Matamasha yote yangekua na kiingilio rahisi na bure,watanzania tungeongoza kuwa taifa lenye furaha zaidi duniani

Matamasha yote yangekua na kiingilio rahisi na bure,watanzania tungeongoza kuwa taifa lenye furaha zaidi duniani

Ni Abraham Maslow. Mkuu
Nakushauri urudi shule kabla haujawa kichaa
kuna mtu anaitwa Adam Maslow aliwai sema katika maisha kuna vitu vitatu vya msingi
1. Chakula 2. Malazi 3. mavazi
Sasa iyo kusema mziki ni lazima labda kwako kulingana na preference yako unaweza ukatoa elfu 20 uende kwenye Tamasha ukiwa hauna nguo na haujui utakula nini?
Fikiria nje ya box mkuu alafu kusema kwamba kiongilio ndio kimejaza watu nakataa ukwel ni kua clouds wamepoteza mvuto watu wengi wameingia bure nimeona clip moja Sallam sk kaweka upande wa nyuma na jukwaani hakuna watu na nimapengo mapengo sana
Kwa asilimia 99.5 kamera nyingi azitaki onesha mwanzo wa uwanja mpk mwisho ziko jukwaani kwa mda mrefu sana kwa nini wasitumie drone kuprove watu wrong
NB Nlikuepo jana mimi ni mpenzi wa burudani na nilichoona pia shoo ilikua imepooza sana yani hakuna amsha amsha
 
.
FB_IMG_1575903776475.jpeg
 
Sio kujifanya. Mimi na matamasha ya hivyo mbali mbali na sio kama sipendi mziki. Mimi mtoto wa kike siwezi enda kuungana na wahuni national stadium.
Pia Kuna levels yaani sijizungumzii mimi ila ndo ipo hivyo huwezi kwepa.
Wa kishua na wa kajamba nani wataendelea kuwepo.
Beautiful"
 
Nakushauri urudi shule kabla haujawa kichaa
kuna mtu anaitwa Abraham Maslow aliwai sema katika maisha kuna vitu vitatu vya msingi
1. Chakula 2. Malazi 3. mavazi
Sasa iyo kusema mziki ni lazima labda kwako kulingana na preference yako unaweza ukatoa elfu 20 uende kwenye Tamasha ukiwa hauna nguo na haujui utakula nini?
Fikiria nje ya box mkuu alafu kusema kwamba kiongilio ndio kimejaza watu nakataa ukwel ni kua clouds wamepoteza mvuto watu wengi wameingia bure nimeona clip moja Sallam sk kaweka upande wa nyuma na jukwaani hakuna watu na nimapengo mapengo sana
Kwa asilimia 99.5 kamera nyingi azitaki onesha mwanzo wa uwanja mpk mwisho ziko jukwaani kwa mda mrefu sana kwa nini wasitumie drone kuprove watu wrong
NB Nlikuepo jana mimi ni mpenzi wa burudani na nilichoona pia shoo ilikua imepooza sana yani hakuna amsha amsha
Bora umeongea points
 
Jamaa anazan kuwa wa kishua ni zambi wakati ni maisha tu watu tumezaliwa tumekuta wazazi wetu wametujengea majumba na kutununulia magari ya kifahari.

Sasa sisi tuyakatae ili iweje

Kuna baadhi ya watu huwa wanachekesha sana
Sio kujifanya. Mimi na matamasha ya hivyo mbali mbali na sio kama sipendi mziki. Mimi mtoto wa kike siwezi enda kuungana na wahuni national stadium.
Pia Kuna levels yaani sijizungumzii mimi ila ndo ipo hivyo huwezi kwepa.
Wa kishua na wa kajamba nani wataendelea kuwepo.
 
Fact[emoji1666]
Furaha ya wananchi haiwezi kuletwa na matamasha ya muziki
Mtanzania wa kawaida akiweza kumudu milo mitatu kwa siku, makazi bora na huduma nzuri za Elimu pamoja na afya vitu kama matamasha ya mziki vinakua extra katika kumuongezea furaha
 
Back
Top Bottom