Matangazo ya biashara yaliyowahi kuvuma

Matangazo ya biashara yaliyowahi kuvuma

Matangazo ya pombe huwa ni mazuri sana, nakumbuka tangazo la bia ya serenget!! Watoto walikuwa wanaliita Serengeti Serengeti lilitengenezewa uwanjani, lilikamata sana na lilipendwa na hata watoto wadogo kabisa.

Lingine ni la Tusker marafiki wa kweli wimbo wake uliimbwa na TID, lilikuwa bonge la tangazo

Kwa sasa ni tangazo la timiza la airtel, ni tangazo but lina ujumbe unaouchoma moyo wangu kila siku "siogopi majukumu sababu yote yapo ndani ya uwezo wangu"

..............NATIMIZA!
Eeh bwana hili tangazo nalipenda sana.
 
tangazo la tigo,bum bum bum...lile ni tangazo zaid hata ya nyimbo za siku hiz..,,maana vile ni vipaji na ni live acapela.....wale madogo wako vzri kama yamooto band siku hizi
 
Bila kusahau lile la chai bora...chai bora kilele cha ubora chai nzuri kwa watanzania kutokana na ubora wake[emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Habari zenu watz wenzangu,,kwaupande wangu nimeona moja ya burudan za kila siku kwa binadamu ni pamoja na matangazo ya biashara ya kwenye mabango,,televishen pamoja na radio,,
Mojawapo ya matangazo yanayoweza kua zaidi ya tangazo bali burudan kwa upande wangu ni
1) ni tangazo la mcharo kawa mtaamu(vodacom)




Mmmmhhh mkuu hivi tangazo la mcharo kawa mtaaaamu siyo la airtel timiza? Au nimechanganya mimi best?
 
Mimi naitwa jambo kubwa ww unaitwa nani?mimi naitwa jambo katikati na ww je?me naitwa jambo dogo!!!
Ahahahhaaaaa hili noma aisee

cement; umetishaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa hilo tangazo lilikuwa bonge moja la tangazo dadekiiii
 
Last edited by a moderator:
Tangazo la Serengeti chui chui lile lilikua balaa.. Na lingine la condom miaka ya 2001.. Jamaa anavesha condom chupa ya maji. Lilikua linaoneshwa kabla ya habari za kimataifa ITV hapo mpo na wazazi sebuleni, hatari tupu
 
Hapa kuna mengine yakirudiwa hata leo bado yatatia fora tu!
 
Back
Top Bottom