wengi hatuna ila wenzetu rangi ya mtume na gabacholi wanao. We mtu akikuamini akupe biashara ya mamillion utaanza wizi na umalaya ila wenzetu wenye discpline ndio kama hivyo utajiri ni wa uhakika akileta mtu usumbufu simu moja tu kwa mstaafu mambo yanasawazishwa. Na sahizi wanahodhi bandari kabisa kwa mlango wa nyuma kupitia kampuni ile ya kitovu cha biashara cha uarabuni.
 
Mkuu, utajiri sio kuangalia source,
Kina Abood walimeza viwanda vingap leo iko wapi, baba na babu zetu walikuwa wapi wakati hao wanameza viwanda,

Hayo yote ndio yanayotutofautisha, hakuna utajiri wa bahati, ni kutumia fursa zilizo mbele yetu, wazee wetu nao walikuwepo kipindi hicho cha ubinafsishaji, je walifanya nini? Kama hawakufanya kitu bas they don't deserve wealth, hizo sera mbovu zipo kwa wote, wazungu na sisi, tupambane tuache sababu nyingi, hakuna nchi perfect, hakuna nchi isio na maskini, kikubwa kwenye mazingira haya haya jua unachomokaje na unapataje pesa nying
Kwahio baba yako mmatumbi aaminike kuliko ngozi nyeupe? We uliskia wapi??? Hapa Tanzania watu wanaoongoza kwa uaminifu ni Arabs and Indians na ndio maana kwenye fursa za multi millions hupewa wao kirahisi kuliko mwafrika kwa sababu tunajuana kwa ubinafsi na kujisahau. Discpline hatunaga kabisa.

Unatolewa jalalani na mtu ukishaanza kushika fedha dharau nyingi na umalaya na kujiona unayaweza wakati umefadhiliwa tu. Ukitupwa nje ya mfumo huwezi furukuta🤣
 
Wataje kwa majina, mbna unazunguka ? Wataje fulani anamiliki nin na nini, usiwe mwongo,

And mind u kuna wengine wana pesa chafu kabla ya kuingia kwenye siasa, kina Msukuma, Mbowe, yule jamaa wa CRDB,

Haya tuambie tajiri gani anamiliki nini na ni mwanasiasa?
Hao wa hivyo wapo ila ni wachache na wengi walicheza rafu ili kufikia hapo walipo. Katika nchi kama yetu ambapo utawala wa sheria unaangalia una connection gani na wakubwa unafikiri kwa michezo mibaya unaweza kudumu kwa muda mrefu kabla hujapotezwa ikiwa huna baraka za wakubwa?

Msukuma alikuwa anatorosha dhahabu kwa mujibu wa maelezo yake na alikuwa na advantage ya system mbovu ya kwenye mamlaka ya madini. Licha ya hivyo lazma kulikuwa na watu wazito wanampa backup ili asiingie kwenye mikono ya ma askari japo asingeweza kusema. Familia zetu nyingi lazma kuna mjomba au shangazi yuko kwenye mfumo ama kuna jamaa zako wataingia kwenye mifumo ukiwa connected nao kero ndogo ndogo za kimifumo hazisumbui.
 
Ni kawaida kwamba katika nchi nyingi matajiri wakubwa utakuta ni wafanya biashara, lakini sio Tanzania. Kwa sasa wanaoongoza kwa kuwa matajiri wakubwa Tanzania ni wanasiasa waliopo madarakani au waliokuwa madarakani huko nyuma. Halafu wanafuatiwa na viongozi wa serikali, pamoja na ndugu zao.

Imefikia kwamba hata ukiwa mfanya biashara, ili utajirike kwa haraka lazima uwe na connection na wanasiasa na viongozi wa serikali, kuanzia connection za ofisi ya raisi, makamu wake au mawaziri. Hata vjana wadogo kabisa wenye hizi connections sasa wanaibukia kuwa na fedha nyingi sana za kufuja na kuishi maisha ya anasa sana.

Inatokea pia kwamba kikundi hiki cha matajiri wa kisiasa uongozi wanalinda sana himaya yao, mara nyingi kwa kutumia vyombo vya dola kama polisi, na sasa hata wanajaribu kutumia jeshi la ulinzi, JW. Hawataki watu wengine wa "kawaida" wawe kama wao. Kwa hiyo wanajaribu kuendelea umiliki wa himaya zao kwa kuwekeza katika watoto wao ili kuja kuwarithisha kuwa "wenye nchi" pamoja na utajiri wao. Hii ni kutia ndani kuendelea kufanya ufisadi mkubwa ili hata vizazi vyao vya baade viendelee kuwa katika neema ya kuwa tofauti na Watanzania wa kawaida.

