Matangazo ya Cocacola kwenye TV

Matangazo ya Cocacola kwenye TV

Hayo ndiyo yalinifanya niandike haya:

Ulivyoelezea ni as if watoto wana-influence maamuzi ya familia! Hili jambo siyo kweli kabisa! Kwani mzazi hawezi kumwambia mtoto kwamba hawezi kukubali kila jambo ambalo mtoto anaomba? Ilmradi mtoto aambiwe kwanini jambo haliwezekani, hakuna shida. Kama unaendesha familia kwa staili ya kukubali kila jambo ambalo mtoto analitaka, ni hatari sana kwa maisha ya baadaye ya mtoto wako.

Sasa sijui nini hapo sijaelewa! Mimi ninapinga hilo la kusema watoto wana ushawishi mkubwa kwenye familia. Ni dhana uliyoiweka katika mtazamo mrahisi sana, bila kuzingatia mambo kama uchumi wa familia, aina ya malezi na makuzi n.k. Otherwise, prove hicho unachokisema kwa kuleta hapa utafiti unaonyesha watoto wana ushawishi mkubwa kwenye manunuzi ya soft drinks kwenye familia.
Kuna Link niliweka nadhani ukisoma itakusaidia zaidi.
 
Hayo ndiyo yalinifanya niandike haya:

Ulivyoelezea ni as if watoto wana-influence maamuzi ya familia! Hili jambo siyo kweli kabisa! Kwani mzazi hawezi kumwambia mtoto kwamba hawezi kukubali kila jambo ambalo mtoto anaomba? Ilmradi mtoto aambiwe kwanini jambo haliwezekani, hakuna shida. Kama unaendesha familia kwa staili ya kukubali kila jambo ambalo mtoto analitaka, ni hatari sana kwa maisha ya baadaye ya mtoto wako.

Sasa sijui nini hapo sijaelewa! Mimi ninapinga hilo la kusema watoto wana ushawishi mkubwa kwenye familia. Ni dhana uliyoiweka katika mtazamo mrahisi sana, bila kuzingatia mambo kama uchumi wa familia, aina ya malezi na makuzi n.k. Otherwise, prove hicho unachokisema kwa kuleta hapa utafiti unaonyesha watoto wana ushawishi mkubwa kwenye manunuzi ya soft drinks kwenye familia.
Ndugu, mtu yoyote wa Masoko anaielewa nguvu ya watoto kwenye manunuzi huu ni utafiti kwa America, Japan, Ujerumani na China.


Marketing to Children

Children as Consumers — Global Issues
 
Ndugu, mtu yoyote wa Masoko anaielewa nguvu ya watoto kwenye manunuzi huu ni utafiti kwa America, Japan, Ujerumani na China.


Marketing to Children
Kaka, ndiyo maana nimekwambia unalitazama hilo jambo kwa jicho la kiurahisi sana. Hivi tamaduni za kitanzania katika malezi na makuzi zinafanana na hizo nchi ulizozitaja? Huwezi kufanya generalisation kwa kutumia utafiti kutoka nchi nyingine zenye tamaduni tofauti kabisa. Katika familia za kitanzania, mtoto hawezi kuwa na influence katika maamuzi ya nini kinunuliwe. Naweza kukuelewa kidogo ukisema pengine familia za wale waishio kama wazungu (ingawa sipo confident katika hili). Lakini watanzania waishio kama watanzania, bado sikubaliani nawe.
 
Kaka, ndiyo maana nimekwambia unalitazama hilo jambo kwa jicho la kiurahisi sana. Hivi tamaduni za kitanzania katika malezi na makuzi zinafanana na hizo nchi ulizozitaja? Huwezi kufanya generalisation kwa kutumia utafiti kutoka nchi nyingine zenye tamaduni tofauti kabisa. Katika familia za kitanzania, mtoto hawezi kuwa na influence katika maamuzi ya nini kinunuliwe. Naweza kukuelewa kidogo ukisema pengine familia za wale waishio kama wazungu (ingawa sipo confident katika hili). Lakini watanzania waishio kama watanzania, bado sikubaliani nawe.
Hahahaha we jamaa sisi hatuna kawaida ya kuweka hadharani tafiti zetu ingawa makampuni yanafanya Na Nakuhakikishia Nguvu ya watoto katika manunuzi hata hapa ni kubwa sana.

Makundi mengine ni Wanawake/Wasichana/ Wavulana/ ( Vijana )

Asilimia kubwa ya Wababa wanafuata mkumbo wa hayo makundi.

Na eneo zuri kutarget Uswazi Dar na Mikoani.
 
