Matamasha ya Simba Day na siku ta wananchi yanaogopesha makocha na wachezaji wa kigeni

Matamasha ya Simba Day na siku ta wananchi yanaogopesha makocha na wachezaji wa kigeni

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Ile nyomi na shamrashamra kisaikolojia huwa inawatoa wachezaji na makocha kweny focus yao maana hudhani hizi timu ni kuuubwa na ziko serias,mwishO wa siku hukosa kujiamini.
Subiri zicheze na na timu za kawaida kama Jkt ,namungi etc ndio ukweli udhihirika kuwa hakuna timu
 
Nao wakamua wapate supu bila shaka ile supu ya Jangwani walihudhuria.
Screenshot_20240803_115036_Instagram.jpg

Screenshot_20240803_115021_Instagram.jpg
 
Back
Top Bottom