Wengi wasichojua ni kwamba tatizo kubwa la serikali kukataa uraia pacha sio suala la "usalama wa nchi", bali ni usalama wa hiki kikundi kuona Watanzania walioko nje wana uhuru wa mawazo na upeo wa kuona wanachokifanya. Ndio maana hawataki watu wa diaspora wapewe nafasi ya kuja kuwa tishio kwa himaya yao. Wanawaogopa sana watu wa diaspora na wanaona kuwapa uraia pacha ni kuleta hatari ya kuondolewa katika "ufalme wao". Hawa "wenye nchi" wanajua watu wa diaspora hawana "political illiteracy" ambayo wameijenga katika Watanzania wanaoishi nchini. Wanadiaspora wana macho na wanaona, na wanaogopwa.

Lakini nataka nitoe tahadhari kwa watu hawa, kwamba katika jamii yoyote ile, hali kama hii iliyopo Tanzania huwa haidumu. Kuna wakati itafikia critical point, na kutakuwa na mlipuko mkubwa ambao ni namna fulani ya mapinduzi, ili kuliondoa tabaka hili la "wenye nchi" katika hii himaya yao ambayo kwa sasa wanaifurahia sana na kujaribu kuilinda kwa kila namna. Hili ndilo lililotokea nchi kama Tunisia na Misri, na si muda mrefu litatokea Tanzania, hali ikiendelea hivi.
Tutafute coneksheni tu huko siasani hamna namna
 
Hili lipo hivyo kwa nchi nyingi za Africa.

Biashara nyingi ni za viongozi, mara kadhaa imefanyika kwa kificho kupitia Wafanyabiashara wengine ambao sio viongozi wa serikali.
Kama kiongozi sio mfanyabiashara wa moja kwa moja basi jua anatumika na wafanyabiashara kutengeneza mazingira mazuri kwa wafanyabiashara ikiwemo kukwepa kodi na kuwapa dili za serikali.
Ndio sababu hakuna kiongozi anajali kuhusiana na mfumuko wa bei kwa kuwa hizo ni biashara zao ama wana hisa kwenye hizo kampuni.
Jambo baya ni kuwa kadiri miaka inavyokwenda tunatengeza tabaka la watu wenye nacho na mafukara wa kutupwa.

Viongozi wa serikali wana mikono yao katika biashara za usafirishaji( hapa ni mabasi na malori), sekta ya madini (kumiliki vitalu na kuuza madini), sekta ya nishati ( hapa ni uagizwaji wa petrol, disel na kerosene) na kwenye kumiliki vituo vya mafuta(petrol station).
Kwenye sekta ya Ujenzi huku kazi wanayofanya ni ''lobbying'' ya nani apewe mradi upi, halafu yeye anakula tender ya ku-supply kama sio cement basi ni nondo au kupewa sub-contract ya baadhi ya kazi (haswa umeme, plumbing, fire fighting na ICT).

Huwezi kuona majina yao kwa kuwa hizi kampuni zimesajiliwa kwa majina tofauti na wamefanya hivyo makusudi ili waendelee kupiga hela bila bugudha.
Huu ndio ukweli ambao wabongo wengi hatuujui. Kuna siku Fredy Vunja bei aliropoka jambo nikaona kumbe hata yeye anafahamu hilo. Unaweza ukawa meneja mzuri wa biashara yako ndogo na kasi ya ukuaji ikavutia watu wengine kuwekeza pesa zao kwako. Sio lazma uwe na mtaji mkubwa wa kufanya kila kitu mwenyewe.

Hiki ndicho wanasiasa wanafanya sababu anakuwa na pool ya hela ndefu. Akipiga dili lake moja ana stake in billions. Hizo fedha ili asishtukiwe lazima aziingize kwenye biashara ya mtu au afiche nje. Sasa unamuaminije mtu with billions of money?

Ndio maana wanatafutaga wafanya biashara wakubwa na kutaka kuingiza mitaji kwao kisha wanakula migao ya faida. Bahati nzuri watu waaminifu ni wenye asili ya kihindi na kiarabu.
 
Sasa naelewa kwa nini ma askari huitwa MBWA WA CCM.

Shida sio hao wanasiasa shida ni wananchi na majeshi yao kukubali kuwa wajinga.

Waacheni wanasiasa wale mema ya nchi.
Shida sio wananchi, hakuna ambaye haujui mfumo unavyofanya kazi. Shida ni divide and rule system. Unatengeneza makundi kisha unagawa vyeo kwa viongozi wa hayo makundi na kuwapa VIP treatment as long as wanafanya unavyotaka iwe kisheria au kimabavu. This is what MbogaMboga political party does.

