Matangazo ya Cocacola kwenye TV

Matangazo ya Cocacola kwenye TV

Najiuliza coca cola wanatumia bajeti ya kiasi gani kwa marangazo ya TV...?

watu wao wa matangazo strategies zao ni nini?

Hili tangazo la sasa naliona ni kila baada ya dakika chache tu...

je wanafanikiwa?

kuna policy yeyote wanaoifuata...

niko very curious...
Kuna mtu namjua yuko pepsi nilimuuliza mbona coca cola wanauza kuliko nyinyi yet wanatangaza kuliko nyinyi? Jibu lake ni kuwa coca cola brand ya huko ilikotoka wanagharamia matangazo ya cocs cola hadi hapa TZ wakati pepsi tz inabidi wajigharamie wenyewe matangazo.
 
Niliwahi kujiuliza na kumuuliza mtu the same qn, maybe wanapata faida sana.
 
Wanafanya matangazo kwa kuwatumia watoto na mambo wanayopenda kuyafanya ili wawavutie watoto wengine waiangazie soda yao.

Pia Wanalenga watoto kwa sababu utafiti unaonyesha watoto wengi ndiyo wanywaji wa soda.

Watu wazima hamlengwi sana kwasababu asilimia kubwa mna vinywaji vyenu vikubwa mpendavyo [emoji23]

Lakini pia wanawalenga watoto kwasababu ya Ushawishi mkubwa waliokuwa nao ndani ya familia.

Kitu kikipendwa na watoto nyumbani wazazi mnajikuta tu na nyinyi humohumo [emoji23] watu wenye akili zao wanajua kuutumia udhaifu huo vizuri.
Ulivyoelezea ni as if watoto wana-influence maamuzi ya familia! Hili jambo siyo kweli kabisa! Kwani mzazi hawezi kumwambia mtoto kwamba hawezi kukubali kila jambo ambalo mtoto anaomba? Ilmradi mtoto aambiwe kwanini jambo haliwezekani, hakuna shida. Kama unaendesha familia kwa staili ya kukubali kila jambo ambalo mtoto analitaka, ni hatari sana kwa maisha ya baadaye ya mtoto wako.
 
Najiuliza coca cola wanatumia bajeti ya kiasi gani kwa marangazo ya TV...?

watu wao wa matangazo strategies zao ni nini?

Hili tangazo la sasa naliona ni kila baada ya dakika chache tu...

je wanafanikiwa?

kuna policy yeyote wanaoifuata...

niko very curious...
Walio soma professional ya marketing wanaweza kukuelezea vizur kwann makampuni ya vinywaji baridi wanatumia sana matangazo, bila matangazo hakuna mtu atakunywa soda mkuu, jaribu kugoogle watakupa shule vizur kuhusu ili coz mm nimesha sahau nw niko kwny ujasiriamali so mimesahau mambo ya shule coz nikitambo nw
 
Hey brother, there’s an endless road to re-discover
Hey sister, know the water’s sweet but blood is thicker
Oh, if the sky comes falling down for you
There’s nothing in this world I wouldn’t do

Hey brother, do you still believe in one another?
Hey sister, do you still believe in love, I wonder?
Oh, if the sky comes falling down for you
There’s nothing in this world I wouldn’t do

What if I’m far from home?
Oh, brother I will hear you call
What if I lose it all?
Oh, sister I will help you out
Oh, if the sky comes falling down for you
There’s nothing in this world I wouldn’t do

Hey brother, there’s an endless road to re-discover
Hey sister, do you still believe in love, I wonder?
Oh, if the sky comes falling down for you
There’s nothing in this world I wouldn’t do

What if I’m far from home?
Oh, brother I will hear you call
What if I lose it all?
Oh, sister I will help you out!
Oh, if the sky comes falling down for you
There’s nothing in this world I wouldn’t do

Huu wimbo uliimbwa na nani?
 
Walio soma professional ya marketing wanaweza kukuelezea vizur kwann makampuni ya vinywaji baridi wanatumia sana matangazo, bila matangazo hakuna mtu atakunywa soda mkuu, jaribu kugoogle watakupa shule vizur kuhusu ili coz mm nimesha sahau nw niko kwny ujasiriamali so mimesahau mambo ya shule coz nikitambo nw


Nafahamu umuhimu wa matangazo
ila hawa coca huoni wamewazidi Pepsi na wengine kwa mbali kwa matangazo?
niko curious na hilo
je bajeti yao ikoje?
wanafanikiwa strategies?
 
