Matajiri wanaitwa Ikulu kupata futari, sisi walalahoi tutaitwa 2025 kupanga foleni kupiga kura!

Matajiri wanaitwa Ikulu kupata futari, sisi walalahoi tutaitwa 2025 kupanga foleni kupiga kura!

Wandugu asalaam!

Kwanini mamlaka za Dunia zinamfanya maskini kuwa kijiko Cha kuchotea ubwabwa? Sisi wapanga foleni wakati wa kupiga kura! Na sisi ndio wapambe wakati wa kampeni .. baada ya uchaguzi mlalahoi anaachiwa vumbi TU ! Ikulu imekuwa sehemu ya matajiri kwa Kila jambo sisi tutaenda lini?

Vijana tuamke

Ndio maisha yalivyo ndio sababu nilishakataa kuendeshwa Wala Kutumika Mwanasiasa yeyote..

Kama.umegindua hili fanya Yako achana na hao wachumia tumbo.
 
Sipotezi mudawangu kwenye ujinga wachaguane wenyewe hivi wanaofunga kwalezma huwa hawafuturu?
Wewe uko sawa na Mimi yaani niache mishe zangu nikapange foleni? Kabla sijajitambua nilipanga foleni back then ila Kwa Sasa haitokaa itokee..

Ukiona unaitiwa fursa na mwanasiasa jua wewe ndio anataka akufanyie fursa.
 
Ukiwaza kwa mifano hiyo utachelewa sana maisha.
 
Nashani karamu kama hizi ili nchi ipate baraka kutoka kwa mwenyeenzi MUNGU wangefanyiwa Yatima , Wajane , Wafungwa , Wagonjwa mahospitalini kwa wagonjwa pia!
 
Wewe umeambiwa na JK muombee mama nchi itulie.
Endelea na kile umepangiwa acha tamaa
 
Tafuta utajiri mkuu na wewe uitwe ikulu. Masikini kamwe haaminiki.

Subiri 2025 watakula ubwabwa maharage na masikini kwenye kampeni.
 
Wandugu asalaam!

Kwanini mamlaka za Dunia zinamfanya maskini kuwa kijiko Cha kuchotea ubwabwa? Sisi wapanga foleni wakati wa kupiga kura! Na sisi ndio wapambe wakati wa kampeni. Baada ya uchaguzi mlalahoi anaachiwa vumbi TU! Ikulu imekuwa sehemu ya matajiri kwa Kila jambo sisi tutaenda lini?

Vijana tuamke

Matajiri wanaitwa ikulu kula futari huku wakipata wasaa kuongea mambo ya kuongeza ajira kwa maskini na kulipa kodi nk

Maskini ukiwaalika kula futari ikulu wanavyokula kama mchwa wataishia tu.kuchafua picha ya ikulu kuwa fitari ilikuwa kidogo na nyama hazikutosha ikulu gani maskini kama ile wasingeiita wameongezea njaa tu

Maskini ukiandaa mlo jiandae.kwa lawama ya kutoshiba au kuiba chakula na kuficha kwenye dela au kanzu
 
Nime-zoom hiyo picha. Kwa mbali nimewaona wezi wawili waliotajwa kwenye ripoti ya CAG.
 
Wewe uko sawa na Mimi yaani niache mishe zangu nikapange foleni? Kabla sijajitambua nilipanga foleni back then ila Kwa Sasa haitokaa itokee..

Ukiona unaitiwa fursa na mwanasiasa jua wewe ndio anataka akufanyie fursa.
Bora nilale sikunzima kulikokupiga kura
 
Basi angeita wenye uhitaji halisi wa futari, ukienda pale nje ya soko la samaki Mita chache kutoka lango la ikulu wapo watu kibao wengine wamefunga lkn futari kwao changamoto lkn kamuita Diamond ambae siku ya kupiga kura wale hatajitokeza atakua na Zuchu wanazagamuana
Ha ha ha eti watakuwa wanazagamuana, halafu makapuku huwa wakwanza kupanga foleni 12 wapo hapo wanasubili kupiga kura [emoji3][emoji3]
 
Umaeambiwa wataiba tausi, alfu mnakula sanaaa nani awaalike[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Haaaaa haaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wandugu asalaam!

Kwanini mamlaka za Dunia zinamfanya maskini kuwa kijiko Cha kuchotea ubwabwa? Sisi wapanga foleni wakati wa kupiga kura! Na sisi ndio wapambe wakati wa kampeni. Baada ya uchaguzi mlalahoi anaachiwa vumbi TU! Ikulu imekuwa sehemu ya matajiri kwa Kila jambo sisi tutaenda lini?

Vijana tuamke

QOURAN inasema futurisha Masikini na Wasiojiweza SIO MATAJIRI
 
Wandugu asalaam!

Kwanini mamlaka za Dunia zinamfanya maskini kuwa kijiko Cha kuchotea ubwabwa? Sisi wapanga foleni wakati wa kupiga kura! Na sisi ndio wapambe wakati wa kampeni. Baada ya uchaguzi mlalahoi anaachiwa vumbi TU! Ikulu imekuwa sehemu ya matajiri kwa Kila jambo sisi tutaenda lini?

Vijana tuamke

Tatizo mpo wengi wao wachache.
 
Back
Top Bottom