Hakuna mtu atataka ku risk maisha yake ikiwa anajua kabisa mfumo hauko in his favour. Kiongozi wenu wa kikundi hayuko pamoja na nyinyi ila kwa interest za aliyempa uongozi huo, sasa mtaanzaje ku strike katika hali kama hio? Ubinafsi ndio unatumaliza wabongo hivyo. Njaa na Patriotisim havikai sehemu moja.
 
Tatizo mkiambiwa muandamane kupaza sauti kwa pamoja mnajofungie ndani
Shida sio kuandamana, shida ni ubinafsi na kiburi 🤣 cha watawala. Nadhani uliona kilichotokea baada ya announcement ya tarehe 23.

Waliweka askari tena wenye armed riffles kila kona ya jiji ili tu ku impose vitisho ila tafsiri ya wazi kuwa watawala wako radhi kumwaga damu zetu ikiwa kuna mtu atataka ku temper na mfumo wao wa ulaji.

Sasa are you willing to lose your life in such situation? Hujui what will be the aftermath ya familia yako.
 
Ni kawaida kwamba katika nchi nyingi matajiri wakubwa utakuta ni wafanya biashara, lakini sio Tanzania. Kwa sasa wanaoongoza kwa kuwa matajiri wakubwa Tanzania ni wanasiasa waliopo madarakani au waliokuwa madarakani huko nyuma. Halafu wanafuatiwa na viongozi wa serikali, pamoja na ndugu zao.

Imefikia kwamba hata ukiwa mfanya biashara, ili utajirike kwa haraka lazima uwe na connection na wanasiasa na viongozi wa serikali, kuanzia connection za ofisi ya raisi, makamu wake au mawaziri. Hata vjana wadogo kabisa wenye hizi connections sasa wanaibukia kuwa na fedha nyingi sana za kufuja na kuishi maisha ya anasa sana.

Inatokea pia kwamba kikundi hiki cha matajiri wa kisiasa uongozi wanalinda sana himaya yao, mara nyingi kwa kutumia vyombo vya dola kama polisi, na sasa hata wanajaribu kutumia jeshi la ulinzi, JW. Hawataki watu wengine wa "kawaida" wawe kama wao. Kwa hiyo wanajaribu kuendelea umiliki wa himaya zao kwa kuwekeza katika watoto wao ili kuja kuwarithisha kuwa "wenye nchi" pamoja na utajiri wao. Hii ni kutia ndani kuendelea kufanya ufisadi mkubwa ili hata vizazi vyao vya baade viendelee kuwa katika neema ya kuwa tofauti na Watanzania wa kawaida.

Wengi wasichojua ni kwamba tatizo kubwa la serikali kukataa uraia pacha sio suala la "usalama wa nchi", bali ni usalama wa hiki kikundi kuona Watanzania walioko nje wana uhuru wa mawazo na upeo wa kuona wanachokifanya. Ndio maana hawataki watu wa diaspora wapewe nafasi ya kuja kuwa tishio kwa himaya yao. Wanawaogopa sana watu wa diaspora na wanaona kuwapa uraia pacha ni kuleta hatari ya kuondolewa katika "ufalme wao". Hawa "wenye nchi" wanajua watu wa diaspora hawana "political illiteracy" ambayo wameijenga katika Watanzania wanaoishi nchini. Wanadiaspora wana macho na wanaona, na wanaogopwa.

Lakini nataka nitoe tahadhari kwa watu hawa, kwamba katika jamii yoyote ile, hali kama hii iliyopo Tanzania huwa haidumu. Kuna wakati itafikia critical point, na kutakuwa na mlipuko mkubwa ambao ni namna fulani ya mapinduzi, ili kuliondoa tabaka hili la "wenye nchi" katika hii himaya yao ambayo kwa sasa wanaifurahia sana na kujaribu kuilinda kwa kila namna. Hili ndilo lililotokea nchi kama Tunisia na Misri, na si muda mrefu litatokea Tanzania, hali ikiendelea hivi.
Majizi
 
Shida sio wananchi, hakuna ambaye haujui mfumo unavyofanya kazi. Shida ni divide and rule system. Unatengeneza makundi kisha unagawa vyeo kwa viongozi wa hayo makundi na kuwapa VIP treatment as long as wanafanya unavyotaka iwe kisheria au kimabavu. This is what MbogaMboga political party does.
You are right.....these are the people who spend our Revenues by hooks and crooks
 
Shida sio wananchi, hakuna ambaye haujui mfumo unavyofanya kazi. Shida ni divide and rule system. Unatengeneza makundi kisha unagawa vyeo kwa viongozi wa hayo makundi na kuwapa VIP treatment as long as wanafanya unavyotaka iwe kisheria au kimabavu. This is what MbogaMboga political party does.

