Matani

Wewe ni mwizi mpaka ukishikilia shilingi mia, nyerere anabaki kifua wazi!

na wewe umezidi usahaulifu ndo maana siku ya kujiandikisha vitambulisho vya kura uliulizwa jina lako ukarudi nyumbani kuangalia kwenye kadi la clinic
 
ngoja nikuvutie kasi kwanza ntarudi.

Mwangalie kwanza,
ndo mana uliambiwa utunge sentensi ukitumia; maji, maziwa, majani na sukari.
wewe ukadakia, "Leo asubuhi nimekunywa chai."....ati hivyo vyote viko ndani!!!
 
babako kagoma kununua viti kisa ana majipu kwenye ma ka li o.

na wewe ndo maana ulilazimishwa kuoa na wazazi wako kwa uzuzu ulionao siku ya ndoa mke alivyoomba tendo halali ukamuomba akuache kwa siku hiyo ili urudi kwa mamako akakufundishe namna ya ku do.
 
na wewe ndo maana ulilazimishwa kuoa na wazazi wako kwa uzuzu ulionao siku ya ndoa mke alivyoomba tendo halali ukamuomba akuache kwa siku hiyo ili urudi kwa mamako akakufundishe namna ya ku do.
Ndo maana ulipoona nanii ya mkeo ulisema 'afadhali nimepata kisima japo kimezungukwa na nyasi'
 
Mwangalie kwanza,
ndo mana uliambiwa utunge sentensi ukitumia; maji, maziwa, majani na sukari.
wewe ukadakia, "Leo asubuhi nimekunywa chai."....ati hivyo vyote viko ndani!!!

na wewe cheki ulivyo zuzu unampiga chabo hadi mkeo nyumbani.
 
Ndo maana ulipoona nanii ya mkeo ulisema 'afadhali nimepata kisima japo kimezungukwa na nyasi'

na wewe kwa ushamba wako ulivyoitwa m..se,,nge uliporudi nyumbani ulishangalia kwa wenzio eti umeitwa m..se..nge.
 
na wewe kwa ushamba wako ulivyoitwa m..se,,nge uliporudi nyumbani ulishangalia kwa wenzio eti umeitwa m..se..nge.
Ndo maana wamekuzibia gunzi kisa una fistula, na wamekurifaa kwenda ccbrt.
 
Ndo maana wamekuzibia gunzi kisa una fistula, na wamekurifaa kwenda ccbrt.

cheki ulivyo bwe..ge, mwizi anakimbizwa kapita mbele yako wewe unampiga na ganda la yai halafu unajisifu ati umempiga mwizi.
 
cheki ulivyo bwe..ge, mwizi anakimbizwa kapita mbele yako wewe unampiga na ganda la yai halafu unajisifu ati umempiga mwizi.
We ni mwizi mpaka uliiba nywele za 'huko chini' ukaamishia kwapani.
 
We ni mwizi mpaka uliiba nywele za 'huko chini' ukaamishia kwapani.

angalia na wewe ulivyo na akili mbofu mbofu, akili ya kudekadeka, kwenye daladala mwanajeshi kakukanyaga bahati mbaya mkapishana maneno na mjeshi hatimaye mjeshi akakutukana ''wee mse...nge nini?'' na wewe ulivyo mtupu ukalalamika kwa konda, ''konda ona huyu mbaba kantukania kazi yangu....!'' konda nae bila hiana akakwambia ''na wewe mtukanie kazi yake.'' kwa ujinga ukamwambia mjeshi ''ndo maana limwanajeshi linanuka risasi.''!!!
 
hahahahaha....,unankumbsha kuna m2 eti aliambiwa meno ka'folen ya madumu.."

Mh..madumu yapi hayo ndugu? yale ya njano ya Korie ama meupe ya mafuta ya alizeti!??lol
 
Mh..madumu yapi hayo ndugu? yale ya njano ya Korie ama meupe ya mafuta ya alizeti!??lol

kwa jinsi ulivyochanganywa na kuzoea technolojia ya kizungu, sasa imefikia hatua unafanya jambo linakufedhehesha mwenyewe unatamani ku'edit au ku' undo ukifikiri unacheza na keyboard ya pc.
 
Duh, yaani nyinyi wote mna dhambi hadi shetani akiwaona anasema Jesus!
 
Ha ha haa haaaaaaaa, waaaaaaaaaaa!!!!! Yaaani... yaaani, kwenu wabahili hadi panya wamehama!
ha ha ha haaaaaaaaaaaa, jamani mbavu zanguuuuu!!!!!!

na nyie kwenu kunanuka hadi inzi wanaomba pafyum, looh!
 
na nyie kwenu kunanuka hadi inzi wanaomba pafyum, looh!

Ha ha ha haaaaaaaaaaa, teh teh teh !
Nasikia kwenu kuna ukame hadi ng'ombe wanatoa milk powder (maziwa ya unga)...
teh teh teh, waaaaaaaaaaaa!!!! Uuuuhhhhhhhh!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…