Matajiri wanaitwa Ikulu kupata futari, sisi walalahoi tutaitwa 2025 kupanga foleni kupiga kura!

Ha ha ha ha ha [emoji23] [emoji1] [emoji38] daaah kuwaweka wafanyabiashara pale na mastaa sio poa kabisa wangeitwa hata kituo flani cha yatima au kikundi flani cha Akina mama ntilie labda cha magomeni pale
Kila mtu na nanfsi yake na mapenzi yake hapangiwi
 
... Ikulu hatuwezi kuenea; labda tukafuturishwe taifa ambapo napo hapatutoshi. The best option ni kuachana na mpango kama huo. Jukumu letu la msingi ni kupiga kura tena kura "zinazotakiwa" na tujitokeze kwa wingi.
 
Hao wenye miushingi wanamiliki makampuni gani!
 
Mkuu, kwa nukuu maandiko matakatifu imeandikwa,

Luka 19:26

“Akawajibu, ‘Nawaambia kwamba kila mwenye nacho, ataongezewa, bali yule asiye kuwa na kitu, hata kile kidogo alichonacho atanyangʼanywa"

Hii kanuni inatumika mbinguni na duniani. ndiyo maana wapo malaika wenyewe mabawa sita na pia wapo wenye mabawa mawili, kama ilivyo hapa duniani wapo wenye uwezo na pia wapo watu maskini.
 
Mbona wakina baba level wamo pia

Ova
 
Wawepo angalau wawakilishi wa masikini wale kwa niaba ya masikini wengine[emoji16]
Wewe sasa nongwa jamani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ulitaka ftali ya taifa zima wale same wawakilisha hujui kwamba maskini ni wengi
 
Huu ndio ule ukumbi JPM (R.I.P) alitoa maagizo msaliti ashughulikiwe!?
 
Sipotezi mudawangu kwenye ujinga wachaguane wenyewe hivi wanaofunga kwalezma huwa hawafuturu?
 
na utakua unalala hoi hivyo hivyo kila siku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…