mang'ang'a
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 828
- 379
Unantafuta utaniweza...
Babako ni mjinga hadi siku umezaliwa akaona umbilical cord alidhani umekuja na charger!!!!lol
Mwangalie kwanza, we mlafi mpaka hulamba sufuria ya kuchemshia maji!!!
wewe ni empty headed design ukiangalia juu macho yanadondokea ndani!
Na wewe je...miguu kama rato!
Mkeo mzungu ni mweupe hadi anaacha footprints kwenye snow
Mkeo mzungu ni mweupe hadi anaacha footprints kwenye snow