So ulitaka kwenda ikulu? Mkuu?Wandugu asalaam ! Kwanini mamlaka za Dunia zinamfanya maskini kuwa kijiko Cha kuchotea ubwabwa ?sisi wapanga foleni wakati wa kupiga kura! Na sisi ndio wapambe wakati wa kampeni .. baada ya uchaguzi mlalahoi anaachiwa vumbi TU ! Ikulu imekuwa sehemu ya matajiri kwa Kila jambo sisi tutaenda lini? Vijana tuamke
Sisi tutaitwa muda ukifika kula kura kwenye foleni ndefu kabisa.Wandugu asalaam ! Kwanini mamlaka za Dunia zinamfanya maskini kuwa kijiko Cha kuchotea ubwabwa ?sisi wapanga foleni wakati wa kupiga kura! Na sisi ndio wapambe wakati wa kampeni .. baada ya uchaguzi mlalahoi anaachiwa vumbi TU ! Ikulu imekuwa sehemu ya matajiri kwa Kila jambo sisi tutaenda lini? Vijana tuamkeView attachment 2589830
Mwenye nacho huongezewa' somaa hiyooo!!Wandugu asalaam!
Kwanini mamlaka za Dunia zinamfanya maskini kuwa kijiko Cha kuchotea ubwabwa? Sisi wapanga foleni wakati wa kupiga kura! Na sisi ndio wapambe wakati wa kampeni .. baada ya uchaguzi mlalahoi anaachiwa vumbi TU ! Ikulu imekuwa sehemu ya matajiri kwa Kila jambo sisi tutaenda lini?
Vijana tuamke
Huu sasa ni upuuzi. Kwa nini Watanzania mnaona wivu hata kwa vitu vidogo kama futari?Wandugu asalaam!
Kwanini mamlaka za Dunia zinamfanya maskini kuwa kijiko Cha kuchotea ubwabwa? Sisi wapanga foleni wakati wa kupiga kura! Na sisi ndio wapambe wakati wa kampeni .. baada ya uchaguzi mlalahoi anaachiwa vumbi TU ! Ikulu imekuwa sehemu ya matajiri kwa Kila jambo sisi tutaenda lini?
Vijana tuamke
Mwenye nacho anaongezewa asiye nacho hata kile kidogo ananyang'anywa kuwa tu mpole wenzio wameshika mpini uliyeshika makali tulia tuWandugu asalaam!
Kwanini mamlaka za Dunia zinamfanya maskini kuwa kijiko Cha kuchotea ubwabwa? Sisi wapanga foleni wakati wa kupiga kura! Na sisi ndio wapambe wakati wa kampeni .. baada ya uchaguzi mlalahoi anaachiwa vumbi TU ! Ikulu imekuwa sehemu ya matajiri kwa Kila jambo sisi tutaenda lini?
Vijana tuamke
Wivu kwa maana ipi kwani wanamlalamikia mtu binafsi hapo?Huu sasa ni upuuzi. Kwa nini Wata.zania mnaona wivu hata kwa vitu vidogo kama futari?
Njooni na hoja siyo huu utopolo
Wewe sasa nongwa jamani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ulitaka ftali ya taifa zima wale same wawakilisha hujui kwamba maskini ni wengiWandugu asalaam!
Kwanini mamlaka za Dunia zinamfanya maskini kuwa kijiko Cha kuchotea ubwabwa? Sisi wapanga foleni wakati wa kupiga kura! Na sisi ndio wapambe wakati wa kampeni .. baada ya uchaguzi mlalahoi anaachiwa vumbi TU ! Ikulu imekuwa sehemu ya matajiri kwa Kila jambo sisi tutaenda lini?
Vijana tuamke
πππππWanaogopa maskini tutaiba tausi
Basi angeita wenye uhitaji halisi wa futari, ukienda pale nje ya soko la samaki Mita chache kutoka lango la ikulu wapo watu kibao wengine wamefunga lkn futari kwao changamoto lkn kamuita Diamond ambae siku ya kupiga kura wale hatajitokeza atakua na Zuchu wanazagamuanaWewe sasa nongwa jamani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ulitaka ftali ya taifa zima wale same wawakilisha hujui kwamba maskini ni wengi
Umaeambiwa wataiba tausi, alfu mnakula sanaaa nani awaalike[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Basi angeita wenye uhitaji halisi wa futari, ukienda pale nje ya soko la samaki Mita chache kutoka lango la ikulu wapo watu kibao wengine wamefunga lkn futari kwao changamoto lkn kamuita Diamond ambae siku ya kupiga kura wale hatajitokeza atakua na Zuchu wanazagamuana
Marehemu Mzee Mengi alifanyaje? Masikini wachache wanawakilisha masikini wenzao wengi.Wewe sasa nongwa jamani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ulitaka ftali ya taifa zima wale same wawakilisha hujui kwamba maskini ni wengi
Umeshindwa kujibu hii hoja ndogo akileta kubwa si utatukana hadi ukoo wakeHuu sasa ni upuuzi. Kwa nini Wata.zania mnaona wivu hata kwa vitu vidogo kama futari?
Njooni na hoja siyo huu utopolo
Ha ha ha ha ha [emoji23] [emoji1] [emoji38] daaah kuwaweka wafanyabiashara pale na mastaa sio poa kabisa wangeitwa hata kituo flani cha yatima au kikundi flani cha Akina mama ntilie labda cha magomeni paleUmaeambiwa wataiba tausi, alfu mnakula sanaaa nani awaalike[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]