Ulivyoelezea ni as if watoto wana-influence maamuzi ya familia! Hili jambo siyo kweli kabisa! Kwani mzazi hawezi kumwambia mtoto kwamba hawezi kukubali kila jambo ambalo mtoto anaomba? Ilmradi mtoto aambiwe kwanini jambo haliwezekani, hakuna shida. Kama unaendesha familia kwa staili ya kukubali kila jambo ambalo mtoto analitaka, ni hatari sana kwa maisha ya baadaye ya mtoto wako.


Nafikiri lengo ni ku target wazazi wa baadae
wanagusa watoto ....watoto wanakua na kuzoea kuwa coca iko sehemu ya maisha yao
brand yao inakuwa sehemu ya familia
 
Niliwahi kujiuliza na kumuuliza mtu the same qn, maybe wanapata faida sana.

Zamani niliwahi kusikia coca tz wanatumia nusu ya faida kwa matangazo
ila sasa naona kama ni zaidi ya nusu
ndo maana nauliza watu ...tujue siri yao
manake matangazo yao si mchezo kila baada ya dakika tano tu
 
Kuna mtu namjua yuko pepsi nilimuuliza mbona coca cola wanauza kuliko nyinyi yet wanatangaza kuliko nyinyi? Jibu lake ni kuwa coca cola brand ya huko ilikotoka wanagharamia matangazo ya cocs cola hadi hapa TZ wakati pepsi tz inabidi wajigharamie wenyewe matangazo.

Basi pepsi hawataweza ku shindana..
au ni uzembe tu wao
 
Sidhani kama kukitokea baya la coca cola wataripoti.
 
1886 - Drink Coca-Cola 

1904 - Delicious and Refreshing

1905 - Coca-Cola Revives and Sustains

1906 - The Great National Temperance Beverage

1917 - Three Million a Day

1922 - Thirst Knows No Season

1923 - Enjoy Thirst

1924 - Refresh Yourself

1925 - Six Million a Day

1926 - It Had to Be Good to Get Where It Is

1927 - Pure as Sunlight

1927 - Around the Corner from Everywhere

1929 - The Pause that Refreshes 

1932 - Ice Cold Sunshine

1938 - The Best Friend Thirst Ever Had

1939 - Thirst Asks Nothing More

1939 - Whoever You Are, Whatever You Do, Wherever You May Be, When You Think of Refreshment Think of Ice ColdCoca-Cola

1942 - The Only Thing LikeCoca-Cola is Coca-Cola Itself

1948 - Where There's Coke There's Hospitality

1949 - Along the Highway to Anywhere

1952 - What You Want is a Coke

1956 - Coca-Cola... Makes Good Things Taste Better

1957 - Sign of Good Taste

1958 - The Cold, Crisp Taste of Coke

1959 - Be Really Refreshed

1963 - Things Go Better with Coke

1969 - It's the Real Thing 

1971 - I'd Like to Buy the World a Coke (part of the "It's the Real Thing" campaign)

1975 - Look Up America

1976 - Coke Adds Life 

1979 - Have a Coke and a Smile

1982 - Coke Is It! 

1985 - We've Got a Taste for You (for both Coca-Cola & Coca-Colaclassic)

1985 - America's Real Choice (for both Coca-Cola & Coca-Colaclassic)

1986 - Red, White & You (forCoca-Cola classic)

1986 - Catch the Wave (forCoca-Cola)

1987 - When Coca-Cola is a Part of Your Life, You Can't Beat the Feeling

1988 - You Can't Beat the Feeling 

1989 - Official Soft Drink of Summer

1990 - You Can't Beat the Real Thing

1993 - Always Coca-Cola

2000 - Coca-Cola. Enjoy

2001 - Life Tastes Good

2003 - Coca-Cola... Real

2005 - Make It Real

2006 - The Coke Side of Life
2009 - Open Happiness


Hawa jamaa si mchezo
siku zote wako kwenye top five brand dunia nzima
 
Hata Mimi nashangaa. Ukitazama Tv zote Tanzania kwa ujumla wake ni kama kila baada ya dakika kumi kuna tangazo la Cocacola!!
 
Hata Mimi nashangaa. Ukitazama Tv zote Tanzania kwa ujumla wake ni kama kila baada ya dakika kumi kuna tangazo la Cocacola!!


Hawa jamaa ni watu wa research sana na mambo yao yako very scientific ...
tungepata mtu wa kutuambia hasa wana target nini ingetusaidia....

jinsi wanavyo tawala matangazo ni jambo la kujifunza..

umeona humu kila mtu ina maana 'amefikiwa' na matangazo yao
 
Since 1886

ukiachilia mbali matangazo
ya television na radio wanaongoza pia kwa kua
na mabango makubwa kila kona ya dunia!

kuna target zao ambazo haziko wazi nahisi
 
Back
Top Bottom