Najiuliza coca cola wanatumia bajeti ya kiasi gani kwa marangazo ya TV...?

watu wao wa matangazo strategies zao ni nini?

Hili tangazo la sasa naliona ni kila baada ya dakika chache tu...

je wanafanikiwa?

kuna policy yeyote wanaoifuata...

niko very curious...
Kwanza unapaswa kujua kuwa Cocacola ni bidhaa ya wamarekani, popote duniani inapo zalishwa inapaswa kufuata mbinu za kushinda soko km anavyo elekeza mwenyewe mwenye bidhaa yake ambae ni mmarekani, hiyo ni kusema matangazo yao lazima ya ni ya ubora wa hali ya juu, tena mengi huwa yana andaliwa hukohuko kwao na lazima yarushwe sana katika media ili kushinda soko, hiyo ndio sera ya mwenye bidhaa yake, na ukishindwa kufanya hivyo unanyang'anya ruhusa ya kuzalisha bidhaa yao
 
Hey brother, there’s an endless road to re-discover
Hey sister, know the water’s sweet but blood is thicker
Oh, if the sky comes falling down for you
There’s nothing in this world I wouldn’t do

Hey brother, do you still believe in one another?
Hey sister, do you still believe in love, I wonder?
Oh, if the sky comes falling down for you
There’s nothing in this world I wouldn’t do

What if I’m far from home?
Oh, brother I will hear you call
What if I lose it all?
Oh, sister I will help you out
Oh, if the sky comes falling down for you
There’s nothing in this world I wouldn’t do

Hey brother, there’s an endless road to re-discover
Hey sister, do you still believe in love, I wonder?
Oh, if the sky comes falling down for you
There’s nothing in this world I wouldn’t do

What if I’m far from home?
Oh, brother I will hear you call
What if I lose it all?
Oh, sister I will help you out!
Oh, if the sky comes falling down for you
There’s nothing in this world I wouldn’t do
Asante wajina
 
Kwanza unapaswa kujua kuwa Cocacola ni bidhaa ya wamarekani, popote duniani inapo zalishwa inapaswa kufuata mbinu za kushinda soko km anavyo elekeza mwenyewe mwenye bidhaa yake ambae ni mmarekani, hiyo ni kusema matangazo yao lazima ya ni ya ubora wa hali ya juu, tena mengi huwa yana andaliwa hukohuko kwao na lazima yarushwe sana katika media ili kushinda soko, hiyo ndio sera ya mwenye bidhaa yake, na ukishindwa kufanya hivyo unanyang'anya ruhusa ya kuzalisha bidhaa yao
Pepsi nao ni wamarekani, nadhani kutokea Atlanta. Unajua hilo?
 
Pepsi nao ni wamarekani, nadhani kutokea Atlanta. Unajua hilo?
Nisaidieni zamani tulikuwa tunasema kirefu cha COCA ni come one, come all, sasa COLA yenyewe ni nini? Sikumbuki, mwenye kukumbuka tafadhali msaada!
 
Kwanini uwape watoto Soda hio?? Watoto yao Juice, hayo mavinywaji kunywa wewe mzee. Ndio maana afya zetu zinayumba miaka hii, mtoto ana miaka mitano alishakunywa coca kama lita 20 hivi?? Why??
Tatizo si coke bali jinsi tangazo lilivyo huo mchezo hata wakiufanya wakati wanakunywa maji ni hatari pia, tatizo ni kimiminika mkuu.
 
Cocacola siku zote wanatangaza sana

kabla hata ya bakhresa kuja

na hakuna anaejua nani ana lead kwa mauzo
Vipi kuhusu Vodacom? hawa ndio nawashangaa zaidi, maana wanawekeza kwenye matangazo halafu gharama za vifurushi wanapandisha, watu wanawakimbia kwa sababu ya gharama zao na sio kutokujitangaza, maana sijui kama kuna mtumiaji wa simu asiyejua kuna vodacom hapa tz
 
Vipi kuhusu Vodacom? hawa ndio nawashangaa zaidi, maana wanawekeza kwenye matangazo halafu gharama za vifurushi wanapandisha, watu wanawakimbia kwa sababu ya gharama zao na sio kutokujitangaza, maana sijui kama kuna mtumiaji wa simu asiyejua kuna vodacom hapa tz

Voda ni mtandao wa kuaminika kwa mikoani na internet ndo maana
wana jeuri ya kupandisha gharama
 
Kosa - marangazo
Sahihi - matangazo

Kosa - curious
Sahihi - serious
Lugha husika - makini badala ya neno "serious "


Napita tu.......
 
Back
Top Bottom