Hakuna mtu atataka ku risk maisha yake ikiwa anajua kabisa mfumo hauko in his favour. Kiongozi wenu wa kikundi hayuko pamoja na nyinyi ila kwa interest za aliyempa uongozi huo, sasa mtaanzaje ku strike katika hali kama hio? Ubinafsi ndio unatumaliza wabongo hivyo. Njaa na Patriotisim havikai sehemu moja.
Njaa na patriotism havikai pamoja kama wahendekeza njaa.
 
Watanzania wengi sana wana tatizo la kutoelewa uhalisi kama wewe.

Kuna vijana nawafamu, wao kushika bilioni na kuimaliza ndani ya wiki si mchezo. Hela yao inakuja kutokana na kigogo wa juu serikalini. Anawapa deal za ku supply. Tena basi, wala sio ndugu wa karibu. Huyu kigogo ni kama yuko katika mission ya kusaidia ndugu zake wote wa karibu na mbali katika hiki kipindi ili wawe matajiri
Sasa katika hali ya kawaida unafikiria hao madogo wanaweza wakagusika? Yani kuna mkuu gani wa kituo atawasumbua🤣!
Unaweza make billions in a month wewe si meli 🤣
 
Hili lipo hivyo kwa nchi nyingi za Africa.

Biashara nyingi ni za viongozi, mara kadhaa imefanyika kwa kificho kupitia Wafanyabiashara wengine ambao sio viongozi wa serikali.
Kama kiongozi sio mfanyabiashara wa moja kwa moja basi jua anatumika na wafanyabiashara kutengeneza mazingira mazuri kwa wafanyabiashara ikiwemo kukwepa kodi na kuwapa dili za serikali.
Ndio sababu hakuna kiongozi anajali kuhusiana na mfumuko wa bei kwa kuwa hizo ni biashara zao ama wana hisa kwenye hizo kampuni.
Jambo baya ni kuwa kadiri miaka inavyokwenda tunatengeza tabaka la watu wenye nacho na mafukara wa kutupwa.

Viongozi wa serikali wana mikono yao katika biashara za usafirishaji( hapa ni mabasi na malori), sekta ya madini (kumiliki vitalu na kuuza madini), sekta ya nishati ( hapa ni uagizwaji wa petrol, disel na kerosene) na kwenye kumiliki vituo vya mafuta(petrol station).
Kwenye sekta ya Ujenzi huku kazi wanayofanya ni ''lobbying'' ya nani apewe mradi upi, halafu yeye anakula tender ya ku-supply kama sio cement basi ni nondo au kupewa sub-contract ya baadhi ya kazi (haswa umeme, plumbing, fire fighting na ICT).

Huwezi kuona majina yao kwa kuwa hizi kampuni zimesajiliwa kwa majina tofauti na wamefanya hivyo makusudi ili waendelee kupiga hela bila bugudha.
Noma sana!
 
Wataje hao wanasiasa wenye hela kumzidi Bakhresa, Mount Meru, Mo au Lake group,

Sometimes tusidanganyane sana, wanasiasa wana hela ila usiseme ndio wenye hela nying nchini, matajiri hii nchi ni wahindi na waarabu
Sasa kitu usichojua wanasiasa wote wanachezo humo humo ulimotaja wakiwemo na wakuu wako woote unaowajua wewe.

Ndioaama hao uliowataja wasipounga mkono mboga mboga cha moto wanakipata
 
Huo ujanja wa kucheza na kutoa rushwa unapobid ni mazingira tu yapo hivo, sio kosa la wafanyabiashara,

Ila dunia nzima wanasiasa ndio huamua nani awe tajiri nani asiwe, kwa sababu ili uwe tajiri lazima kuna mauchafu uyafanye, wakiamua kukukazia hutoboi kabisa
Wazi kabisa 🤣 yani hutoboi!

Yani leo hii hata wewe kama una ujamaa na mtu ambaye ni nguli kwenye system au raia namba 1 ukiwa na ujamaa naye unaweza hata kuanza kusafirisha bange toka tarime ukaleta bongo na utaifanya hio biashara as long as yeye anakupa backup hakuna IGP wala ushuzi wowote wa askari atakaegusa body ya gari iliopakia mzigo wa mmea😁! Ndio maana watu wanaunga mkono juhudi za mboga mboga political party na sifa nyingi kwa raia namba one ili mambo yao yaende.

Ila fanya kimya kimya uone hata kama December itafika kabla hujaingia Segerea!
 
Back
Top Bottom