Matani

nikiwa bombii nyumbii std three kuna jamaa yangu akiitwa Aidan alipenda sana hili tani la pua kubwa kama KIUTULI. wale wa kunyumba wanaelewa kiutuli ni nini. mkia wa kuku akichinjwa halafu akanyonyolewa mkiani pale pana kauvimbe flani ukikatafuna kana mafuta kimtindo basi ki NGONI kinaitwa kiutuli.
 

Gari lenu limezeeka mpaka likifika kwenye kilima linatoa mkwaju ndo lipande!lol
 
Gari lenu limezeeka mpaka likifika kwenye kilima linatoa mkwaju ndo lipande!lol
ati we ni mjanja mpaka ulivyotumwa doughnuts ukarudi bila kununua ukasema ati zile zimearibika ziko na tobo katikati..!
 
eti we unasura mbaya mpaka ulivyoenda kwenye zoo nyani alikupa ndizi...!
 
duh leo nimecheka sana. Mentor wewe ni mweusi kaa mkaa afu ndo wanakuita mdhungu. Nywele zako kaa mkutano wa nzi.. Kitambi kaa ngoma ja kijiji. Na ulivo komaaukitema mate yanadunda na ukiparua ngozi yako inatoa sembe. Ha ha ha
 
aunty yako anastink mpaka watu wa manispaa waliamua kum-burry alive kuprevent air pollution kwenye mji..!

Asavali anti yake...wewe ni mchafu, ukipita karibu na choo kinajiflush!
 
Jaluo nyeupe: Uliambiwa Tunga sentensi ukitumia neno jumamosi ukadakia - "Oduor usiwase huyo jiko hapa ju mamosi watajaa kwa nyumba"
 
ati we ni mjinga mpaka ulivyoambiwa ukanunue coloured tv ukauliza rangi gani ?
 
Jaluo nyeupe: Uliambiwa Tunga sentensi ukitumia neno jumamosi ukadakia - "Oduor usiwase huyo jiko hapa ju mamosi watajaa kwa nyumba"

Mkate usio umuka., ati kwenu ni wachumi mpaka mna-recycle toilet paper!
 
Mentor unakunya mavi magumu yakifika chini yanakunyanyua kama winchi!
 
<p>
aunty yako anastink mpaka watu wa manispaa waliamua kum-burry alive kuprevent air pollution kwenye mji..!
</p>
<p>&nbsp;</p>

We una kichwa kibaya mpaka unaitwa Zinja!
 
na ww ucimuonee Babkey kwanza manzi ako yuko soo cheap kama callbox kiasi kwamba kila mwenye coin anaweza ku-use..!

Aisee! kumbe upo huku? ile KITIMOTO ya jana ilikuwaje ukala bila kulipa?
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…